Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyingine hiyo! Effects zake tunazionaga hapa hapa!
View attachment 1814047
View attachment 1814048
Mfumo wao wa elimu hawa majamaa ni wa kibwege kabisa duniani
We uliona wapi elimu ikawa na part one na part two, kwn ni bongo movie manake elimu ya tanzania ni sawa na uigizaji tu

Yani huyo mwamba kauliza swali zuri sana, we hta kingereza hukijui alafu ikifika form one inabidi ukitumie kusoma na kuandika km si ulofa ni nn
 
How can you say eti Hatukipendi,na walimu karibu wote abroad wa kiswahili Ni Wakenya😏💉 ata mtz hawezi kuajiliwa kuwa translater hamjui English you are Bongolalaz kabisa🤣🤣🤣🤣🤣
Kwasababu kiswahili ndio lugha kuu tanzania na ndio maana tanzania ndio inapigana kiswahili kitapakae africa na iwe lugha ya africa 😂😂 alaf baadae tunaenda kufanikiwa muje museme bila nyie kiswahili kisingefika africa kusini
 
Izo zinatumiwa kubeba mahawker wenyu Ombaomba wenye wanatuchafulia jiji,mnatuuzia mpaka korosho kwa jiji mnathani Nyinyi Nani,uchafu lazima tuondoe 💉
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwetu probox na noah zinabeba nyasi za ngombe
 
today's kenyan budget will stand at $3.4B!... lets wait and see what our neibas will present. i highly doubt if their combined budget would even dare near kenya's.
[Kenya budget > (tanzania+uganda+rwanda+burundi+south sudan) budget]
Maajabu🔥🇰🇪🔥 na eti TZ Ni Donor Kantreeeeeh😆🤣🤣🤣
 
Kwasababu kiswahili ndio lugha kuu tanzania na ndio maana tanzania ndio inapigana kiswahili kitapakae africa na iwe lugha ya africa 😂😂 alaf baadae tunaenda kufanikiwa muje museme bila nyie kiswahili kisingefika africa kusini
Na sisi tunakifikisha Amerika na haturingi Bado tupo tu😆🇰🇪🔥🇰🇪💉
 
Nairobi metro police hyoo, kuna watu wataumwa kwanza yule mwarabu koko
Nairobi metro police yani mambo kimya kimya
images.jpeg-12.jpg
images.jpeg-7.jpg
images.jpeg-11.jpg
 

Huyu balozi wa TZ nchini China nimempa saluti aise. Jamaa anaonekana sio wa kushinda ofisini tu, anajituma sana. Yaani huyu hata akistaafu, anastahili kuongezea extra time. Safi sana, I wish balozi zingine ziige mfano wake. Mh. Samia na wasaidizi wako kama mnapitia comment zetu mzidi kumotivate huyu balozi kwa namna yoyote ile hata kwa barua ya pongezi kwa juhudi zake kwa niaba ya baadhi yetu.
 
today's kenyan budget will stand at $3.4B!... lets wait and see what our neibas will present. i highly doubt if their combined budget would even dare near kenya's.
[Kenya budget > (tanzania+uganda+rwanda+burundi+south sudan) budget]
Mzee trilioni tatu za kenya ni sawa na $30B km sijakosea
 
Morroco wameunga mkono huhalilisha matumizi ya Bangi😆🔥🔥Good job Tanzania,sanasana watu wa Kijiji Cha moshi Nawatambua Sana🔥You are good motivators,Kumbe sio kusambaza kiswahili peke yake💪💪🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom