komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Mfumo wao wa elimu hawa majamaa ni wa kibwege kabisa duniani


We uliona wapi elimu ikawa na part one na part two, kwn ni bongo movie manake elimu ya tanzania ni sawa na uigizaji tu


Yani huyo mwamba kauliza swali zuri sana, we hta kingereza hukijui alafu ikifika form one inabidi ukitumie kusoma na kuandika km si ulofa ni nn


