Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pwahahaha! 🤣
images (3).jpeg
 
Kenya Tunaongea Sheng na pia Tunaweza kuchapa Kiswahili Sanifu mpaka mushangae,sisi si waswahili wote Kama TZ Lakini Tunaongea wote kiswahili.Iyo mambo yenu ya kuongea Lugha moja pekee TZ Nzima Ni Ujinga mtupu,ata kifaransa tunafundishwa kuongea Shuleni very soon tutakichapa kuliko Rwanda.🔥🇰🇪🔥👊👊Don't Joke
 
Class 5 anakutoa kijasho mkulungwa! 🤣 🤣 🤣 🤣

Masomo balaa down south..,2021!!

Ummy: Kuna shule wanafunzi hawajawahi kumuona mwalimu wa hesabu, fizikia​



THURSDAY JUNE 10 2021​

uumypic

Summary

  • Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu amesema bado kuna upungufu wa walimu wa somo la sayansi katika shule za sekondari nchini Tanzania.
ADVERTISEMENT

New Content Item (1)

By Mwandishi Wetu
More by this Author

Dar es Salaam. Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu amesema bado kuna upungufu wa walimu wa somo la sayansi katika shule za sekondari nchini Tanzania.

Amesema kwa uchambuzi uliofanywa unaonyesha kuna shule takribani 1000 za sekondari ambazo wanafunzi wake hajawahi kukutana uso kwa uso na mwalimu wa somo la Fizikia na kwamba shule takribani 400, wanafunzi hawajawahi kumuona mwalimu wa hesabu akiingia darasani.

Ummy ameyasema hayo leo Alhamisi Juni 10, 2020 alipokuwa akijibu swali la mbunge wa viti maalum (CCM), Hawa Mchafu kuhusu lini walimu wa sayansi watapelekwa katika Mkoa wa Pwani.

“Tunakiri kuwa na uhaba wa walimu wa sayansi. Kwa uchambuzi uliofanywa ndani ya miezi mitatu unaonyesha takribani shule 1000 za sekondari ambazo wanafunzi wake hajawahi kukutana uso kwa uso na mwalimu wa somo la Fizikia. Shule zipatazo 400 ambazo hazijawahi kuona mwalimu wa hesabu akiingia darasani,” amesema Ummy.

Amebainisha kuwa ipo fursa ya kutumia (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ili kuwawezesha kusoma kupitia mtandao.

“Hili tumeliona ipo fursa ya kutumia maendeleo ya ICT ili kuwawezesha wanafunzi kusoma kupitia mtandao..., tutaajiri walimu wazuri na kurekodi mada zote kuwawezesha kusoma kwa njia ya mtandao,” amesema Ummy.
 
Masomo balaa down south..,2021!!

Ummy: Kuna shule wanafunzi hawajawahi kumuona mwalimu wa hesabu, fizikia​



THURSDAY JUNE 10 2021​

uumypic

Summary

  • Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu amesema bado kuna upungufu wa walimu wa somo la sayansi katika shule za sekondari nchini Tanzania.
ADVERTISEMENT

New Content Item (1)

By Mwandishi Wetu
More by this Author

Dar es Salaam. Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu amesema bado kuna upungufu wa walimu wa somo la sayansi katika shule za sekondari nchini Tanzania.

Amesema kwa uchambuzi uliofanywa unaonyesha kuna shule takribani 1000 za sekondari ambazo wanafunzi wake hajawahi kukutana uso kwa uso na mwalimu wa somo la Fizikia na kwamba shule takribani 400, wanafunzi hawajawahi kumuona mwalimu wa hesabu akiingia darasani.

Ummy ameyasema hayo leo Alhamisi Juni 10, 2020 alipokuwa akijibu swali la mbunge wa viti maalum (CCM), Hawa Mchafu kuhusu lini walimu wa sayansi watapelekwa katika Mkoa wa Pwani.

“Tunakiri kuwa na uhaba wa walimu wa sayansi. Kwa uchambuzi uliofanywa ndani ya miezi mitatu unaonyesha takribani shule 1000 za sekondari ambazo wanafunzi wake hajawahi kukutana uso kwa uso na mwalimu wa somo la Fizikia. Shule zipatazo 400 ambazo hazijawahi kuona mwalimu wa hesabu akiingia darasani,” amesema Ummy.

Amebainisha kuwa ipo fursa ya kutumia (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ili kuwawezesha kusoma kupitia mtandao.

“Hili tumeliona ipo fursa ya kutumia maendeleo ya ICT ili kuwawezesha wanafunzi kusoma kupitia mtandao..., tutaajiri walimu wazuri na kurekodi mada zote kuwawezesha kusoma kwa njia ya mtandao,” amesema Ummy.
Kitu kilichonishangaza, huwa wanachaguliwa course za kufanya na serikali kulingana na marks zako, like wtf! 🤣 🤣 🤣
Alafu NYS version yao mnachanguliwa after kumaliza high, tena ukichaguliwa ni lazima uende, ukalimishwe na serikali ndio mazao wapate ya kutuuzia, hela kwa wazee kazi kwa vijana eti! 🤣 🤣 🤣
 
Masomo balaa down south..,2021!!

Ummy: Kuna shule wanafunzi hawajawahi kumuona mwalimu wa hesabu, fizikia​



THURSDAY JUNE 10 2021​

uumypic

Summary

  • Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu amesema bado kuna upungufu wa walimu wa somo la sayansi katika shule za sekondari nchini Tanzania.
ADVERTISEMENT

New Content Item (1)

By Mwandishi Wetu
More by this Author

Dar es Salaam. Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu amesema bado kuna upungufu wa walimu wa somo la sayansi katika shule za sekondari nchini Tanzania.

Amesema kwa uchambuzi uliofanywa unaonyesha kuna shule takribani 1000 za sekondari ambazo wanafunzi wake hajawahi kukutana uso kwa uso na mwalimu wa somo la Fizikia na kwamba shule takribani 400, wanafunzi hawajawahi kumuona mwalimu wa hesabu akiingia darasani.

Ummy ameyasema hayo leo Alhamisi Juni 10, 2020 alipokuwa akijibu swali la mbunge wa viti maalum (CCM), Hawa Mchafu kuhusu lini walimu wa sayansi watapelekwa katika Mkoa wa Pwani.

“Tunakiri kuwa na uhaba wa walimu wa sayansi. Kwa uchambuzi uliofanywa ndani ya miezi mitatu unaonyesha takribani shule 1000 za sekondari ambazo wanafunzi wake hajawahi kukutana uso kwa uso na mwalimu wa somo la Fizikia. Shule zipatazo 400 ambazo hazijawahi kuona mwalimu wa hesabu akiingia darasani,” amesema Ummy.

Amebainisha kuwa ipo fursa ya kutumia (Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) ili kuwawezesha kusoma kupitia mtandao.

“Hili tumeliona ipo fursa ya kutumia maendeleo ya ICT ili kuwawezesha wanafunzi kusoma kupitia mtandao..., tutaajiri walimu wazuri na kurekodi mada zote kuwawezesha kusoma kwa njia ya mtandao,” amesema Ummy.
Aibu kubwa mno
 
sheng ndio kiswahili ?? 😄😄😄
Sheng is a twisted language version with 80%words from Kiswahili,5%English,15%From Other languages to form Sheng language.Yani Joh inanice mbaya,monchoka unitaje Nai Nikusho kiswa na kingoso Kama unadaisha,usiniletee Vako,Vako acha kejani kwa mafala.Monchoka👊👊🔥🔥🇰🇪🔥😃
 
Sheng is a twisted language version with 80%words from Kiswahili,5%English,15%From Other languages to form Sheng language.Yani Joh inanice mbaya,monchoka unitaje Nai Nikusho kiswa na kingoso Kama unadaisha,usiniletee Vako,Vako acha kejani kwa mafala.Monchoka👊👊🔥🔥🇰🇪🔥😃
Umemkoroga sasa! Umemwacha hadi na ngumi mbwexe... 😬😬😬😂
 
Back
Top Bottom