Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Suluhu ako sawa but mataga ni wajinga bado wanasifu mzoga wa magufuli
Bado wako kwa stage Ile ngumu ya ku unlock Vifuli ambazo walikuwa wamefungiwa nazo,unajua Juzi Makufuli #Aka Baba Yao,alikuwa anawaambia wasijaribu kugusa Makufuli yake ama watakipata,Sasa wape muda watabadika tu,They are in Tromour 😭🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💉
 
BREAKING NEWS! 🤣 🤣 🤣 🤣
IMG_20210609_044244.png
 
Wenye akili washaanza kuliona 🤣🤣👇👇





Inakaa hata msemaji PS Hanga hajui electrical buses hufanyaje kazi! Kiufupi lanes huwa hazizuii diesel vehicle kutumia Iwe buses zina overhead power au zina charging points.
 
Alikua rais wa jamhuri ya tanzania na ndio rais aliesifika kwa utendaji africa nzima [emoji116]

Africa gani? Labda ndani ya kichwa chako

Alisifiwa na kassim majaliwa, makonda plus mataga kama wewe.

Nje ya Tanzania hakuna mtu alishughulika na maguFOOOLi sababu hakuwa anatembea nje akibana matumizi[emoji23][emoji23]
 
Africa gani? Labda ndani ya kichwa chako

Alisifiwa na kassim majaliwa, makonda plus mataga kama wewe.

Nje ya Tanzania hakuna mtu alishughulika na maguFOOOLi sababu hakuwa anatembea nje akibana matumizi[emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣👇👇👇👇
CCCBCD7E-C73E-4BF5-9316-C7CA14738FE2.jpeg
97074E33-01F6-4CA2-86FE-E589A88D1C1C.jpeg
 
Africa gani? Labda ndani ya kichwa chako

Alisifiwa na kassim majaliwa, makonda plus mataga kama wewe.

Nje ya Tanzania hakuna mtu alishughulika na maguFOOOLi sababu hakuwa anatembea nje akibana matumizi[emoji23][emoji23]
Huyu ni prof kutoka kenya🤣🤣👇

 
Africa gani? Labda ndani ya kichwa chako

Alisifiwa na kassim majaliwa, makonda plus mataga kama wewe.

Nje ya Tanzania hakuna mtu alishughulika na maguFOOOLi sababu hakuwa anatembea nje akibana matumizi[emoji23][emoji23]
Anabana matumizi wapi, ilkuwa chenga kwa raia wa bongo. Expenses zake alizotumia kwa msafara wa magari ndani ya nchi, akiongozana na officials kibao nyuma ilikuwa kubwa sana. Hebu waulize wanajua kinagaubaga swala hilo. 😂
 
Zanzibar inaenda kua independent state na Suluhu ambaye ni Mzanzibar atasaidia kwa hilo.

Tanganyika ikibaki na wajinga wote sababu Zanzibar ni ya wajanja, Kenya itacolonize Tanganyika kiuchumi na kila upeo wa maisha
Siku hio ikienda kua nitag nifunge acc mm hapa 🤣🤣🤣🤣🤣 mumebakia kulia lia kama watoto wadogo humu ndani
 
Mbatia ni mwanasiasa wa upinzani na hafanyi kazi serekalini 😂😂😂😂😂
Opposition sio, kawaida wanakuaga na ukweli kwenye vitu wanavyosema. Hiyo inaonekana tu kwenye serikali nyingi duniani. Opposition wapo pale kuhakikisha kila jambo liko pahala yake! (in Somalian accent) 🤣🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom