Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Acha kukurupuka, nilikuwa namnukuu kwa kejeli yule mume wenu Mwendazake,au nasema uongo ndugu zangu? msema ukweli ni mpenzi wa Mungu 😉 😉 😉 😉Umeibiwa na nani ?? Hebu taja aliekuibiwa unaleta chuki zako za siasa kwenye manufaa ya wengi??😁😁 ww tunakujua kuna sehemu uliminywa ipasavyo