Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hujaskia hata paratroopers wanakufa wakiwa training za kila wakati huko ughaibuni pia, ajali haitabui wewe ni nani. Na sio mara yao ya kuanza kuruka, ndio kazi zao so sioni issue kubwa hapo. Ila ka umezoea movie, nakuelewa! 🤣
Umeshawahi ona akari wa JWTZ
wakianguka kama magunia mwenye demonstration kiwanjani? Tena mbele ya raisi?
 
Yule waziri wao kilaza hua anatangaza kila siku nn 🤣🤣🤣 au ndio munawafurahisha wazungu mupate mikopo
 
Order.


IMG_7929.jpg

IMG_7930.jpg

IMG_7928.jpg
 
WB walivyowaambia real estate Tanzania imewapita kwa zaidi ya $B12 mlifikirije?

Kitu kipo mbioni kuisha kawe

Wastelands inachapwa na Kawe anytime

View attachment 1805530View attachment 1805531View attachment 1805532View attachment 1805534
Not Kenya, in Dar is slum, of which hakuna real estate ya kuonyesha, nashangaa ni data gani walitumia, kwa ground hakuna!!, so they said, but as at 2021 unajua wanasema nini? or knight frank wamesemaje? Dar haipo anywhere near top 5 wachana na tanzania as a whole, kama nchi bado sana! Sasa nashindwa kwani ilikua porojo ama mliporomoka?., Sub sahara Africa ni South Africa pekee ako juu yetu waki rank kama nchi., dadeki.
 
KDF ni wezi wa biscuits naona junky foods zimepelekea kibaka wa KDF kuloose focus
By the way, ile Tai Chi JWTZ wanafundishwa huoni mnazinguliwa, jitu Nono alafu haliwezi kukaa position moja, eti ndo wakali wenyu, hehehe... Kuja huku KE uone venye teke inawekwa kwa hewa position ya 160° na ni polisi tu... 😂 😂 😂 😂
 
kenya, SA, egypt! they are dry but they are leading economies in the continent afterall! View attachment 1805438 View attachment 1805440View attachment 1805439
hapa necessity is the mother of invention, nchi mingi zenye few resources or dessert huwa watu wanajituma sana, but ukienda Uganda na Tanzania et al, where it is green almost everywhere, unapata watu wamezuba zubaa tu., relaxed and slow., matokeo ni maendeleo kidogo, mulnutrition due to unbalanced diet, extreme poverty ni wa kujiwekea tu., due to stupid beliefs, ushamba na uzembe.,
 
Back
Top Bottom