Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

dream yangu ni kuwa kama hio..? una lingine?
Bwahaha!!kwhyo we hutaki kujichorea km wenzako
Pole sana
Wazee wa nyumba za ndoto zao Nicxie jamaa leo kapenda nyumba mtandaoni imekuaje tena na wakati tumeelewana watanzania wanajenga nyumba walizoziota usingizini
 
Limwana-jeshi laKenya limeanguka toka angani huko, limepelekwa hospital!

Mjamaa hayana kitu, yaani siku maalumu, hamana kitu hii mijamii!
Three elite soldiers from the U.S. Army Parachute Team were injured early Tuesday morning during a training accident at Homestead Air Reserve.
Msfikiri Parachuting ni mchezo wa kitoto ka kula kitimoto na kupiga gongo, no my friend, hujui lolote ndio maana unaongea utopolo. Accidents ka hizi zipo kwa kazi ka hizo, sio kila kilaza anaruka na parachute team dadeq! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Bwahaha!!kwhyo we hutaki kujichorea km wenzako
Pole sana
Wazee wa nyumba za ndoto zao Nicxie jamaa leo kapenda nyumba mtandaoni imekuaje tena na wakati tumeelewana watanzania wanajenga nyumba walizoziota usingizini
Either anaishi nyumba ya kupanga kama kawaida, ama anaisha kwa mamake! 🤣 🤣 🤣
 
naona tu ndo mmeanza sasa. lakini ndio mfike level ya kenya kwa real-estates, mna miaka ka mia hivi. real-estates kenya ime tapakaa kila corner kila pembe
Screenshot_20210515-213148.jpg
 
endeleeni kupost estate ambazo miaka nenda rudi ni hizo hizo tu,,huwa hamnaga jipya...

huwa hamna vipya vya kupost zaidi estate ambazo miaka nenda rudi ni hizo hizo tu

poleni mnakazi kubwa sana,jengeni nairobi hiyo mji wenu bado pori
View attachment 1805380View attachment 1805381View attachment 1805382View attachment 1805383View attachment 1805384View attachment 1805385View attachment 1805386View attachment 1805387
Nimepata jibu langu! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
endeleeni kupost estate ambazo miaka nenda rudi ni hizo hizo tu,,huwa hamnaga jipya...

huwa hamna vipya vya kupost zaidi estate ambazo miaka nenda rudi ni hizo hizo tu

poleni mnakazi kubwa sana,jengeni nairobi hiyo mji wenu bado pori
View attachment 1805380View attachment 1805381View attachment 1805382View attachment 1805383View attachment 1805384View attachment 1805385View attachment 1805386View attachment 1805387
its kenyan culture to incorporate trees between buildings, be it at residential areas or downtown.... we realy do care about environment. kenya went green along time ago.
just pure concrete jungle like dar sucks!😝😝
 
naona tu ndo mmeanza sasa. lakini ndio mfike level ya kenya kwa real-estates, mna miaka ka mia hivi. real-estates kenya ime tapakaa kila corner kila pembe
Kule wenye kujenga ni mmoja mmoja ndo maana hata hazijaisha wanaenda kupiga picha. 😂 😂 😂
 
Hujaskia hata paratroopers wanakufa wakiwa training za kila wakati huko ughaibuni pia, ajali haitabui wewe ni nani. Na sio mara yao ya kuanza kuruka, ndio kazi zao so sioni issue kubwa hapo. Ila ka umezoea movie, nakuelewa! 🤣
Heri Hawa paratroopers wetu wameumia kwa Uhodari yenye ata Mimi sina🙏Imagine Jeshi ya Mabongolala inavunja mawe na nyundo kwa Tumbo ya mwenzake😆Nakwambia Kuna mtu alikaukiwa na Tumbo ikabidi ambulance ibebe maiti🤣🤣🤣🤣
 
its kenyan culture to incorporate trees between buildings, be it at residential areas or downtown.... we real do care about environment. kenya went green along time ago.
just pure concrete jungle like dar sucks!
And yet 90% of Kunyaland is totally dessert.
 
Back
Top Bottom