dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
even egyptsouth africa is even more drier, but its an economic force to reckon with
even egyptsouth africa is even more drier, but its an economic force to reckon with
Not 90% but 50% be very accurate😏And yet 90% of Kunyaland is totally dessert.
real estates in russia👇ingawaje real-estates zetu zinakaa kama za ujamaa(socialist).. kama za moscow ama china kwa mfano, lakini kila mtu anaishi maisha yake. pasipo shugulika na jirani wake. mimi kwa mfano nikiwa pipeline estate, niliwahi maliza mwaka mzima bila kuonana na jirani wangu next door.🤔
Anafkiri watu wanajenga nyumba za 'kiswahili' kila pahali, ata anaeza kuuliza mbona zinang'ara hizo za Urusi na Uchina! 🤣 🤣 🤣
kenya, SA, egypt! they are dry but they are leading economies in the continent afterall!And yet 90% of Kunyaland is totally dessert.
Yaani ni Mungu tu, sehemu yote hiyo arid & semi arid na bado tunasonga mbele na maendeleo tukiwa na shida zetu. 😂 😂 😂 Wenzetu wa juu na chini mtindo huo huo... Duh, Inauma lakini itabidi wazoee eh! 🎶 🤣 🤣 🤣kenya, SA, egypt! but they are leading economies in the continent View attachment 1805438 View attachment 1805440View attachment 1805439
kabisa bro. ata gdp ni $126B vs $65B🤔 hiyo gap tumefungua kweliYaani ni Mungu tu, sehemu yote hiyo arid & semi arid na bado tunasonga mbele na maendeleo tukiwa na shida zetu. 😂 😂 😂 Wenzetu wa juu na chini mtindo huo huo... Duh, Inauma lakini itabidi wazoee eh! 🎶 🤣 🤣 🤣
zipo sehemu nyingi tu,,,dar tunadeal na both side tunajenga estate pia kila mtu anaweza kujenga nyumba yake,,,,na hizo nyumba si kama hazijaisha pitia vodeo ulizopewa vizuriKule wenye kujenga ni mmoja mmoja ndo maana hata hazijaisha wanaenda kupiga picha. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
wacha porojo,,,Heri Hawa paratroopers wetu wameumia kwa Uhodari yenye ata Mimi sina[emoji120]Imagine Jeshi ya Mabongolala inavunja mawe na nyundo kwa Tumbo ya mwenzake[emoji38]Nakwambia Kuna mtu alikaukiwa na Tumbo ikabidi ambulance ibebe maiti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Three elite soldiers from the U.S. Army Parachute Team were injured early Tuesday morning during a training accident at Homestead Air Reserve.wacha porojo,,,
huwa tunawaambia hapa kila siku kuwa jeshi lenu ni weak halipo well kwenye training
wacha porojo,,,
huwa tunawaambia hapa kila siku kuwa jeshi lenu ni weak halipo well kwenye training
wacha porojo...Three elite soldiers from the U.S. Army Parachute Team were injured early Tuesday morning during a training accident at Homestead Air Reserve.
Msfikiri Parachuting ni mchezo wa kitoto ka kula kitimoto na kupiga gongo, no my friend, hujui lolote ndio maana unaongea utopolo. Accidents ka hizi zipo kwa kazi ka hizo, sio kila kilaza anaruka na parachute team dadeq! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
NB-ajali haina kinga, na hao elite nimekuonyesha hapo labda miaka ka 1000+ ndio muwafikie level yao na bado wanakufa. Hao wenyu ndio special sana, naelewa watakufa vipi wakati wako makambini wakila, kunywa na kulala, ndo kazi hiyo? [emoji23]
Jeshi lenu la Kuvunja matofali ndilo well trained 😆wacha porojo,,,
huwa tunawaambia hapa kila siku kuwa jeshi lenu ni weak halipo well kwenye training
unadhani vita ni picha au movie ukimuangalia Rambo kwenye expendable[emoji1787][emoji1787]View attachment 1805443View attachment 1805448View attachment 1805444View attachment 1805446View attachment 1805447View attachment 1805451 KDF hoyeee..! [emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji378][emoji95]..
tz hakuna fighter jets!! [emoji23][emoji23]
Hamna lolote nyinyi, Mrusi na Mchina anawazingua tu! Accidents zipo na zitaendelea kuwepo. Kazi yeyote ile iko na risks zake. Hii kazi sasa ndio ya kiume sio kukaa vijiweni na kubweka bweka! 🤣 🤣 🤣wacha porojo...
mpo jeshi lenu la kenya ni weak tu,,,
usikatae huwa hampo well kimafunzo
tena usijaribu tutawachapa kichapo cha mbwa koko pia tutawamiliki ..Jeshi lenu la Kuvunja matofali ndilo well trained [emoji38]
Mbona hamkuchapa Hao magaidi wakichoma Vijiji yenu,Jeshi lenu lilitoroka🏃🏃🏃🏃🤣🍼unadhani vita ni picha au movie ukimuangalia Rambo kwenye expendable[emoji1787][emoji1787]
jeshi ni nidhamu,umakini na uelevu bila kusahau uadilifu,,jeshi lisipokuwa na hivyo vitu mtaishia kuchapika mwanzo mwisho na kuanguka hovyo na parachutes
wacheni vituko na utoto,,,
wanajeshi 100 wa Tz wanaichapa jeshi lenu zima la kenya nzima na tunauwezo wa kuwamiliki mkawa mbwa wetu
Wale waliochangamkiwa na vijana kwa mapanga ama wengine??? 😂 😂 😂unadhani vita ni picha au movie ukimuangalia Rambo kwenye expendable[emoji1787][emoji1787]
jeshi ni nidhamu,umakini na uelevu bila kusahau uadilifu,,jeshi lisipokuwa na hivyo vitu mtaishia kuchapika mwanzo mwisho na kuanguka hovyo na parachutes
wacheni vituko na utoto,,,
wanajeshi 100 wa Tz wanaichapa jeshi lenu zima la kenya nzima na tunauwezo wa kuwamiliki mkawa mbwa wetu
Si Mkuje🙆 Unaona izo fighter Jets umeoneshwa ndizo zitawangoa Ndevu🤣🤣🤣🤣tena usijaribu tutawachapa kichapo cha mbwa koko pia tutawamiliki ..
100 soljaz wa Tz wanachapa hilo jeshi lenu lote na tunawabaka ,coz mpo dhaifu sana kimafunzo