The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Tuko mbali sn kwenye soka, statistics don't lie.Nimehifadhi hiicomment.,
Tuko mbali sn kwenye soka, statistics don't lie.Nimehifadhi hiicomment.,
Babu katengezwe macho, udongo mwekundu uwapi hapo? 😂 😂 😂 😂 Hapo Dar Slums, fanya hivi ingia website ya SaveTanzania ujiangalilie pole pole. 🤣🤣🤣Mkoa gn huo una udongo mwekundu? Umeanza kuokota picha, haya niambie Tz ya wapi hiyo![]()
Vitoto vyenyewe pozi za kibongo, website hawakosei, vitu kwa ground ni different. Wapelekeeni hata kaghorofa kamoja! 🤣 🤣 🤣Kibera hapo hakuna udongo mwekundu dar es salaam..usijifurahishe
Hao wajomba wajenzi hapo, pia nao wako na ma ghetto yao kila mmoja, manake mlisema kila mtu Tz ana mjengo wake??? 😂Mbongo katika ubora wake 😅😅
Arusha
🏘️🇹🇿🇹🇿🇹🇿
View attachment 1804923View attachment 1804925View attachment 1804926View attachment 1804927View attachment 1804928View attachment 1804929
Aflatoxin inatokea wapi kwenye hizi advanced systems?Huu unga upo KE? 😂 😂 😂 Labda border sababu unga ni Taifa wa MMM hapo ndio kitu cha ugali cha uhakika kinatoka! 🤣 🤣 🤣 Unga wa aflatoxin haununuliwi.
They aren't to you, coz you ain't loaded enough to afford to rent let alone buying a unit! 🤣 🤣 🤣Those are not dream houses nyumba zinafanana kama madarasa ya shule isitoshe no privacy or nough space around the house
Tulia wewe, unga wa taifa ni 'Taifa' fro MMM hizo zingine ata ka niko njaa wacha ninywe chai tu! 🤣 🤣 🤣Aflatoxin inatokea wapi kwenye hizi advanced systems?
View attachment 1805210View attachment 1805211
"What if they landed in front of alshabab " kuna mkunya kaandika hivyo nikatafakari sana. alshabab wangemfanya askari wa KDF big G wamle na gomba. hao makomando wamepitwa hadi na harmonize alitembea na kamba juu. hao kweli makomando au mgambo?Kati ya makomandoo wanne waliotua...wawili tu ndo waliweza kutua salama
Hamna furniture zenye standard ya Tanzania, kwanza mbao mnatoa wapi? Ni hizo ambazo sisi ndio huwauzia?Chai, nani apoteze hela kununua furniture kutoka Dar wakati KE mafundi wapo hata ready-made ukitaka wapata. 😂
🤣🤣🤣🤣🤣 nikisema ww mwehu siwez koseaMimi sio mwehu kaka., let me relax as I follow proceedings in Kisumu
View attachment 1804727View attachment 1804725
Ukipata ushahidi nitag nifunge acc 🤣🤣🤣kenya hoyeee! hizi mabus zenu zooote, ata mu Pimp aje! lakini bado tu itabaki kuwa ni "Made in Kenya"
Dalili ya kushindwa ni ile yakuokota picha za google na kusema dar 😂😂😂😂😂 😂 😂 Si kwenyu huko ama ulirudi kijijini?
Ila wanasafari ndefu sana 🤣🤣👇👇 nimecheka mpaka basilkn umeona hicho kinachoitwa international stadium?🤦🏽♂️
Hujaskia hata paratroopers wanakufa wakiwa training za kila wakati huko ughaibuni pia, ajali haitabui wewe ni nani. Na sio mara yao ya kuanza kuruka, ndio kazi zao so sioni issue kubwa hapo. Ila ka umezoea movie, nakuelewa! 🤣"What if they landed in front of alshabab " kuna mkunya kaandika hivyo nikatafakari sana. alshabab wangemfanya askari wa KDF big G wamle na gomba. hao makomando wamepitwa hadi na harmonize alitembea na kamba juu. hao kweli makomando au mgambo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wataishia na akili ya kuent sio kuown hio hawatakua nayo mpaka kiyama 🤣🤣 eNairobi kama hauna hela hamna rangi utaacha kuona...Hii estate beginners hawaiweziView attachment 1805020
Kawe neighbourhood is Europe for you
Kucheka muhimu, kikimalizika pia ucheke zaidi! 🤣 🤣 🤣Ila wanasafari ndefu sana 🤣🤣👇👇 nimecheka mpaka basiView attachment 1805241View attachment 1805242View attachment 1805243View attachment 1805244