Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Mtu mwenye anaongea Tz Swahili anaonekana mshamba ama muungwana asie jua mengi, lijama lyenye limezubaa zubaa😂😂, kumbe mnajidanganya hivyo😂😂., Kenya swag ni sheng ama slang, sio kiswahili, better English than hiyo Kiswahili yenyu inasound kama mtu wa ushago yaani wa kule mashambani 😂😂😂, eti gali instead of gari😂😂😂., Hongo Kongo instead of Hong Kong😂😂😂😂.,For what? Hakuna mbongo wa kuwawaza level hiyo, unaishi Kenya ipi? Haujui Kenya ukisound kama mbongo au kutumia dialect ya kitanzania ndio unaonekana mjanja? Wakenya mnahangaika na swags za kibongo ili muonekane wajanja wala halina mjadala







