Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

3CB9DD24-71C6-4FA0-B142-8FA3C84A56AA.jpeg
 
Huyo ni mtz mwenzenuuandishi tayari umemuumbua kw kutaka ku fake na wewe zuka hujielewi umechukua ukaleta huku..jf sio ya mazuzu
For what? Hakuna mbongo wa kuwawaza level hiyo, unaishi Kenya ipi? Haujui Kenya ukisound kama mbongo au kutumia dialect ya kitanzania ndio unaonekana mjanja? Wakenya mnahangaika na swags za kibongo ili muonekane wajanja wala halina mjadala
 
Mturuki ameniudhi sana, kwanini awatapeli kaka zetu kutoka bongo angalia hio station umepost
Kwani mturuki ndio ka design station zetu sisi tumempa kazi atujengee kama tunavyotaka kulingana na mahitaji na ukubwa wa sehemu husika. Kama mji hauna watu 3000 station kubwa ya kazi gani angalia station za Dar moro na dodoma. Ila nyie mmempa mchina aamue kilakitu ndio maana kawapiga kwenye mijengo mikubwa porini ambao hamna watu ili ku justify gharama tuu amka kijana.
 
For what? Hakuna mbongo wa kuwawaza level hiyo, unaishi Kenya ipi? Haujui Kenya ukisound kama mbongo au kutumia dialect ya kitanzania ndio unaonekana mjanja? Wakenya mnahangaika na swags za kibongo ili muonekane wajanja wala halina mjadala
Hahaha haha... Hata hatuna haja, Sheng yetu tosha, inavuka mipaka sana. Hebu rudi ukalale, eti ni sound mbongo, ndio iweje vile. Kwanzo Kiswahili hicho cha ndani hakina ladha kama kilichochanganywa! 🤣 🤣 🤣
 
Kwani mturuki ndio ka design station zetu sisi tumempa kazi atujengee kama tunavyotaka kulingana na mahitaji na ukubwa wa sehemu husika. Kama mji hauna watu 3000 station kubwa ya kazi gani angalia station za Dar moro na dodoma. Ila nyie mmempa mchina aamue kilakitu ndio maana kawapiga kwenye mijengo mikubwa porini ambao hamna watu ili ku justify gharama tuu amka kijana.
Vibanda vya kujikinga mvua... 😂 😂 😂
 
Iceland haina railway system yoyote, it's a first world nation hata hamwezi kujilinganisha kimaisha. Hiyo ni moja nimekuonjesha! 🤣 🤣 🤣
Tanzania ni kubwa mara 10 ya Iceland na ina population ya 60mil wakati Iceland ni 300k

Akili ninyi hamna ndio maana mnachota kinyesi na mikono
 
Back
Top Bottom