Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Too many projects to keep up, tanzanians nguvu mnatoa wapi kujicompare nasi. james gichuru rironi highway
Lete yako inayoonyesha ni tanzaniaWikipedia ambayo mnakesha mkibadilisha maandishi, hv wewe hujisikii aibu![]()



Mzee wa kutegeshea picha😂😂😂
Wasingesaidiwa hizo Gold, Silver na Bronze zingekuwa hazitutambui. Nyie na viwanja vyenu vipya, vipi huko? Au tuwakopeshe wanaspoti? 😂sema hii wizara bana🤦🏽♂️.. hiv sio vitu vya kuongelea.. waongelee wanasanii wanafaidika vip na haki zao.. ujenzi wa viwanja au sports academies.. arenas.. wanawasaidiaje wana michezo katika michezo ya kimataifa
Mbona kitambo...kufa
Najua dozi imeingia! Usijali, ni sign hata mimi niwaletee medali anga! 🤣 🤣 🤣pumzika.. sikuelew.. boresha kiswahili chako kwanza
Hujipaki arimis ili usiumie??? 😂 😂 😂Mm huwa napenda sana kutumia mate![]()
Station ya kawaida tu, KE... 😂Kumbe mnajua kwamba cc ni kaka zenu basi tulia tukufundishe dunia inaendaje.
Msifanyie wenzenu hivyo jmn! 🤣Huwezi pinga facts![]()
Mambo yente Dar! 🤣 🤣 🤣Wakunya wachafu sana, aside openly defecating, huwa hawatawadhi, wanatembea na Mbolea.
Mchina kawasaidia sn kuongeza ongeza vijengo, mna kila sababu ya kumuuzia nchiIf you tell someone from outside this region that this isn't Nairobi cbd they won't believe you
View attachment 1804089




Ili Tanzania iwe Debt to GDP kama ya Kenya inatakiwa ikope kiasi gani. Na hizo Trillions Kenya atakuwa hajakaa akilia machozi ya Mbwa PoriVery good tuje sasa kwende debt to GDP ratio
Tanzania GDP ni 63wacha kurudisha nyuma na kenya baada ya kupika ni 99
tanzania 32%
kenya 86%
bado tumtafute bibi nyau apige ramli??
kwanini musimkabidhi mchina expressway kwa miaka 30 ilikua ni lazma mufanye hvo![]()