The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,529
Ikiuma chomoa, ikikwama sema tupake mate 











































Mturuki ameniudhi sana, kwanini awatapeli kaka zetu kutoka bongo😂😂 angalia hio station umepost😂😂😂Ss mturuki unamtukana kakukosea nn kwn yeye ndiye aliyesababisha nyie muwe na Diesel SGR?View attachment 1804079
Kumbe mnajua kwamba cc ni kaka zenu basi tulia tukufundishe dunia inaendaje.Mturuki ameniudhi sana, kwanini awatapeli kaka zetu kutoka bongoangalia hio station umepost
![]()
ni moja kati ya wizara vichomi Tz,,,,sema hii wizara bana.. hiv sio vitu vya kuongelea.. waongelee wanasanii wanafaidika vip na haki zao.. ujenzi wa viwanja au sports academies.. arenas.. wanawasaidiaje wana michezo katika michezo ya kimataifa
Tanzanians watu hawaishi humu kwenye za aina hii, bongo mzee watu wanaishi ndoto zao, okay okay hii ni dodoma heb pitia hapa . . . Pita humu alafu ujifunze kitu, hii ni Dodoma uko alaf linganisha na maisha ya watu wenu wanaishi kwenye estates, tena uchwara kama hiz ulizopost wewe
I don't know why it wasn't included in the first graph but hiyo ya pili Ipo. Of course it has the biggest population of middle-class in AfricaMbona sioni RSA!!?
Ziliusha wapi ni dikteta uchwara ndio alikua akiyafinikaHeheheheee maneno ya kanga hayo, hakuna binadamu ambaye tumemzoea na kuishi naye km albino, inshort ni kwamba hizo story za albino huku ziliisha na hata akipita hapo mbele wala hatumuangalii mana tunaona ni mtu km wengine, mm binafsi nina rafiki albino so ukiandika huu upuuzi nakuona km fala.
KumekuchaChunya Mbeya TzView attachment 1804086
We itakua umerlgwa si bure, uliskia city zikapimwa kw slumsMwengine kwa hasira anakwambia mji haupimwi kwa slumshawa watu nikucheka tu ukawaacha
Subutu, akifika hko dunia inaishaVipi South B, South C, Nairobi West, Nairobi South, Bellevue, Akiba, umewaonyesha ndugu zako? Huko pia ni kwa commoners, Na ni Nairobi bado. Ata Runda nk usifike huko!![]()
![]()
![]()
Wakiona hyo basi huaga wanaumia sana

