Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya machuma chakavu huyanunua lifespan yake ikiwa tayari imeshapita hata ule muda wa kuwa recyclable

Tanzania huingizi hizi takataka TIA wakakuangalia, imagine lingeanguka toka angani kwenye slums au mkutano
Sasa ni wapi ajali haitokei hapa duniani?
 
Bwahaha!!mukomboleeni mwenzenu hoteli nzuri jamani hawezani na nairobi hyo mzee wa uswazi middle class..
Huna uwezo unakuja unajikuta slum areas alafu eti unalialia hapa
Mpeni pole mwenzenu
Nipo kariadudu nimetulia na ni kweli sina uwezo nimepigika kinoma🙂naitaji msaada tunavozungumza sina hata nauli ya kurudi home🙂
 
hio flyover sio sifa.. hapo ubungo au tazara unatoka tu mlango wa kazin saa kumi unafika home saa tatu usiku sababu ya folen ya hapo.. saiz unapita kama vile barabara iko empty..
Sasa kama yenu sio sifa yetu inakuwaje ni sifa kama alivyosema mwenzako? Ndio maana kila siku nasemanga inferiority complex huwasumbua sana.
 
Nipo kariadudu nimetulia na ni kweli sina uwezo nimepigika kinoma🙂naitaji msaada tunavozungumza sina hata nauli ya kurudi home🙂
Nauli uko nayo in default. Ama gari ya UN unawacha pale Gigiri ukurudi zako Gongo la Mboto?
 
One of longest race track in africa, whistling morans
IMG_20210530_205800.jpg
IMG_20210530_205758.jpg
IMG_20210530_205804.jpg
 
Heri kufa njaa kuliko kula albino
Heheheheee maneno ya kanga hayo, hakuna binadamu ambaye tumemzoea na kuishi naye km albino, inshort ni kwamba hizo story za albino huku ziliisha na hata akipita hapo mbele wala hatumuangalii mana tunaona ni mtu km wengine, mm binafsi nina rafiki albino so ukiandika huu upuuzi nakuona km fala.
 
Bwahaha!!mukomboleeni mwenzenu hoteli nzuri jamani hawezani na nairobi hyo mzee wa uswazi middle class..
Huna uwezo unakuja unajikuta slum areas alafu eti unalialia hapa
Mpeni pole mwenzenu
Aende Mang Hotel hapo junction ya gikosh ni 1k per day. Nafikiri hiyo ndiyo ya chini Nai... 😂 Ama labda amepewa accommodation za bure, you know how NGOs roll sometimes!
 
Heheheheee maneno ya kanga hayo, hakuna binadamu ambaye tumemzoea na kuishi naye km albino, inshort ni kwamba hizo story za albino huku ziliisha na hata akipita hapo mbele wala hatumuangalii mana tunaona ni mtu km wengine, mm binafsi nina rafiki albino so ukiandika huu upuuzi nakuona km fala.
Nyinyi hamwaminiki bhana! Sio watu wema...
 
Mm niko bank wanakuja wateja mbalimbali, wakenya, Wazimbabwe, wacomoro, wa Nigeria, wazambia, Wacongo etc jamani Watz hawa watu wanaipenda hii nchi asikwambie mtu, pia wanampenda sana the late Magufuli, yn huwaambii kitu kuhusu Magufuli wakakuelewa.
Mkenya aliyempenda yule mzee, RIP JPM, basi alikuwa ana loose nut pahali upstairs! 🤣 He ruled with an iron fist, and you were the victims.
 
Back
Top Bottom