Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Msikieni huyu mwehu, wkt yeye mwenyewe hajui kiswahili
👇👇👊 kudadeq
IMG_20210530_235145_144.jpg
IMG_20210530_235126_226.jpg
 
nimegundua watz hapa wanajua kenya ata kunishinda. sijaelewa bado?. but nadhani hawa ni wale wako kenya kibiashara hivi. nimeanza kuogopa. ntakua na cheza chini ya waba
usiogope mzee ojwani,,,,,

kenya ni nchi yako
 
Dar Ni level nyingine wakati hamna majibu za gated communities za nairobi! Kazi ni kulialia hapa 'estate'! Nilikuambia organized gated communities zinapatikana in almost all major towns in Kenya. Look at Kisumu below kisha linganisha na zile chuma kavu za Dodoma
View attachment 1802499View attachment 1802500View attachment 1802501View attachment 1802502View attachment 1802503View attachment 1802505View attachment 1802506View attachment 1802508
Wakati nyinyi mnangoja serikali iwajengee chuma chakavu hapo Dodoma, hizi za Kisumu zinajengwa na private sector
Tanzanians watu hawaishi humu kwenye za aina hii, bongo mzee watu wanaishi ndoto zao, okay okay hii ni dodoma heb pitia hapa . . . Pita humu alafu ujifunze kitu, hii ni Dodoma uko alaf linganisha na maisha ya watu wenu wanaishi kwenye estates, tena uchwara kama hiz ulizopost wewe
 
Tanzanians watu hawaishi humu kwenye za aina hii, bongo mzee watu wanaishi ndoto zao, okay okay hii ni dodoma heb pitia hapa . . . Pita humu alafu ujifunze kitu, hii ni Dodoma uko alaf linganisha na maisha ya watu wenu wanaishi kwenye estates, tena uchwara kama hiz ulizopost wewe
Kwani unathani Nyinyi Ndio mnaotanga pekee hii Dunia😃Maajabu,eti kuishi ndoto zao!!!😂😂😂😂
 
nimegundua watz hapa wanajua kenya ata kunishinda. sijaelewa bado?. but nadhani hawa ni wale wako kenya kibiashara hivi. nimeanza kuogopa. ntakua na cheza chini ya waba
Wewe mgeni humu tulia, bado hujajua kwnn upo humu.
 
Back
Top Bottom