Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwakani tu hapo tunasubiri mungiki wakianza kuwachinja sie tunafunga border letu mmuane vizuri,ndipo utakapojua kama nyie ndio hamuaminiki
 
Kimya kimya makomandoo wetu hao wamehitimu mafunzo yao nchini nicaragua,hii,hapo naona kuna dogo letu burundi na dogo letu nunda rwanda,mungiki makomandoo wao wapo kozi ya kuuza mkaa somalia
 

Attachments

  • 03dadbc8f963343f6546fea45d23e2d7.mp4
    6.7 MB
Kimya kimya makomandoo wetu hao wamehitimu mafunzo yao nchini nicaragua,hii,hapo naona kuna dogo letu burundi na dogo letu nunda rwanda,mungiki makomandoo wao wapo kozi ya kuuza mkaa somalia
Makaa yana faida! 😎
Screenshot_20210501_172010.jpg
 
😅😅😅😅 Inaonekana gari Kenya ni anasa sana

Yaani hawa watu wanaishi maisha ya mababu zetu kabisa, punda these days?

Watakwambia wapo mbeleni kwenye infrastructure 😅😅
Eti wanatafuta tender lamu port ya kupeleka vyakula na vitu vingine kwa kutumia usafiri wa punda 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom