Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Sawa mkuu. Umeeleweka....Moshi sijawahifika so can't say much about itMbona unabadili story ?nilikua nakibali mawazo yako kuhusu Arusha, ndio nikadokeza hata moshi ni pazuri...Dodoma panaenda vizuri Miaka5 mbele patakua sawa tu...wacha wajenge ringroads, inter airport na electrified SGR ianze kazi...patazidi hadi miji maarufu ya sasa
Huyu mwamba anachota na kumwaga mbolea kwenye two wheels yake🙂👇👇Stool Bus lina Mbolea za wakulungwa linaenda kumwaga huko.
Ooh no no no



Ndo maisha ya wenzetu mkuu😔
Ntakuonyesha maeneo kadhaa ya moshiSawa mkuu. Umeeleweka....Moshi sijawahifika so can't say much about it
Kweli kufanya mambo ili tu upate sifa za kijinga ni aibu sana. Sasa huyu Uhuru Kenyatta badala ya ku-prioritize issue ya maji na Sanitary services kwa jiji la Nairobi yeye amekomaa na express way ambayo kimsingi haileti impact kubwa sana kwa majority of Nairobians. Ama kweli Kenya is half dead! Sisi TZ mara nyingi tunafanya miradi ambayo inaleta impact kwa watu wengi kwa maisha ya kila siku. We think big and ahead before we implement these big projects.Sehemu nyingi hazina maji wanachota njeView attachment 1802783🙄🙄
Morogoro is far ahead than that glorified Village, the problem I see with most Kenyans is lack of exposure
ghorofa imechapa ka shiet angalia stractures za nakuru alafu uniondolee huo uchafu
Hata nguruwe wetu huku TZ ukipeleka waishi mazingira hayo watafanya strike. It looks like half hell. So sad indeed.Huyu mwamba anachota na kumwaga mbolea kwenye two wheels yake🙂👇👇View attachment 1802788
Hapo sasa naona utanzania imekuingia kikamilifu. Sasa kiongozi wa nchi akifanya maendeleo anatafuta sifa? Kwa hivyo hata Magu pia alikuwa akitafuta sifa alipowajengea barabara yenu ya kwanza ya flyover? Tuwache kuongea kishabiki bila kuwa na uelewa wa mambo, tutaonekana wajinga tu.Kweli kufanya mambo ili tu upate sifa za kijinga ni aibu sana. Sasa huyu Uhuru Kenyatta badala ya ku-prioritize issue ya maji na Sanitary services kwa jiji la Nairobi yeye amekomaa na express way ambayo kimsingi haileti impact kubwa sana kwa majority of Nairobians. Ama kweli Kenya is half dead! Sisi TZ mara nyingi tunafanya miradi ambayo inaleta impact kwa watu wengi kwa maisha ya kila siku. We think big and ahead before we implement these big projects.
Maisha ya wenzetu Noma Sana😔😔😔aafu kiburi kinatawala🙂Hata nguruwe wetu huku TZ ukipeleka waishi mazingira hayo watafanya strike. It looks like half hell. So sad indeed.
picha gani ya daily hapa!??.. kwani ushawai ona picha gani hapa before. hii yoote.. ni geni kwako aiseePicha zako hizi hizi daily huchoki aisee, watu tushaanza kumulika Dodoma wewe umekazana na Nairobi tu na picha zile zile za large scale![]()
Heheheh, I love the way I opened your eyes hadi umeleta Kisumu your 3rd largest city to compete with Morogoro,
Travel young man, Travel. Ukijifungia Kibera utahisi jua linazunguka hapo Nairobi pekee,
This is Arusha, the 3rd Largest City, mind you Tanzania is the most urbanised Nation in East Africa with bigger cities and towns.
Makaazi ya wanakijiji wa Moshi! 🤣 🤣 🤣 🤣 Labda niwe nimezaliwa leo!Moshi town n rural
Infact moshi (Klm region)is the second most developed region in TzView attachment 1802802View attachment 1802803View attachment 1802804View attachment 1802805View attachment 1802806View attachment 1802807View attachment 1802808View attachment 1802809View attachment 1802810
My friend suala la ukosefu wa maji na uchafu wa jiji la Nairobi has been there for decades now but your governement has given it the back side. Kama unapinga hili basi wewe sio wa Nairobi au unapinga tu hi mradi umepinga. Hata Dar miaka ya nyuma tulikuwa na tatizo la maji katika maeneo kadhaa ya jiji. Kwa kutambua kuwa usafi wa jiji unaendena na upatikani wa maji serikali ilifanya miradi kadhaa ambayo imepunguza kwa kiasi kikubwa sana tatizo la maji katika jiji la dar.Hapo sasa naona utanzania imekuingia kikamilifu. Sasa kiongozi wa nchi akifanya maendeleo anatafuta sifa? Kwa hivyo hata Magu pia alikuwa akitafuta sifa alipowajengea barabara yenu ya kwanza ya flyover? Tuwache kuongea kishabiki bila kuwa na uelewa wa mambo, tutaonekana wajinga tu.
Pengine hujawahitumia barabara ya Mombasa rd so huwezielewa ni kwa nini hiyo expressway was a necessity. Ile barabara ndio main highway ya kutoka na kuingia JKIA. Watu wanapoteza mda mwingi sana kwenye hiyo barabara kutoka na foleni na hadi wengine kumiss hata flights zao just because they couldn't make it airport on time because of traffic gridlock. Do you have any idea how this impacts on the economy?
Kitu kingine huelewi ni kwamba services nyingi hapa Kenya zilikuwa devolved (this will need a whole day of lecture so let's leave it there). Na aliyekuambia kwamba hatuna miradi ya maji Kenya ni nani? Acha kuropokwa na maneno!
Tuko Dodoma nowKwani hutaki tena tulete picha za makazi ya whites?![]()
![]()
![]()
Hebu niletee picha ya Dar yenye haijawahi tupwa humu ndanu








Kapagawa na Dodoma mpk Moshi anaipa jina la DodomaKivipi tena? Huo mji bado ni mchanga sana. It will take time before Dodoma becomes a respected town. Kwa sasa bado sana








Hataki kusikia ss we mwache usimpe siri hiiMbona unabadili story ?nilikua nakibali mawazo yako kuhusu Arusha, ndio nikadokeza hata moshi ni pazuri...Dodoma panaenda vizuri Miaka5 mbele patakua sawa tu...wacha wajenge ringroads, inter airport na electrified SGR ianze kazi...patazidi hadi miji maarufu ya sasa




