Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu upuzi Magu hakuutaka,hivi ikitokea wameharibu watawajibishwa kweli? Nakumbuka kids cha ATCL na mke mmoja wa waziri flani,shirika lilikuwa haliendi kabisa!
mama kuna jambo analitafuta,,,,ukiona hivyo inawezekana kuna watu wa mzee wa awamu ya JK anataka kuwapachika sehemu nyeti hivyo lazima azuge azuge kuwaweka hao wake,rafiki au waume wa viongozi wengine ili akianza kuwatupia wa JK asipate lawama aonekane kabalance
 
i just love these
IMG_1622452717.550170.jpg
IMG_1622452728.871105.jpg
IMG_1622452735.657395.jpg
 
Baba yake ni Mtanzania mama Mgermany,ndio namba 1 kwa long jump germany olympic team,ana ni maarufu mno kwa germany kwa urembo na kipaji cha kuruka,serikali yetu sijui kwanini uwa aiwatumii watu kama hawa!



so? kwahiyo sie tuwe tunatoa tu ubalozi kwa yeyote yule soka na kuruka viunzi ni mchezo upi unafuatiliwa zaidi?
 
so? kwahiyo sie tuwe tunatoa tu ubalozi kwa yeyote yule soka na kuruka viunzi ni mchezo upi unafuatiliwa zaidi?
Kama mmempa show madjozi na bongozozo kuna ubaya gani mkiwapa watu maarufu wenye damu ya kitanzania,huyo malaika tunaweza kumtumia kwa watalii wa germany,na huyo dada olympic ya 2020 kama si kughairishwa sababu ya corona germany walikua wanategemea medali toka kwake,halafu muda mwingine unakuaga na ubishi wa kijinga sana!unajiona wewe ndio mwenye right zote za kuiongelea Tanzania!
 
Kama mmempa show madjozi na bongozozo kuna ubaya gani mkiwapa watu maarufu wenye damu ya kitanzania,huyo malaika tunaweza kumtumia kwa watalii wa germany,na huyo dada olympic ya 2020 kama si kughairishwa sababu ya corona germany walikua wanategemea medali toka kwake,halafu muda mwingine unakuaga na ubishi wa kijinga sana!unajiona wewe ndio mwenye right zote za kuiongelea Tanzania!
Kuna huyu dogo naona ana influence kwny sports ni mbongo pure mtoto wa Mbezi Beach ila sioni kama tunamtumia ipasavyo.

Screenshot_20210531-124559_1.jpg


Screenshot_20210531-124704_1.jpg
 
Back
Top Bottom