dickchiller
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,847
- 3,151
Kisa kapost picha ndio uwapigie UN haaàaaa wakenya bwana mnapenda kujipendekeza sana . Kuna mmoja mpishi yupo bongo kwenye taasisi moja basi anapenda kujisifia alikua mpishi South Africa na nchi kadhaa afrika. Naishia nimeangalia yaani kupata exposure kote bado unaendelea kutumikishwa jikoni ? Si angefungua hata restaurant yake . Mpishi wa kikenya akiitwa chef anaona rahaUmejianika vibaya, wacha nipigie UN office Nairobi, unachezea kazi wewe
Sent using Jamii Forums mobile app




