Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamaa anapost picha sehemu wafanyibishara wametupa maganda alafua ywajufurahisha humu

Shebby aliambiwa apost picha za uptown humu akakataa yeye bado amekaza na picha za downtown
Unafikiri mtanzania akija nairobi anaenda wapi except downtown? Huko ndio wanakutana na wale dungu na dada zao ombaomba wa downtown Nairobi wakajuane hali angalau. Si wajua wale ombaomba wao wamevamia yale maeneo kama nzige? They can't venture beyond Tom Mboya street kuingia Moi Avenue and beyond. Nazi ni kuzurura Nyamakima, OTC, River Rd na maeneo kama hayo kisha wanarudi zao Dar then wanajiamisha wamefika Nairobi

Secondly, everything is cheaper in downtown, from food to accommodation and everything. Apige picha akiwa Sarova Stanley ndani tuone coz nayo ipo cbd
 
Huu ni mji wa kiserikali Mtumba kazi inaendelea
Screenshot_20210530-093538.jpg
Screenshot_20210530-093917.jpg
Screenshot_20210530-093934.jpg
Screenshot_20210530-093854.jpg
 
Unafikiri mtanzania akija nairobi anaenda wapi except downtown? Huko ndio wanakutana na wale dungu na dada zao ombaomba wa downtown Nairobi wakajuane hali angalau. Si wajua wale ombaomba wao wamevamia yale maeneo kama nzige? They can't venture beyond Tom Mboya street kuingia Moi Avenue and beyond. Nazi ni kuzurura Nyamakima, OTC, River Rd na maeneo kama hayo kisha wanarudi zao Dar then wanajiamisha wamefika Nairobi

Secondly, everything is cheaper in downtown, from food to accommodation and everything. Apige picha akiwa Sarova Stanley ndani tuone coz nayo ipo cbd
Shebby01 umeumiza mtu huku, ona kilio hii
 
Inferiority complex huwa inawasumbua sana watanzania. That place is so dry for anybody's liking to begin with.

Kama ni hiyo mfumo wa organised housing ndio inakupa nyege, mbona ni jambo la kawaida huku Kenya? Anyway, we understand coz you never find so many such organized residential areas in Tanzania. That's why you often refer to them as 'estates' whatever that means. It's such a normal thing here in Kenya
Real-Estates ni jambo gani sana sana tz. nadhani wameanza ule mfumo wa kenya. wameanza kutu iga
 
Unafikiri mtanzania akija nairobi anaenda wapi except downtown? Huko ndio wanakutana na wale dungu na dada zao ombaomba wa downtown Nairobi wakajuane hali angalau. Si wajua wale ombaomba wao wamevamia yale maeneo kama nzige? They can't venture beyond Tom Mboya street kuingia Moi Avenue and beyond. Nazi ni kuzurura Nyamakima, OTC, River Rd na maeneo kama hayo kisha wanarudi zao Dar then wanajiamisha wamefika Nairobi

Secondly, everything is cheaper in downtown, from food to accommodation and everything. Apige picha akiwa Sarova Stanley ndani tuone coz nayo ipo cbd
Ngoja nikuibie Siri mzee nix 😂😂😂 Kariakoo (kk) huwa ni chafu lakini kwa uchafu huo 😂😂😂 hapana kwakweli, hakuna mji wowote Tanzania wenye CBD chafu kama hapo kwenu, kitu kingine ni aina ya magari 😂😂 nyie wajamaa ni maskini wa kutupa, huwezi Kuta hayo magari Dar hata siku moja, kama yalikuwepo labda ni 90s ..
 
Back
Top Bottom