Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizi pia ni 'eststes'as you people refer to anything that look's organised? Halafu hi ndio hali halisi ya Dodoma? Ni pakavu hivyo ama ni picha tu?
Najua kinachokuuma, pole sn utazoea tu, kuna ring road inakuja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Leo mlikimbiana humu .. shebby ni mtu mbadi sana Nairobi down town ni kama mbagala rangi tatu palivyopachafu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ata Kama Ni pachafu,mnathani DAR ama Mji yoyote TZ itawaiipita Nai๐Ÿผ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™‰๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿคช
 
Kuna mtu Iyumbu City imemuuma kweli kweli, wao wanakomaa na Nairobi tu cc tunajenga Tz nzima, eti anauliza ukavu wa Dodoma anasahau ushuzi huu hapa [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji1664][emoji529][emoji90][emoji117][emoji1139][emoji117][emoji3545][emoji2781][emoji706][emoji117][emoji1241][emoji117][emoji382][emoji375][emoji419]
JamiiForums670254109.jpg
JamiiForums-338347843.jpg
JamiiForums-1929298400.jpg
JamiiForums562049951.jpg
 
Very soon natembea TZ kwa Biashara flani,ntawaanika kuwaanika mpaka mshangae[emoji2]
Kwani unadhani wewe ndio utakuwa mkunya wa kwanza? Wenzio wapo humu mwaka wa 3 sasa tangu thread ianzishwe huwa wanasema nakuja Dar lkn wakifika wanakosa cha kupost wanakuta mazingira mazuri kuliko walivyohadithiwa, mwishowe wanazamia huku huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Very soon natembea TZ kwa Biashara flani,ntawaanika kuwaanika mpaka mshangae[emoji2]
Jamaa anapost picha sehemu wafanyibishara wametupa maganda alafua ywajufurahisha humu[emoji1787][emoji1787]

Shebby aliambiwa apost picha za uptown humu akakataa yeye bado amekaza na picha za downtown
 
Wallahi naapa gari ya namna hii cjaiona miaka mingi sn, eti kule Kenya inasafirisha abiria [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums562049951.jpg
 
Mwenzako anapaogopa sana nairobi uptown, ajaribu ku post humu uone vike mtakimbiana..
Ku post downtown ni kujifurahisha tu[emoji1787][emoji1787]alafu anategeshea sehemu atakuta muuzaji ametupa maganda kando ndio apige picha sasa
So hawa nao waongo [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20210131-111804.jpg
 
Back
Top Bottom