The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
it's my style to consistently use the lower-case!Not english, it's English.
Nipo shehe wangu ndo napakia mzigo kidogo
Broken hiyo hapo "I still begg"please and i still begg again and again..... hebu mushift frm Socialist/Communist (Ujamaa) to Capitalist (Ubinafsi).
hebu muone tu vile hizo systems mbili ilivyo separate hizi nchi mbili mara mbili kimaendeleo yani.. hii ni picha ya North Korea vs South Korea usiku kulingana na picha za NASA.. ona, vile Pyongyang ni ka dot tu, lakini south korea nayo!?..
👇👇View attachment 1798781
Namuona "mama mboga" hapo kando ya barabara akiuza ndizi na tuliambiwa hawapo



i realy like these photos.. kenya sisi tunapenda kujituma sana, sisi si wazembe kama wadanganyika. in whatever angle, nairobi is still very colorful and beautiful even though still..Nipo shehe wangu ndo napakia mzigo kidogoView attachment 1801417View attachment 1801418🙂🙂🙂
Mbona wapo wengi kesho naingia zangu korokocho kwa kina flani nimekutana na Kaka wirlee tumepiga story Sana😀😀Namuona "mama mboga" hapo kando ya barabara akiuza ndizi na tuliambiwa hawapo![]()
Actually some beers r € 70cents!a beer in Berlin is sold 1$, (nimekunywa bia Berlin) and a beer in Kenya is 2$
So Berlin is a poor city and Nairobi a rich city.
Charcoal yard! !Yeah, charcoal field which btw, most of them produce world-class athletes(world record holders), and that's a fact you can't take away! 🤣 🤣 🤣 🤣
Ss kwnn unabisha unapoambiwa kwamba ni mzee wa broken.it's my style to consistently use the lower-case!
Kenya bado wanapakia mizigo juu ya gari...!!???..hii maneno ilishapitwa na wakati zamani sana kibongobongo huwezi kuona hizo vitu hata kijijiniNipo shehe wangu ndo napakia mzigo kidogoView attachment 1801417View attachment 1801418🙂🙂🙂








Kwa hizi picha kama ni za Nairobi..basi Nairobi haipishani sana na Kampala..yaani hayo mazingira resembles to kampalaNipo shehe wangu ndo napakia mzigo kidogoView attachment 1801417View attachment 1801418🙂🙂🙂
Tuliambiwa pia hamna mama lishe Nairobi cbdNamuona "mama mboga" hapo kando ya barabara akiuza ndizi na tuliambiwa hawapo![]()






Mbona wapo wengi kesho naingia zangu korokocho kwa kina flani nimekutana na Kaka wirlee tumepiga story SanaView attachment 1801433View attachment 1801435
![]()











