Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani zile cheap houses zinawafurahisha sana kisa wamepata angalau kasehemu kamepangwa kiasi. Alafu eti ni project ya serikali! Hizo unaweza linganisha hata na zile affordable houses ambazo serikali zinajenga huku Kenya?
Subutu, affordable housing kenya ni mambo mbaya we huwaoni pande hzo hawagusii manake wanajua ipo siku watakuja kutwa na mshtuko wa moyo
 
H
Hii ndo City under the sun?! Dah hayo maeneo mengine yatakuwaje sasa?!Unaweza ukatoka Nairobi ukifika Dar,unafikia kwa daktari kwa ajili ya check up ya afya. Muda wote wako na ile barabara ya mchina!,kumbe huku mambo kwa ground ni hopeless kabisa na huu ni wakati ambapo hakuna mvua, imagine wakati wa mvua. Aisee!
 
H
Hii ndo City under the sun?! Dah hayo maeneo mengine yatakuwaje sasa?!Unaweza ukatoka Nairobi ukifika Dar,unafikia kwa daktari kwa ajili ya check up ya afya. Muda wote wako na ile barabara ya mchina!,kumbe huku mambo kwa ground ni hopeless kabisa na huu ni wakati ambapo hakuna mvua, imagine wakati wa mvua. Aisee!
Mwenzako bado anatafuta pa kupiga picha
Lkn ywasuburia arudi muthurwa ndio apige tena
 
Nimefikia ubalozini Kwanza nipate cha mchana 🙂
20210530_084549.jpg
20210530_084608.jpg
 
Turkana offices, hakuna jipya hapoView attachment 1802187
😅😅😅 Wewe unajua hilo ni jengo la nini?

Naona ulivyo hujiamini umeenda kumiletea office za Serikali ya Turkana

Hiyo ni office ya OSHA mzee, taasisi ndogo tu ya Serikali inayohusika na kusimamia usalama wa watu na mazingira kwenye maeneo ya ujenzi na viwandani

Sasa niletee OSHA ya Kenya 😅😅😅 na sidhani hata kama mnayo

VAQjEX_X_400x400.jpg
images (77).jpeg
boa_z6_1622360059832_1.jpg
 
Nlikua na bro wirlee nae namsubir atwange ma foto ya upande ule mwingine sababu mda ni mchache narudi home soon nime miss wali kisamvu
kumbe ulikamatana naye


daah umewatia adabu wakenya,,,

maana wengi wao hawaijui Dar huwa wanaishia kusimuliwa na geograph teacher nimecheka mpaka basi leo,,,wakenya ni wapuuzi sana
 
Back
Top Bottom