Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama Iyumbu City imekupa orgasm namna hii je ukiuona mji wa kiserikali Mtumba c utalia kabisa
Kijana wa Tandale, organised residential areas nimeona Nairobi hadi nikachoka. Hiyo sehemu pakavu ni pa kumpa nani orgasm wakati tumezoea mandhari tulivu kama hizi in gated communities?
images(150).jpg
images(151).jpg
images(147).jpg
images(152).jpg
2d48f2661f321792fce3eab735ed569b.jpeg
81f7291b19acac025a426c256a54ece7.jpeg
images(153).jpg
images(154).jpg


Pandeni angalau nyasi kwenye hilo eneo ndio mje kwenye meza ya mazungumzo!
 
Unafikiri mtanzania akija nairobi anaenda wapi except downtown? Huko ndio wanakutana na wale dungu na dada zao ombaomba wa downtown Nairobi wakajuane hali angalau. Si wajua wale ombaomba wao wamevamia yale maeneo kama nzige? They can't venture beyond Tom Mboya street kuingia Moi Avenue and beyond. Nazi ni kuzurura Nyamakima, OTC, River Rd na maeneo kama hayo kisha wanarudi zao Dar then wanajiamisha wamefika Nairobi

Secondly, everything is cheaper in downtown, from food to accommodation and everything. Apige picha akiwa Sarova Stanley ndani tuone coz nayo ipo cbd
Jamaa tushamjuaanakimbilia downtown kw sababu hko ndio bei za vitu nkm kule kwao uswazi middle class..
Kuanzia accomodation mpka vyakula na madanguro
 
Kijana wa Tandale, organised residential areas nimeona Nairobi hadi nikachoka. Hiyo sehemu pakavu ni pa kumpa nani orgasm wakati tumezoea mandhari tulivu kama hizi in gated communities?
View attachment 1802166View attachment 1802167View attachment 1802168View attachment 1802169View attachment 1802171View attachment 1802172View attachment 1802173View attachment 1802174

Pandeni angalau nyasi kwenye hilo eneo ndio mje kwenye meza ya mazungumzo!
Don't get twisted

Hiyo iyumbu satellite city kwa hizo quality za nyumba kwa huko Kenya ni very expensive lakini FYI hizo nyumba zote tayari zipo booked (nitakuwekea video) na ukiambiwa zimeuzwa bei gani kwa pesa ya Kenya ni very cheap

So hizo sio dream houses wala wealthy neighborhood kibongobongo

Dream houses za Dodoma ni kama hizi hapa, ambazo saivi zinajengwa kama uyoga huko Dodoma
 
Wanasiasa unafiki ndo sifa zao, dodoma vinyumba vya uswazi ndo real estate😂😂😂 unajua kenya kuna cities ngapi zinajengwa wewe😁😁
. Alaf hawa wabunge wenu walipita wakajionea wenyewe mambo, skiliza comments zao hapa 👇
 
Wanasiasa unafiki ndo sifa zao, dodoma vinyumba vya uswazi ndo real estate unajua kenya kuna cities ngapi zinajengwa wewe
Mazee..yani vijumba vya kipuuzi kweli eti kule kwao ndio wanajengwa kw ajili ya kukuza mji
 
Don't get twisted

Hiyo iyumbu satellite city kwa hizo quality za nyumba kwa huko Kenya ni very expensive lakini FYI hizo nyumba zote tayari zipo booked (nitakuwekea video) na ukiambiwa zimeuzwa bei gani kwa pesa ya Kenya ni very cheap

So hizo sio dream houses wala wealthy neighborhood kibongobongo

Dream houses za Dodoma ni kama hizi hapa, ambazo saivi zinajengwa kama uyoga huko Dodoma

Dreamhouses zenu tunazijua kijana. Ukitaka picha sema tukuletee
 
Mazee..yani vijumba vya kipuuzi kweli eti kule kwao ndio wanajengwa kw ajili ya kukuza mji
Yani zile cheap houses zinawafurahisha sana kisa wamepata angalau kasehemu kamepangwa kiasi. Alafu eti ni project ya serikali! Hizo unaweza linganisha hata na zile affordable houses ambazo serikali zinajenga huku Kenya?
 
Jamaa tushamjuaanakimbilia downtown kw sababu hko ndio bei za vitu nkm kule kwao uswazi middle class..
Kuanzia accomodation mpka vyakula na madanguro
Huyu usishangae analala kwenye zile guest houses za River road that have been run over by commercial sex workers
 
Ngoja nikuibie Siri mzee nix 😂😂😂 Kariakoo (kk) huwa ni chafu lakini kwa uchafu huo 😂😂😂 hapana kwakweli, hakuna mji wowote Tanzania wenye CBD chafu kama hapo kwenu, kitu kingine ni aina ya magari 😂😂 nyie wajamaa ni maskini wa kutupa, huwezi Kuta hayo magari Dar hata siku moja, kama yalikuwepo labda ni 90s ..
Umeongea kwa uzalendo sana. About dirty cities, umeangalia hii list ya Forbes ukajua Dar inashikilia naafasi ya ngapi hapa duniani?

Kuhusu swala la umasikini, umesahau mko kwenye tatu bora Africa?
PhotoGrid_1605162481588.jpg

Jipige tathmini ndugu. Usiwe mtu wa kuongea tu pasi na uelewa wa mambo!
 
Vipi huko UDSM? 😂 😂 😂
IMG_20210530_105432.jpg

Screenshot_20210530_105414.jpg

Screenshot_20210530_105357.jpg

Screenshot_20210530_105338.jpg


Compare hapa! 👇 👇 👇 😎
The JKUAT Tech Expo
"A group of Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology (JKUAT) students have developed several innovations to help in the fight against Covid-19 pandemic. Among them are two portable solar-powered ventilators, a contact tracing application, a digital system that predicts Covid-19 infection trends in Kenya."
"Roy Allela’s,25,a Kenyan scholar who innovated a pair of smart gloves with flex sensors for the deaf."
IMG_20210530_110914.jpg
 
Back
Top Bottom