Fabio santolo
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 321
- 241
Bongo yenyewe zipo kibao,ni watanzania wachache ndo wananunua kwa sababu wengi wetu tuna uwezo wa kujenga house nzuri yenye kila kitu,kwa nini tununue!??..nyie ni masikini sana hamuwezi kujenga wala kununua nyumba,tunawajua ndo maana over 70% ya wanairobi wanaishi kwenye slumNjoo Nairobi nikuonyeshe nyumba za kununua utajidharau. Nyumba iliyojengwa na wataalamu halafu ukitazama nje barabara zimetengenezwa zikawa safi. Sio hizo vibanda zenu tacky alafu ukitoka hivi nje ya compound barabara ni vumbi tupu kitambo ufike town Mercedes yako imejaa vumbi inakaa yenye imetoka jangwani. 🤣 🤣 🤣