Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Njoo Nairobi nikuonyeshe nyumba za kununua utajidharau. Nyumba iliyojengwa na wataalamu halafu ukitazama nje barabara zimetengenezwa zikawa safi. Sio hizo vibanda zenu tacky alafu ukitoka hivi nje ya compound barabara ni vumbi tupu kitambo ufike town Mercedes yako imejaa vumbi inakaa yenye imetoka jangwani. 🤣 🤣 🤣
Bongo yenyewe zipo kibao,ni watanzania wachache ndo wananunua kwa sababu wengi wetu tuna uwezo wa kujenga house nzuri yenye kila kitu,kwa nini tununue!??..nyie ni masikini sana hamuwezi kujenga wala kununua nyumba,tunawajua ndo maana over 70% ya wanairobi wanaishi kwenye slum
 
Kwa hivyo hizi nyumba mlizojijingea Dar ni bora kuliko hizi hapa za kununua Nairobi? Uko na akili ukweli wewe?

Za kujejijingea Dar
View attachment 1797963

Za kununua Nairobi
View attachment 1797965
Zinanunuliwa na nani??? Nani ananunua au unatuambia habari ya kurent ??🤣🤣🤣 na wamikiki wa hizo estates utaskia ni wale wale wa kila siku au mm nasema urongo

Wacha tuzoom sasa👇👇👇🤣🤣🤣 tuone kwann mzungu asiwe na akili
20E4E756-87F8-4801-B46C-0923267A9815.png
3A893584-3220-4F79-938E-21883E423BE1.png
 
Bongo yenyewe zipo kibao,ni watanzania wachache ndo wananunua kwa sababu wengi wetu tuna uwezo wa kujenga house nzuri yenye kila kitu,kwa nini tununue!??..nyie ni masikini sana hamuwezi kujenga wala kununua nyumba,tunawajua ndo maana over 70% ya wanairobi wanaishi kwenye slum
Watanunua wapi hebu niambie🤣🤣👇👇
F0B759A9-3311-4CCE-863C-93168AB47D63.jpeg
 

Twiga Cement to expand production capacity​

Twiga Cement to expand production capacity
19 April 2021


Tanzania Portland Cement (Twiga Cement) has announced its intention to invest US$15m in an expansion and rehabilitation programme in 2021, according to the Tanzania Daily News.

For the past 10 years, the factory has been producing 1.2Mta of cement, but it has currently increased capacity to about 2Mta.

"Twiga Cement is doing well and we are happy for that, they have also thanked the government for better business environment despite the fact that there are small policy challenges which we are going to work on in collaboration with responsible institutions," said Danford Semwenda, factory senior commercial manager.

Published under Cement News

🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Woooow sasa wataenda kuzalisha about 3m tons a year
 
Njoo Nairobi nikuonyeshe nyumba za kununua utajidharau. Nyumba iliyojengwa na wataalamu halafu ukitazama nje barabara zimetengenezwa zikawa safi. Sio hizo vibanda zenu tacky alafu ukitoka hivi nje ya compound barabara ni vumbi tupu kitambo ufike town Mercedes yako imejaa vumbi inakaa yenye imetoka jangwani.
unategemea watu wajenge estate bila kuweka barabara..?,,,
we jamaa wa wapi ,mbona mshamba sana,,,,,
estate yeyote ile kwa asilimia kibwa lazima wenye project wajenge barabara aidha yenye rami au zege,,,

ndiyo maana nikakuambia ulete individual house tuone na chakufurahisha mwenyewe ukaleta ule uchafu wenye vijumba uchwala 15 na hakukuwa na rami yeyote iliyojengwa na government,na izo ni baadhi ya nyumba bado hamjaonyesha nyingine mlizozificha
 
unategemea watu wajenge estate bila kuweka barabara..?,,,
we jamaa wa wapi ,mbona mshamba sana,,,,,
estate yeyote ile kwa asilimia kibwa lazima wenye project wajenge barabara aidha yenye rami au zege,,,

ndiyo maana nikakuambia ulete individual house tuone na chakufurahisha mwenyewe ukaleta ule uchafu wenye vijumba uchwala 15 na hakukuwa na rami yeyote iliyojengwa na government,na izo ni baadhi ya nyumba bado hamjaonyesha nyingine mlizozificha
Na wenye project wa hzo estate ni wale wale wanajulikana niliwataja jana 🤣🤣🤣🤣
 
The concept is the same, gari la kununua limetengenezwa na wataalamu kwa hivo litakuwa bora kuliko ulilojitengenezea. Vilevile, nyumba ya kununua imedesigniwa na wataalamu na kujengwa na wataalamu, sio kama hizo vibanda zenu za ebu weka hapa bafu alfu pale choo na uniwekee chumba cha kusomea pae.

Yani ujenge kibanda kama hivi mnavoposti hapa hapo tandale na mimi ninunue Mansion kama hii kwa video alafu uniambie wewe unaishi kwa dream house na mimi siishi kwa dream house kisa nimenunua nawe ukajenga?

Hahaaa!!eti choo weka pale bafu niekee chini ceiling eka sijui vipi bila ku consider kitaalamu
 
Bongo yenyewe zipo kibao,ni watanzania wachache ndo wananunua kwa sababu wengi wetu tuna uwezo wa kujenga house nzuri yenye kila kitu,kwa nini tununue!??..nyie ni masikini sana hamuwezi kujenga wala kununua nyumba,tunawajua ndo maana over 70% ya wanairobi wanaishi kwenye slum
Maskini ndio hawezi kununua nyumba ndio manake anaamua kujijengea mwnywe ili aendane na hadhi yake..
 
Bongo yenyewe zipo kibao,ni watanzania wachache ndo wananunua kwa sababu wengi wetu tuna uwezo wa kujenga house nzuri yenye kila kitu,kwa nini tununue!??..nyie ni masikini sana hamuwezi kujenga wala kununua nyumba,tunawajua ndo maana over 70% ya wanairobi wanaishi kwenye slum
Swali lafaa liwe, mbona nijenge nyumba ovyo mahali pasipo na barabara nzuri na wakati nina uwezo wa kununua nyumba poa world standard iliyojengwa na wataalamu mahali palipo na barabara zenye lami, good sewarage system na kila kitu?

Ziko wapi? Halafu nitawezaje kununua nyumba high quality na nishindwe kujenga nyumba lower quality yet buying is more expensive than building? Hivi wewe una akili? Nilishakwambia kwa dream residential houses Dar haiwezani na Nairobi. Ebu nionyeshe Bongo mtaa wa kifahari wenye access roads zote nzuri zenye lami kama hizi. Nionyeshe moja.

 
unategemea watu wajenge estate bila kuweka barabara..?,,,
we jamaa wa wapi ,mbona mshamba sana,,,,,
estate yeyote ile kwa asilimia kibwa lazima wenye project wajenge barabara aidha yenye rami au zege,,,

ndiyo maana nikakuambia ulete individual house tuone na chakufurahisha mwenyewe ukaleta ule uchafu wenye vijumba uchwala 15 na hakukuwa na rami yeyote iliyojengwa na government,na izo ni baadhi ya nyumba bado hamjaonyesha nyingine mlizozificha
Unadhani siijui Dar wewe? Oyster Bay yenyewe haina access roads za lami. Hizo vibanda mlizopost hapa zote access roads vumbi tupu alafu tushindane? Ndio maana unainsist individual houses maanake hatutaona huo upungufu. Nikiamua kupost hapa individual houses hata from Kenyan villages pekee mtakimbia humu. Nimekuuliza nionyeshe mtaa mmoja Tanzania wenye access roads zilizo na lami zote kama huu hapa.



 
Unadhani siijui Dar wewe? Oyster Bay yenyewe haina access roads za lami. Hizo vibanda mlizopost hapa zote access roads vumbi tupu alafu tushindane? Ndio maana unainsist individual houses maanake hatutaona huo upungufu. Nikiamua kupost hapa individual houses hata from Kenyan villages pekee mtakimbia humu. Nimekuuliza nionyeshe mtaa mmoja Tanzania wenye access roads zilizo na lami zote kama huu hapa.



aliyekuambia kuwa Dar ni oysterbay pekee ni nani....

au ushawehuka
 
aliyekuambia kuwa Dar ni oysterbay pekee ni nani....

au ushawehuka
Oyster Bay is your best. Kama your best has no paved roads sasa zingine zitapata wapi? 🤣 🤣 🤣 🤣

Dream houses ulizopost ndio hizi hapa. Nionyeshe lami. 🤣🤣🤣

1.jpg
 
unategemea watu wajenge estate bila kuweka barabara..?,,,
we jamaa wa wapi ,mbona mshamba sana,,,,,
estate yeyote ile kwa asilimia kibwa lazima wenye project wajenge barabara aidha yenye rami au zege,,,

ndiyo maana nikakuambia ulete individual house tuone na chakufurahisha mwenyewe ukaleta ule uchafu wenye vijumba uchwala 15 na hakukuwa na rami yeyote iliyojengwa na government,na izo ni baadhi ya nyumba bado hamjaonyesha nyingine mlizozificha
Kwn wenyewe wajinga wajenge alafu wasijumuishe bei ya hvo vyote wakati wa kuuza
 
ni kweli ipo hivyo,,,, wakenya wanaakili za mavi sana,,,,

na chakusmfurahisha ,estate zao zote ukizijumlisha hazifikii ubora na ukisasa wa hizi nyumba za adabu za FUMBA TOWNView attachment 1798012View attachment 1798013View attachment 1798014View attachment 1798015View attachment 1798016
Fumba Town ya Zanzibar inayojengwa na Kampuni ya Kikenya is the only thing close to an estate with roads - alafu roads zenyewe tu ni zenye ziko within the gated community - outside hakuna access roads. 🤣🤣🤣

Cha kushangaza mnadiss mfumo wetu alafu tukiwaletea huo huo mfumo kwenu inakuwa ndio bragging point yenu. 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom