Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
The concept is the same, gari la kununua limetengenezwa na wataalamu kwa hivo litakuwa bora kuliko ulilojitengenezea. Vilevile, nyumba ya kununua imedesigniwa na wataalamu na kujengwa na wataalamu, sio kama hizo vibanda zenu za ebu weka hapa bafu alfu pale choo na uniwekee chumba cha kusomea pae.
Yani ujenge kibanda kama hivi mnavoposti hapa hapo tandale na mimi ninunue Mansion kama hii kwa video alafu uniambie wewe unaishi kwa dream house na mimi siishi kwa dream house kisa nimenunua nawe ukajenga? 🤣 🤣 🤣
Hizo ndio akili zao. Eti mtu amejijingea nyumba ya rooms tatu hapo Mwananyamala is living in a dreamhouse kuliko mwingine aliyenunua 5 bedroom mansion pale Runda. Insanity!