Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hzo lower middle class ziko wapi au zile bedsitter za kurent ndio wanaitwa middle class acheni upupu kabisa nani anastruggle kujenga zaidi ya wale wale politicians, taasisi za serekali na wafanya biashara wakubwa bila kuwasahau investors

huku kwetu kila mmoja hupendelea kujenga nyumba kwa kutumia ramani yake na vile anataka sasa ikiwa top level wenu either ananunua nyumba ndani ya estate au ana rent pia coz hzo nyumba zipo kwa ajili ya biashara na hili linakuja kwasababu ardhi nairobi imeshikwa na wachache na hili hiwezi pinga mpaka kiyama
Jamaa si umepanic jamani
Una makasiriko yasiyofaa aisee, kwhyo hutaki private developer aende katika mipango miji apewe ardhi ainue vitu vyake kw ajili kuwekeza alafu auze kw aliyeridhika pia hutaki

Runda hyo imejengwa, haya tuambie km hyo nyumba asilimia kubwa hawatotamani kuinunua na kuishi mzee..
Yani imejengwa katika eneo la kueleweka, then ina space ya kutosha..
Tatizo wengi wanaopinga hzo nyumba bei zake hawazimudu, km wewe tayari hyo bei mpka ukaafe hufikii
images.jpeg-18.jpg
 
mkono mtupu haulambwi hebu njoo na view inayoonyesha hizo individual houses kama nilivyokuonyesha mimi...

pili hayo masuala ya mtu kujenga apartment na kuuza ni itu vya kawaida huku pia vinafanyika tunachokucheka wewe almost 100% ni estate
usipinge,,,

lete picha zinazoonekana kuhusu hayo maeneo pia uje na jina
Hiyo hapo moja

 
Kwa bahati mbaya I had a hard time finding good aerial photos za hizo maeneo nilileta ie Ruai, Syokimau and Utawala. Most pictures I found ni individual houses tu that's why I resorted to give you Google Earth images to give you a clue. But now that you've asked, allow me to give you individual houses from the said areas.
View attachment 1796462View attachment 1796463View attachment 1796464View attachment 1796465View attachment 1796466View attachment 1796467View attachment 1796468View attachment 1796469View attachment 1796470View attachment 1796475
And please, jaribu kujua maana ya neno estate. Usilazimishe ujinga wakati najua wewe si mjinga

View attachment 1796472
ndiyo maana huwa hampost sababu mna madudu...

toa uchafu endeleeni kupost estate over
 
Wamarekani wanazidi kuteka soko la real estate Tanzania 😅😅😅

Wanakariobange hakuna mwenye shughuli na nyie? Hivi mmepigwa mkosi na nani? 😅😅😅

 
Kwa bahati mbaya I had a hard time finding good aerial photos za hizo maeneo nilileta ie Ruai, Syokimau and Utawala. Most pictures I found ni individual houses tu that's why I resorted to give you Google Earth images to give you a clue. But now that you've asked, allow me to give you individual houses from the said areas.
View attachment 1796462View attachment 1796463View attachment 1796464View attachment 1796465View attachment 1796466View attachment 1796467View attachment 1796468View attachment 1796469View attachment 1796470View attachment 1796475
And please, jaribu kujua maana ya neno estate. Usilazimishe ujinga wakati najua wewe si mjinga

View attachment 1796472
mzee utakufa kwa presha

ndiyo maana huwa hampost sababu mna madudu...

toa uchafu endeleeni kupost estate over
images (9).jpg
images (8).jpg
images (7).jpg
images (6).jpg
images (5).jpg
images (4).jpg
 
Hawa wamarekani watakuja kupanga mpaka huku buza miezi michache ijayo aswea 😅😅😅

Madalali wa buza mkae mkao wa kuongea kimarekani 😅😅😅

 
Hizi apartments ni chache??!?
View attachment 1796374View attachment 1796375
Na zinafanya nini kwenye mtaa wenu wa kifahari kama si za mabwenyenye wenu kuishi? Sasa kama mabwenyenye wenu ndio wanaishi kwenye apartment kule Masaki sasa wewe mkazi wa Gongo la Mboto uswazini unatoa wapi nguvu ya kudiss apartment?

Mostly foreigners ndio wanapangisha kwenye izo apartments sio wabongo
 
Back
Top Bottom