Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania sio nchi salama kabisa kw albino, maskini[emoji26][emoji26]
Sisi intelijensia yetu iko vizuri wakati hao majamaa mpka leo hawajulikani walipo..
RIP
FB_IMG_16212786255305710.jpg
 
Japanese is driving Kenyas legislature like a miserable donkey

The whole parliament is sitting to exempt taxes from all Japanese investments in Kenya, what a stupid and failed state 😅😅

Yaani bunge linavunja sheria yake ilioitunga ya kodi just for Japan, so cheap


 
Watanzania wakizubaa na nairobi na dar wanasahau kenya unatumia ugatuzi sasa, hela inagawanywa kwa kila mji relatively, pesa haibaki nairobi sasa. ndo maanake hadi dessert areas za kenya sasa zimeanza kuinuka. sasa hatushuglikii miji kadhaa tu bali miji yote miaka Kumi ijayo kila town itakua kubwa ya kujisimamia si lazima Nairobi ndo maana picha kama hizi za development hadi kwa jangwa mtazidi kuziona sana. sasa hivi I cant engage in watu wanaonyeshana eti mvua imemwaga uchafu kwa street, its below me na haiongezi maarifa

View attachment 1790147

View attachment 1790148

View attachment 1790149

View attachment 1790150
We mpumbavu nn, yn village development unaonesha road, ss ulitegemea gari za kutoka mjini kuchukua mazao etc zipite wapi km co kujenga hizo road? Mm nioneshe miradi ya maji, stima, hospitals, recreational parks etc zen hapo nitaamini kweli pesa imetawanywa equally, ss unaonesha road [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
BRT tushaanza kujenga sasa meaning tutakua na pimped out buses, boring brt buses, na rapid train.... who is laughing now [emoji16]
Iko wapi au unadhani upo nairaland[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
yeah, probably uchafu umejaa au filter imeisha.. hivyo air haifiki vizur ndan, hivyo kusababisha ukosefu wa hewa ya kutosha ndan ya engine..
Akikupa jibu hiyo weekend nitag, hawa Wakenya kuwa nao makini mkuu, natumai nmeeleweka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mm nimekupigia hesabu za dukani tu a week bodaboda anatakiwa apeleke 1000ksh
Ukipiga kwa mwezi ni 4000ksh ukipiga kwa mwaka ni 48000ksh kumbuka ninhesabu za dukani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukipiga kwa miaka 7 ni 336,000ksh wakat kashamaliza muda wakulipia na bei ya two bedroom ni 700,000

hapo bodaboda hajaugua, hajala, hajalipa kodi, hajaweka mafuta, hajalipa social services, hajahonga mpango wa kando, hajasomesha watoto etc na inflation is over 5% [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani ukitumia hesabu ambazo haziymizi kichwa ndoto ya kununua nyumba haipo na haitakuwepo mpaka dunia inasmama na ndio leo nimeamini kwann maskini atabaki maskini na tajiri atabaki tajiri
Hapo umewafafanulia wameelewa sasa, unajua Wakenya twendeni nao taratibu mana wana elimu ya kukariri mno, "ceteris peribus" yn wkt huyo boda boda analipa hiyo pesa asiumwe, asisomeshe, asilipe rent, asikarabati boda boda yake, asitunze wazazi wake, ila ujue nn Wakenya wana akili mbovu sn usikute kuna boda boda wameingia huo mtego, kina choco reborn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimemaliza tayari sasa ruksa kutapika ruksa kutoa nyongo ruksa kutoa utumbo mdogo na ni ruksa kuharisha kwa maana sina namna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1790568View attachment 1790569View attachment 1790570View attachment 1790571View attachment 1790574
Umeuaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimemaliza tayari sasa ruksa kutapika ruksa kutoa nyongo ruksa kutoa utumbo mdogo na ni ruksa kuharisha kwa maana sina namna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1790568View attachment 1790569View attachment 1790570View attachment 1790571View attachment 1790574
Hii ndiyo kitu Tony 254 alisema ata expose humu km kina Yosef festo wataendelea kumtibua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom