Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwao maisha magumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wamebaki kulia hapa eti wanaficha aibu zao wakat dunia inajua mpaka rangi za chupi walizovaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
K

Kiswahili mingi zero points😂😂😂😂😂., nataka udhibitishe kwanba sio ukweli watu waboda boda hawana hizo nyumba, hizo ni hadithi za vijiweni ambapo unatamani isikue ukweli najua, yaani wivu imekunyonga, umekaukiwa na mate😂😂😂😂., Ni povu unamwaga..,
Leta evidence hakuna kitu hicho, na boda boda operators hawakujijengea nyumba kupitia mfumo wa SACCO., Weka facts eti hizo taarifa ni uongo, wewe unajua Kenya kushinda wakenya, unaeza pia tembelea YouTube ukitaka.,😂😂😂😂., Am waiting, hekaya za abunuasi sitaki.., kuja pole pole..,
Mm nimekupa facts sio porojo ndio maana maskini atabaki maskini tu 🤣🤣👇👇
BBCF6AE4-4607-4648-B63F-FB003DAD7814.jpeg
 
Ulisoma na Venus Star nini😂😂😂

Mimi ni mdhamini wa pikpiki so pata first hand information😎

Boda boda rider kenya anapata 1000 ksh on average daily,

Alafu atenge 300 ksh kwa mkopo wa nyumba daily.

[Weekly, 300*7= 2100] [monthly, 4*2100= 8400] [yearly 12*8400= 100800] [ seven yrs 7*100800= 705600]

Any more questions😂😂😂😂
Alafu hiyo mkikusanye watu wengi mna afford kununua kiwanja kikubwa then munagawanya vipande na kujengea pia kwa pamoja., Jama ni kilaza kupindukia, haamini ni Kenya hii anayoijua kupitia propaganda😂😂😂😂., Facts zimekua mzito kwake, amepigwa akapigika, hana jibu kutoka Tanzania sasa analia lia na kumwaga povu humu., hampendi kuona anything good from Kenya na Tanzania hakipo, ama Kenya iwe kwa wingi kwao iwe kidogo, ameteseka hadi ana tia huruma😂😂😂😂.,
 
Alafu hiyo mkisanye watu wengi mna afford kununua kiwanja kikubwa then munagawanya vipande na kujengea pia kwa pamoja., Jama ni kilaza kupindukia, haamini ni Kenya hii anayoijua kupitia propaganda😂😂😂😂., Facts zimekua mzito kwake, amepigwa akapigika, hana jibu kutoka Tanzania sasa analia lia na kumwaga povu humu., hampendi kuona anything good from Kenya na Tanzania hakipo, ama Kenya iwe kwa wingi kwao iwe kidogo, ameteseka hadi ana tia huruma😂😂😂😂.,
Nani ata afford hapa wewe unalazmisha kitu wakat mambo yako wazi kwann utumie akili kubwa wakat akili ndogo inatosha 🤣🤣🤣 tukisema hamuna ndoto ya kujenga wala kumiliki plot munatuchukia bure hapa 👇👇
Hzi hesabu hata umpe mwendawazimu hawezi kubali achilia mbali mtoto wa darasa la pili, jifunze kukubaliana na ukweli hata kama unauma na hamupendi ijulikane hvo sio kwa dunia ya leo😆😆😆😆 badilikeni
532325A4-AF01-488D-9135-5536FC690740.jpeg
 
Sasa prove hakuna nyumba zimejengwa na wana boda boda ni hadithi tu za vijiweni.., nangoja., fikra zako ni too pedestrian hauoni aibu😂😂😂😂😂😂.,
Kwa link hii maana yake hakuna mtu atamiliki labda awe na connection na politicians 🤣🤣 hii ni hesabu sio BBi kwanza uelewe hvo ndio maana hata link zinasema kurent kwa wakenya wengi ni rahisi kuliko kumiliki na hii ni kutokana na life ngumu sana kila kitu gharama iko juu unategemea hao majority over 80% watakua na ndoto ya plot

alaf ww nakushangaa sana hili swala sio geni kwa kenya wala nje ya kenya 😅😅😅 mwenzako alishaongea toka mwanzo kumiliki plot nairobi sio shs mbili na akasema yeye ana urithi ushagoo

bakia kwenye ukweli sio dunia ile ya nyeupe kuonekana nyeusi 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimeomba kuoneshwa sehemu high class nairobi wamejenga nyumba zao kwa ndoto zao au dream zao 🤣🤣🤣🤣🤣 naona kila mmoja anapita wima nilitaka leo niwaelekeze kitu lakini ndio bahat mbaya sijapata jibu🤣🤣
 

Alafu hiyo mkikusanye watu wengi mna afford kununua kiwanja kikubwa then munagawanya vipande na kujengea pia kwa pamoja., Jama ni kilaza kupindukia, haamini ni Kenya hii anayoijua kupitia propaganda😂😂😂😂., Facts zimekua mzito kwake, amepigwa akapigika, hana jibu kutoka Tanzania sasa analia lia na kumwaga povu humu., hampendi kuona anything good from Kenya na Tanzania hakipo, ama Kenya iwe kwa wingi kwao iwe kidogo, ameteseka hadi ana tia huruma😂😂😂😂.,
Mimi nampatia first hand information yeye yualeta mipasho na story za kijiweni😂😂😂😂😂😂
 
Nani ata afford hapa wewe unalazmisha kitu wakat mambo yako wazi kwann utumie akili kubwa wakat akili ndogo inatosha 🤣🤣🤣 tukisema hamuna ndoto ya kujenga wala kumiliki plot munatuchukia bure hapa 👇👇
Hzi hesabu hata umpe mwendawazimu hawezi kubali achilia mbali mtoto wa darasa la pili, jifunze kukubaliana na ukweli hata kama unauma na hamupendi ijulikane hvo sio kwa dunia ya leo😆😆😆😆 badilikeniView attachment 1790461
👇👇👇👇👇👇 unajifanya chizi sio😂😂😂😂
Ulisoma na Venus Star nini😂😂😂

Mimi ni mdhamini wa pikpiki so pata first hand information😎

Boda boda rider kenya anapata 1000 ksh on average daily,

Alafu atenge 300 ksh kwa mkopo wa nyumba daily.

[Weekly, 300*7= 2100] [monthly, 4*2100= 8400] [yearly 12*8400= 100800] [ seven yrs 7*100800= 705600]

Any more questions😂😂😂😂
 
Hata wapewe miaka 50 hakuna hata mmoja atafaulu 🤣🤣🤣🤣🤣 na ndio nimeamini kwann kenya maskini atabakia maskini na tajiri atabakia tajiri 😁😁 yani matajiri na taasisi zinawanyonya sana watu maskini ambao ni wengi sana ndio maana hata ndoto za kumiliki plot au nyumba zinabaki kua ndoto za kuota mchana, mtu aki rent bed sitter pia middle class mamaeeee😄😄😄

Mm leo nitakugonga na facts mpaka unichukie 👇👇👇👇👇😅😅😅

Sasa nionyeshe wale boda boda ni waongo😂😂😂😂taarifa hauelewi pia unatupa tu😂 yaani how it is hard kwa mtu mmoja ku afford to own a home, na hesabu umepewa, Mimi nimekupa taarifa yakuonyesha vile watuvwanavyo ungana na kufaulu😂😂😂😂., Unajitekenya na kucheka masikini kakangu😂😂😂😂😂., Mbona kuniabisha hivi leo?😂😂😂😂😂😂😂😜😂😂

Nionyeshe wale boda boda operators wa Nakuru, Nanyuki na Kitengela ni waongo, hakuna jambo kama hiyo.., hizo ni porojo na propaganda😂😂😂😂.., evidence bro...,
 
Mimi nampatia first hand information yeye yualeta mipasho na story za kijiweni😂😂😂😂😂😂
Ndivyo alivyo huyu😂😂😂😂, amekosa Tanzania yote, angekua amejaza uzi na vipicha, sasa ni Kiswahili amebaki nazo tangu tumpige jana na middle na lower middle, ako na maumivu😂😂😂😂😂😂 namuangalia tu pole pole.., hana evidence ni ku google things out of context na ku prove his ignorance 😂😂😂😂 balaaa.,
 
Back
Top Bottom