Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gari za Taka Bongo, Corporate office inalipa Kuanzia 350,000 Kwa mwezi. Ndio maana Dar Business ya Garbage Collector kila Kona. Kuna makampuni kibao na bado ya Serikali. Mfano haya hapa.

More for less

View attachment 1790433

Green waste Pro

View attachment 1790434
View attachment 1790435
Kwao maisha magumu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ wamebaki kulia hapa eti wanaficha aibu zao wakat dunia inajua mpaka rangi za chupi walizovaa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
K

Kiswahili mingi zero points๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., nataka udhibitishe kwanba sio ukweli watu waboda boda hawana hizo nyumba, hizo ni hadithi za vijiweni ambapo unatamani isikue ukweli najua, yaani wivu imekunyonga, umekaukiwa na mate๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Ni povu unamwaga..,
Leta evidence hakuna kitu hicho, na boda boda operators hawakujijengea nyumba kupitia mfumo wa SACCO., Weka facts eti hizo taarifa ni uongo, wewe unajua Kenya kushinda wakenya, unaeza pia tembelea YouTube ukitaka.,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Am waiting, hekaya za abunuasi sitaki.., kuja pole pole..,
Mm nimekupa facts sio porojo ndio maana maskini atabaki maskini tu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
BBCF6AE4-4607-4648-B63F-FB003DAD7814.jpeg
 
Ulisoma na Venus Star nini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mimi ni mdhamini wa pikpiki so pata first hand information๐Ÿ˜Ž

Boda boda rider kenya anapata 1000 ksh on average daily,

Alafu atenge 300 ksh kwa mkopo wa nyumba daily.

[Weekly, 300*7= 2100] [monthly, 4*2100= 8400] [yearly 12*8400= 100800] [ seven yrs 7*100800= 705600]

Any more questions๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Alafu hiyo mkikusanye watu wengi mna afford kununua kiwanja kikubwa then munagawanya vipande na kujengea pia kwa pamoja., Jama ni kilaza kupindukia, haamini ni Kenya hii anayoijua kupitia propaganda๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Facts zimekua mzito kwake, amepigwa akapigika, hana jibu kutoka Tanzania sasa analia lia na kumwaga povu humu., hampendi kuona anything good from Kenya na Tanzania hakipo, ama Kenya iwe kwa wingi kwao iwe kidogo, ameteseka hadi ana tia huruma๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
 
Mm nimekupa facts sio porojo ndio maana maskini atabaki maskini tu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
View attachment 1790459
Sasa prove hakuna nyumba zimejengwa na wana boda boda ni hadithi tu za vijiweni.., nangoja., fikra zako ni too pedestrian hauoni aibu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
 
Alafu hiyo mkisanye watu wengi mna afford kununua kiwanja kikubwa then munagawanya vipande na kujengea pia kwa pamoja., Jama ni kilaza kupindukia, haamini ni Kenya hii anayoijua kupitia propaganda๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Facts zimekua mzito kwake, amepigwa akapigika, hana jibu kutoka Tanzania sasa analia lia na kumwaga povu humu., hampendi kuona anything good from Kenya na Tanzania hakipo, ama Kenya iwe kwa wingi kwao iwe kidogo, ameteseka hadi ana tia huruma๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
Nani ata afford hapa wewe unalazmisha kitu wakat mambo yako wazi kwann utumie akili kubwa wakat akili ndogo inatosha ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ tukisema hamuna ndoto ya kujenga wala kumiliki plot munatuchukia bure hapa ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Hzi hesabu hata umpe mwendawazimu hawezi kubali achilia mbali mtoto wa darasa la pili, jifunze kukubaliana na ukweli hata kama unauma na hamupendi ijulikane hvo sio kwa dunia ya leo๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† badilikeni
532325A4-AF01-488D-9135-5536FC690740.jpeg
 
Sasa prove hakuna nyumba zimejengwa na wana boda boda ni hadithi tu za vijiweni.., nangoja., fikra zako ni too pedestrian hauoni aibu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
Kwa link hii maana yake hakuna mtu atamiliki labda awe na connection na politicians ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ hii ni hesabu sio BBi kwanza uelewe hvo ndio maana hata link zinasema kurent kwa wakenya wengi ni rahisi kuliko kumiliki na hii ni kutokana na life ngumu sana kila kitu gharama iko juu unategemea hao majority over 80% watakua na ndoto ya plot

alaf ww nakushangaa sana hili swala sio geni kwa kenya wala nje ya kenya ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… mwenzako alishaongea toka mwanzo kumiliki plot nairobi sio shs mbili na akasema yeye ana urithi ushagoo

bakia kwenye ukweli sio dunia ile ya nyeupe kuonekana nyeusi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Nimeomba kuoneshwa sehemu high class nairobi wamejenga nyumba zao kwa ndoto zao au dream zao ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ naona kila mmoja anapita wima nilitaka leo niwaelekeze kitu lakini ndio bahat mbaya sijapata jibu๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 

Alafu hiyo mkikusanye watu wengi mna afford kununua kiwanja kikubwa then munagawanya vipande na kujengea pia kwa pamoja., Jama ni kilaza kupindukia, haamini ni Kenya hii anayoijua kupitia propaganda๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Facts zimekua mzito kwake, amepigwa akapigika, hana jibu kutoka Tanzania sasa analia lia na kumwaga povu humu., hampendi kuona anything good from Kenya na Tanzania hakipo, ama Kenya iwe kwa wingi kwao iwe kidogo, ameteseka hadi ana tia huruma๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
Mimi nampatia first hand information yeye yualeta mipasho na story za kijiweni๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hapa si London๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž mkifika hapa kenya tumeland kwa moon๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
IMG_20210519_110138.jpg
IMG_20210519_110141.jpg
IMG_20210519_110117.jpg
IMG_20210519_110112.jpg
IMG_20210519_110205.jpg
 
Nani ata afford hapa wewe unalazmisha kitu wakat mambo yako wazi kwann utumie akili kubwa wakat akili ndogo inatosha ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ tukisema hamuna ndoto ya kujenga wala kumiliki plot munatuchukia bure hapa ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
Hzi hesabu hata umpe mwendawazimu hawezi kubali achilia mbali mtoto wa darasa la pili, jifunze kukubaliana na ukweli hata kama unauma na hamupendi ijulikane hvo sio kwa dunia ya leo๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† badilikeniView attachment 1790461
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ unajifanya chizi sio๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ulisoma na Venus Star nini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Mimi ni mdhamini wa pikpiki so pata first hand information๐Ÿ˜Ž

Boda boda rider kenya anapata 1000 ksh on average daily,

Alafu atenge 300 ksh kwa mkopo wa nyumba daily.

[Weekly, 300*7= 2100] [monthly, 4*2100= 8400] [yearly 12*8400= 100800] [ seven yrs 7*100800= 705600]

Any more questions๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hata wapewe miaka 50 hakuna hata mmoja atafaulu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na ndio nimeamini kwann kenya maskini atabakia maskini na tajiri atabakia tajiri ๐Ÿ˜๐Ÿ˜ yani matajiri na taasisi zinawanyonya sana watu maskini ambao ni wengi sana ndio maana hata ndoto za kumiliki plot au nyumba zinabaki kua ndoto za kuota mchana, mtu aki rent bed sitter pia middle class mamaeeee๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Mm leo nitakugonga na facts mpaka unichukie ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Sasa nionyeshe wale boda boda ni waongo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚taarifa hauelewi pia unatupa tu๐Ÿ˜‚ yaani how it is hard kwa mtu mmoja ku afford to own a home, na hesabu umepewa, Mimi nimekupa taarifa yakuonyesha vile watuvwanavyo ungana na kufaulu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Unajitekenya na kucheka masikini kakangu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Mbona kuniabisha hivi leo?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Nionyeshe wale boda boda operators wa Nakuru, Nanyuki na Kitengela ni waongo, hakuna jambo kama hiyo.., hizo ni porojo na propaganda๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.., evidence bro...,
 
Mimi nampatia first hand information yeye yualeta mipasho na story za kijiweni๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ndivyo alivyo huyu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, amekosa Tanzania yote, angekua amejaza uzi na vipicha, sasa ni Kiswahili amebaki nazo tangu tumpige jana na middle na lower middle, ako na maumivu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ namuangalia tu pole pole.., hana evidence ni ku google things out of context na ku prove his ignorance ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ balaaa.,
 
Back
Top Bottom