Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Angalia mitaa iyo ilivyonyokaa

FB_IMG_1621369235642.jpg
 
Hamna mzee
Mitaa ya kifahari ukanda huu kenya ndio babayao

Umeona hayo magofu wamepost eti ndio Ununio ambayo huwatoa pumzi, hawa bana, huku Nairobi kuna sehemu niliwahi kwenda nikahsi kama niliyepotea njia, nikajiona kama niko a very wrong place, yaani majengo ya kifahari bana sio mchezo.
 
Ukimwambia zoom tuone kwann mzungu hakuona slum anakimbia mbio 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇 yani mzungu awekeze trillions of money hewani aone slums za dunia asione ya dar haitawah tokea 😃😃😃😃 hapo utaona unplanned settlements lakini hzo nyumba ni za kisasa hakuna tope waa mabati wall 👇👇View attachment 1790087View attachment 1790088View attachment 1790089View attachment 1790090
eti nyumba za kisasa?😂😂😂😂😂😂., Dar is slum kweli😂😂😂😂., hizo ni za kisasa eti?😂😂😂
 
ichoboy01 njoo hapa nikufunze umuhimu wa SACCO na vile inabadilisha Maisha ya watu wa kiwango cha chini siku nyingine usiletee Tanzania aibu, kwani wewe ndio msomi mkubwa hapa😂😂.,

Watani ubabe, kiburi na wivu wekeni kando leo, jifunzeni kutoka Kenya., Mifano ya vile SACCO inafanya watu wajijenge., Harambee spirit. Ndio maana Kenyan towns have relatively developed residential estates despite the negatives., Hapa ni mfano wa wale watubwa kipati chavchini sana, boda boda operators, bado Kuna sacco za walimu, stima, Wanarangi, matatu, etc., Ndio maana pia Nairobi Kuna many estates and still mashrooming., zimefanya mji ukakua metro kwa vile yalivuka mipaka ma kumwagika kwa county majirani.,
Haya ni examples outside Nairobi;
NAKURU;

Screenshot_20210519-060257.jpg

Screenshot_20210519-060341.jpg
Screenshot_20210519-060322.jpg

Screenshot_20210519-060952.jpg

In NANYUKI town.,
Screenshot_20210519-060609.jpg
Screenshot_20210519-060621.jpg

Screenshot_20210519-060642.jpg

Screenshot_20210519-060901.jpg

KITENGELA boda boda kitemoto sacco
Screenshot_20210519-061239.jpg


Haya ni mifano tu ya low income groups., ndio maana mnalia lia kila mara eti Kenya ni uchumi wa kwenye makaratasi, bidii iko kwa raiya zaidi kuliko serikali.,
In Nairobi Eastlands most of the gated estates ni za SACCO za different working class groups, wanakuja pamoja na kujenga kama areas za Donholm; Harambee sacco housing units(google ujionee)., Greenspan, Jacaranda, etc
 
Sasa nani ashindwe kukodi apartment, kibongobongo kwanza ni ushamba,wenzako wana own houses we umekazana na rent..hakuna middle class asiyeweza kumiliki ardhi..ardhi ndo asset kubwa ulimwenguni
Mbona basi na hko zinajengwa siku hizi
Alafu mbona nkm hyo mada ya kununua huitaki vile
 
Yaani mkunya wa kawaida anunue unit kwa zaidi ya USD 63000+..ukizingatia 60% ya wakenya wanaishi kwa slum..unatuona sie wajinga wenzako??..mkenya wa kawaida anapata wapi USD 63000!???..hiyo labda upper class kwa hapo kunya..hiyo hela ndo anayotumia mtanzania kwa vitu vyoote kuanzia ardhi kubwa,anajenga nyumba yenye ukubwa autakao
Tulia mzee, hyo 60٪ umeipata chato labda hzo units kenya hazijengewi matajiri hku, ndio pale mnapo ambiwa wakenya wanamiliki majumba nyie mlikua mnakataa..sasa umejione vile watu wanamiliki appartments za bei mjini tena ujue sio mbili tatu zimejaa karibia kila mahali hzo estates...
So mkisema hao ni matajori basi inmaana kenya ina matajiri wengi sana kw sababu kwetu hao ni middle class
 
How a Kenyan has exported sacco ideology globally
Screenshot_20210519-055711.jpg

Screenshot_20210519-055729.jpg

Screenshot_20210519-055741.jpg

Screenshot_20210519-055747.jpg


Learn something watani, this sacco thing helps a lot, mkitegemea tu serikali ya CCM wengi wenyu mtabakia tu kuishi kwa dream houses na low life miaka nenda miaka rudi.., in Kenya ni bidii ya mtu binafsi , ubepari.,

Walimu sacco ndio usiseme ata, walimu wanajijenga sana!!., They build rentals and homes kwa wingi! Wake ni wengi na mchango wao ni mabillioni!
 
Back
Top Bottom