ni washamba sanaNa hayo ndio mawazo yao lakini ndoto yakumiliki au kujenga hayapo mpaka kufasasa hawajui middle class anatakiwa awe vp ni very simple tu
wao wanafkiri mtu akirent beditter na hapo na some estaes anakua middle class
View attachment 1790407
Kwanzia mwaka huu kuendelea sasa mutajua ukweli halisi juu ya avocado 😅😅😅
Mwengine anakwambia ananyumba ya urithi ushagoo 🤣🤣🤣 urithi wenyewe ni wa ukoo wako zaidi ya 300 wote wana mawazo sawasawa ya urithini washamba sana
CBD hio 🤣🤣🤣👇👇👇👇 eti tunashindana sijui wanatoa wapi nguvu wap
NDINDA naomba usave Zitasaidia baadae
View attachment 1790107
View attachment 1790108
Ona sasa reasoning uchwara😂😂😂😂 na bado Kenyans wanafaulu kumiliki nyumba, wewe ukiendelea kulia na kupinga usicho elewa 😂😂😂😂, Wacha nikusaidie kilaza uone the meaning of unity here, akili yako ni ndogo sana,., 😂😂😂😂., Naongea kwa level ya mtoto wa chekechea hapa!Nimekupa hesabu za dukani kutoka kwenye link yako ya bodaboda nikakwambia hata apewe miaka 50 acha miaka. 🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇 hapa hakuna siasa za BBi na hii sio ile platform ya nairaland kwamba mutadanganya watu kirahisi
hata kama unaumia ww vumili kama mwenzako Nicxie sasa hvi anapozea machngu ya nyumba ya urithi ushagoo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 1790413
huyo ni wakuchapa viboko kabisa ni mpuuziMwengine anakwambia ananyumba ya urithi ushagoourithi wenyewe ni wa ukoo wako zaidi ya 300 wote wana mawazo sawasawa ya urithi
Alikuwa anataka kubisha...Basi kashakubali 🤣🤣👇👇👇 muache
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wapo busy kushindana hapaDah huu uchafu si wa kawaida..huu ni wa kuzaliwa nao
Abishe aone 🤣🤣🤣🤣 ajifanye kama anajikuna tuAlikuwa anataka kubisha...
Hata tukitumia hesabu za dukani achilia hesabu za kiuchumi tutumie hesabu za dukani za kuuza karanga na soda
nikikwambia ni ndoto ya alinacha unasema mm muongo👇👇👇🤣🤣🤣🤣
Boda boda anatakiwa aweke savinga ya 1000ksh a week
1000ksh * 4weeks = 4000ksh a month
So 4000ksh a months * 12 months = 48000ksh
So 48,000ksh yearly * 7 = 336,000/
wakat amepewa miaka 7 mm nakwambia huyo boda boda apewe miaka 50 achia miaka 7 apewe miaka 50 hanunui plot wala ushuzi wa plot 😅😅😅😅 kwa maisha gani hayo kila kitu rushwa inflation iko over 5%
ikiwa hatuoni hata kupapasa pia hatuweziView attachment 1790404
Na hii unit ni two bedroom 😄😄😄 just imagine unatuletea siasa za jubileee wakat maisha yenu mabovu kuliko ya zimbabwe hzo ajira zenyewe hakuna about 40%😁😁
CBD hioeti tunashindana sijui wanatoa wapi nguvu wap
NDINDA naomba usave Zitasaidia baadae
View attachment 1790107
View attachment 1790108

Hata wapewe miaka 50 hakuna hata mmoja atafaulu 🤣🤣🤣🤣🤣 na ndio nimeamini kwann kenya maskini atabakia maskini na tajiri atabakia tajiri 😁😁 yani matajiri na taasisi zinawanyonya sana watu maskini ambao ni wengi sana ndio maana hata ndoto za kumiliki plot au nyumba zinabaki kua ndoto za kuota mchana, mtu aki rent bed sitter pia middle class mamaeeee😄😄😄Ona sasa reasoning uchwara😂😂😂😂 na bado Kenyans wanafaulu kumiliki nyumba, wewe ukiendelea kulia na kupinga usicho elewa 😂😂😂😂, Wacha nikusaidie kilaza uone the meaning of unity here, akili yako ni ndogo sana,., 😂😂😂😂., Naongea kwa level ya mtoto wa chekechea hapa!
Mtu mmoja akienda hotelini, kwa mfano anaweza kununua chakula a plate tuseme at Ksh200, akipeleka rafiki zake kumi itakua bei ya juu, 200x10=2000 ukiongeza na yake ni ksh2200/- Sasa wakiamua kukusanya pesa kidogo kidogo, tuseme Kshs 50 kila mtu, itakua kshs550! kisha wanunue viungo, unga, mafuta etc wapike, watapika mlo wa kuwatosha wakule washibe kirahisi sana na wabakishe.
Watu wakija pamoja na ku form a cooperative society, na wakusanye pesa kila mwezi kwa ujumla, wanaweza kukopa loans kwa banks kupitia SACCO yao na kununua wanacho taka kirahisi than an individual., The power of unity, hope kilaza umeshika angalau kidogo tu..,😂😂😂 unaniaibisha rafiki, saa zingine kupita kimya kimya ni hekima😂😂😂😂
Baadae watakwambia wamesoma 🤣🤣🤣Mtu huwezi hata kufagia ? Hii shida aisee. Na wanavyojidai ni aggresive kwenye Biashara, hivi kuweka hili eneo safi ni ni hela tupu hapa?? Au hakuna wa kulipa?![]()
Huu mradi umeifanya bongo ionekane kama Europe hii,Nina imani mabasi yataongezwa...halafu kuna watu wanauchezea huu mradi,yaani watu wengine sijui wapoje aisee!!
Baadae watakwambia wamesoma![]()
Kiswahili mingi zero points😂😂😂😂😂., nataka udhibitishe kwanba sio ukweli watu waboda boda hawana hizo nyumba, hizo ni hadithi za vijiweni ambapo unatamani isikue ukweli najua, yaani wivu imekunyonga, umekaukiwa na mate😂😂😂😂., Ni povu unamwaga..,Mm nijifunze ukweli juu ya kenya ama 🤣🤣 umekalia kuleta siasa na chuki kwa ccm kwasababu unaumbuka 😁😁😁😁 dunia haiendi hvo na haitakua hvo dunia ya leo sio ile ya miaka 20 iliopita, kama munafkiri mutaficha aibu zenu kwa uongo dunia ya leo sahau hayo ni maoni yangu binafsi 😂😂😂
Mm nimekupigia hesabu za dukani tu a week bodaboda anatakiwa apeleke 1000kshUlisoma na Venus Star nini😂😂😂
Mimi ni mdhamini wa pikpiki so pata first hand information😎
Boda boda rider kenya anapata 1000 ksh on average daily,
Alafu atenge 300 ksh kwa mkopo wa nyumba daily.
[Weekly, 300*7= 2100] [monthly, 4*2100= 8400] [yearly 12*8400= 100800] [ seven yrs 7*100800= 705600]
Any more questions😂😂😂😂
Hata tukitumia hesabu za dukani achilia hesabu za kiuchumi tutumie hesabu za dukani za kuuza karanga na soda
nikikwambia ni ndoto ya alinacha unasema mm muongo👇👇👇🤣🤣🤣🤣
Boda boda anatakiwa aweke savinga ya 1000ksh a week
1000ksh * 4weeks = 4000ksh a month
So 4000ksh a months * 12 months = 48000ksh
So 48,000ksh yearly * 7 = 336,000/
wakat amepewa miaka 7 mm nakwambia huyo boda boda apewe miaka 50 achia miaka 7 apewe miaka 50 hanunui plot wala ushuzi wa plot 😅😅😅😅 kwa maisha gani hayo kila kitu rushwa inflation iko over 5%
ikiwa hatuoni hata kupapasa pia hatuweziView attachment 1790404
Na hii unit ni two bedroom 😄😄😄 just imagine unatuletea siasa za jubileee wakat maisha yenu mabovu kuliko ya zimbabwe hzo ajira zenyewe hakuna about 40%😁😁
Sio kiswahili 🤣🤣 usilaumu kiswahili hii ni lugha tu kama kijaluo na kikamba🤣🤣🤣 hapa tunaongea facts sio porojo za BBi wachache wanakula pesa wengi wanabaki maskini hapana 👇👇👇👇👇👇K
Kiswahili mingi zero points😂😂😂😂😂., nataka udhibitishe kwanba sio ukweli watu waboda boda hawana hizo nyumba, hizo ni hadithi za vijiweni ambapo unatamani isikue ukweli najua, yaani wivu imekunyonga, umekaukiwa na mate😂😂😂😂., Ni povu unamwaga..,
Leta evidence hakuna kitu hicho, na boda boda operators hawakujijengea nyumba kupitia mfumo wa SACCO., Weka facts eti hizo taarifa ni uongo, wewe unajua Kenya kushinda wakenya, unaeza pia tembelea YouTube ukitaka.,😂😂😂😂., Am waiting, hekaya za abunuasi sitaki.., kuja pole pole..,