Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Unajaribu kukwepa baada ya kukojolea mjadala๐๐๐๐., hapa bado tulia, uweke nami nitaweka., but bado.., wacha haraka, usikimbie mapema, nangoja prove wana boda boda ni waongo..,๐๐๐, unakimbia unaenda wapi?
Nimeomba kuoneshwa sehemu high class nairobi wamejenga nyumba zao kwa ndoto zao au dream zao ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ naona kila mmoja anapita wima nilitaka leo niwaelekeze kitu lakini ndio bahat mbaya sijapata jibu๐คฃ๐คฃ
