Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Unajaribu kukwepa baada ya kukojolea mjadala😂😂😂😂., hapa bado tulia, uweke nami nitaweka., but bado.., wacha haraka, usikimbie mapema, nangoja prove wana boda boda ni waongo..,😂😂😂, unakimbia unaenda wapi?
Nimeomba kuoneshwa sehemu high class nairobi wamejenga nyumba zao kwa ndoto zao au dream zao 🤣🤣🤣🤣🤣 naona kila mmoja anapita wima nilitaka leo niwaelekeze kitu lakini ndio bahat mbaya sijapata jibu🤣🤣