Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Imepanuliwa na nani 🤣🤣🤣👇👇👇 kwann kimabu iitwe county na ijutegemee kwann??

View attachment 1790776View attachment 1790777View attachment 1790787
Lazima tukufunze😂😂😂, je unamjua huyu ni nani
images.jpeg
 
😂😂😂😂😂Hizi fikra😂😂😂😂😂., vile kunaenda hivi karibuni utasikia mtu akiuliza mbona Nairobi sio pwani?😂😂😂😂.,
Ndo ujue kuna vitu sio level yako ni blessings tu from GOD,dar imebarikiwa white sand soil na hicho kitu cha kwanza kinachotofautisha dar na nairoslum..ni blessing.. Red soil to a city is not attractive at all,it makes Nairobi look like a njombe village..
 
Ndo ujue kuna vitu sio level yako ni blessings tu from GOD,dar imebarikiwa white sand soil na hicho kitu cha kwanza kinachotofautisha dar na nairoslum..ni blessing.. Red soil to a city is not attractive at all,it makes Nairobi look like a njombe village..
Enhee!!kwhyo dar kuwa na white sand soil ni blessings kutoka lwa Mungu..
We tena unajiskia au ndio umeamua kuwehuka km kawaida yenu
 
Wakenya wanapenda ufahari na huku hela hawana..tukianza na

1.bwana mapesa teargass a.k.a Freemason
2.kuna yule mwingine mzee wa buggati,yaani jamaa ana hela hadi anaweza kununua Bugatti na kuichoma moto
3.mwingine kajitokeza leo ananitisha na lunch huku ukiangalia gari alioposti hapo juu hata kuifanyia service inamtoa jasho..damn!!

Wakunya hamna maisha ya kutushinda wabongo,hilo msahau
kuna mwingine anakaa karen🤣
 
Back
Top Bottom