Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Sa hii ameingia kwa metropolitan 😂😂 jamaa yuarukaruka kama chura😁Hapati picha😂😂, but for now najua ameelewa.
Sa hii ameingia kwa metropolitan 😂😂 jamaa yuarukaruka kama chura😁Hapati picha😂😂, but for now najua ameelewa.
mfano wapi sisi tunaongelea nairobi mada iko nairobi ndipi kuna slums za dunia hii sisi hatuongelei nakuru mada iko nairobi 🤣🤣Hapati picha😂😂, but for now najua ameelewa.
Mm au 🤣🤣🤣👇👇👇 mushaanza kukabana sasaSa hii ameingia kwa metropolitan 😂😂 jamaa yuarukaruka kama chura😁
Jitie hamnazo hadi basi, wewe sio mkenya😂😂😂😂😂
View attachment 1790730
Unatoka nje ya mada ??? Tulizana kwenye mada tumalize alaf niulize swali🤣🤣🤣🤣Maana ya metropolitan nini? Twende pole pole😂😂
They are hard to go away, I have Experience![]()
Ni mwehu, anajua kukwepa namuelewa sana😂😂😂😂., analazimisha fikra zake zionekane eti ni ukweli,😂😂., wachana na yeye apumue., ama kubaliana tu na yeye, ilimradi tu😂😂😂.,Sa hii ameingia kwa metropolitan 😂😂 jamaa yuarukaruka kama chura😁
Naona munapeana matumaini sana kwa hasira na ghadhabu kali sana 🤣🤣🤣 nye nye nye sisi tuna urithi ushagoooHapati picha😂😂, but for now najua ameelewa.
Nani anakwepa nani kaanzisha mada ya metro 🤣🤣🤣🤣👇👇👇 unajitia kidole alaf unanusaNi mwehu, anajua kukwepa namuelewa sana😂😂😂😂., analazimisha fikra zake zionekane eti ni ukweli,😂😂., wachana na yeye apumue., ama kubaliana tu na yeye, ilimradi tu😂😂😂.,
Jitie hamnazo hadi basi, wewe sio mkenya😂😂😂😂😂
View attachment 1790730
Unajifanya chizi😂😂😂😂 wewe ulisema hakuna kitu kama nairobi metro ndipo Don YF akakuletea hio map uone. Sasa umeanza kulialia😂😂😂Mm au 🤣🤣🤣👇👇👇 mushaanza kukabana sasa
🤣🤣🤣👇👇👇👇👇Unajifanya chizi😂😂😂😂 wewe ulisema hakuna kitu kama nairobi metro ndipo Don YF akakuletea hio map uone. Sasa umeanza kulialia😂😂😂
Mada hapa ndoto ya wakenya wa nairobi hawana ndoto wala malengo ya kumiliki ardhi nairobi na pia kurent bedsitter haina maana kwamba mtu anakua middle class hakuna kukwepa mada hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
landa kubwa nairobi ina milikiwa na politicians, taasisi za serekali na matajiri wachache sana
Hii ndio mada 👆👆👆👆👆👆🤣🤣
ulipoambiwa nairobi outgrew its borders ukapinga sasa ukaletewa map umeanza mipasho😂😂😂😂 mzee kubali umepigwa hapa😁😁Nani anakwepa nani kaanzisha mada ya metro 🤣🤣🤣🤣👇👇👇 unajitia kidole alaf unanusa
Ww umesema watu wanajenga nje ya jiji la nairobi nikakwambia lazma waende huko kwasababu ndoto za kununua ardhi wala nyumba nairobi hakuna 🤣🤣🤣 na wengi wanakimbilia hapa🤣🤣👇👇👇👇Unajifanya chizi😂😂😂😂 wewe ulisema hakuna kitu kama nairobi metro ndipo Don YF akakuletea hio map uone. Sasa umeanza kulialia😂😂😂
Watampigia.Nimemaliza tayari sasa ruksa kutapika ruksa kutoa nyongo ruksa kutoa utumbo mdogo na ni ruksa kuharisha kwa maana sina namna 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😅😅😅😅👇👇👇👇👇View attachment 1790568View attachment 1790569View attachment 1790570View attachment 1790571View attachment 1790574
Mzee rudi kwenye mada 🤣🤣🤣 ww hutamani kua na nyumba nairobi hebu ongea bila hasira na mawazo najua ni ndoto hebu ifanye ndoto kama kwei nijibu plz😁😁😁ulipoambiwa nairobi outgrew its borders ukapinga sasa ukaletewa map umeanza mipasho😂😂😂😂 mzee kubali umepigwa hapa😁😁
Number yake watapata wapi 🤣🤣🤣 nishawanyuka tayar kumbe hata slums zao zinamilikiwa na serekali hebu chukua 2.5m kibera hawana ardhi wala ndoto kachukue na mathare uchanganye na makuru kayaba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ni kweli kabisa 70% wako kwenye slumsWatampigia.
🤣 🤣🤣Number yake watapata wapi 🤣🤣🤣 nishawanyuka tayar kumbe hata slums zao zinamilikiwa na serekali hebu chukua 2.5m kibera hawana ardhi wala ndoto kachukue na mathare uchanganye na makuru kayaba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ni kweli kabisa 70% wako kwenye slums
Sasa kajilipua 😂😂😂 ushakubali nairobi imepanuka mpaka kiambu😂😂😂😂 kizungu panaitwa metropolitan region, rudia tena metropolitan regionWw umesema watu wanajenga nje ya jiji la nairobi nikakwambia lazma waende huko kwasababu ndoto za kununua ardhi wala nyumba nairobi hakuna 🤣🤣🤣 na wengi wanakimbilia hapa🤣🤣👇👇👇👇
View attachment 1790745View attachment 1790746
Njoo u edit hku basi ndio tukuelewe vizuriHujanielewa..angalia hizo ndinga zote hapo halafu nitajie ipi ya bei mbaya

huenda ikawa akili ilikua faster kushinda vidole wakati wa ku type..

