Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Mzee mbona unaingia online kuvizia vizia, huna hamu na mimi tena😂😂😂Watampigia.
Mzee mbona unaingia online kuvizia vizia, huna hamu na mimi tena😂😂😂Watampigia.
Chill out, why you beating your chest over people's properties.Nasema hivi angalia ndinga anayesukuma mbongo,na gari wanazoendesha wakunya,ya mtz ni ya bei mbaya
Sasa we si unaona mtu katoka bongo anakuja hapo kwenye road zenu anakuta utopolo,yaani ndinga zoote bei zao haifiki hata nusu ya chuma cha mtz..huo ni unyonge,magari yenye plate za Kenya hata huku yapoNjoo u edit hku basi ndio tukuelewe vizurihuenda ikawa akili ilikua faster kushinda vidole wakati wa ku type..
Kiporo chakoView attachment 1790749
Njoo huku mzee jamaa kabadili gear hewaniView attachment 1789842
Everyone is welcome in the land of freedom

pole sana mzee papi
Sasa we si unaona mtu katoka bongo anakuja hapo kwenye road zenu anakuta utopolo,yaani ndinga zoote bei zao haifiki hata nusu ya chuma cha mtz..huo ni unyonge,magari yenye plate za Kenya hata huku yapo
Hizo ni zako!Chill out, why you beating your chest over people's properties.
Visit Westlands I'll treat you for lunch one of this days
Mzee makao yangu ni mombasa, muulize dadako The best 007 anapajua nilimwonyesha picha😂😂😂 unadhani naishi uswazi kama wewe😁😁Mzee rudi kwenye mada 🤣🤣🤣 ww hutamani kua na nyumba nairobi hebu ongea bila hasira na mawazo najua ni ndoto hebu ifanye ndoto kama kwei nijibu plz😁😁😁
Nakubali madhari mzeeChill out, why you beating your chest over people's properties.
Visit Westlands I'll treat you for lunch one of this days
🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 kumbe hujagoseaSasa kajilipua 😂😂😂 ushakubali nairobi imepanuka mpaka kiambu😂😂😂😂 kizungu panaitwa metropolitan region, rudia tena metropolitan regionView attachment 1790748
Mandhari hayo ni kama njombe,iringa au mbeya hivi red soil yaani udongo mwekundu iko kama village flani hiviNakubali madhari mzeeView attachment 1790759View attachment 1790760
Makazi yako hayanihusu rudi kwanza kwenye mada ya nairobi 🤣🤣🤣👇👇👇👇Mzee makao yangu ni mombasa, muulize dadako The best 007 anapajua nilimwonyesha picha😂😂😂 unadhani naishi uswazi kama wewe😁😁
Mada hapa ndoto ya wakenya wa nairobi hawana ndoto wala malengo ya kumiliki ardhi nairobi na pia kurent bedsitter haina maana kwamba mtu anakua middle class hakuna kukwepa mada hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
landa kubwa nairobi ina milikiwa na politicians, taasisi za serekali na matajiri wachache sana
Hii ndio mada 👆👆👆👆👆👆🤣🤣
Basi ywafikiria hko ndio ataweza bei kw akili zakeSasa kajilipuaushakubali nairobi imepanuka mpaka kiambu
kizungu panaitwa metropolitan region, rudia tena metropolitan regionView attachment 1790748


Wololooooo!!umepanic mzee baba, meza wembe jombaMandhari hayo ni kama njombe,iringa au mbeya hivi red soil yaani udongo mwekundu iko kama village flani hivi
Imepanuliwa na nani 🤣🤣🤣👇👇👇 kwann kimabu iitwe county na ijutegemee kwann??Basi ywafikiria hko ndio ataweza bei kw akili zake![]()
I'm just saying, you know.Hizo ni zako!
Thanks man, just an afternoon walk.Nakubali madhari mzeeView attachment 1790759View attachment 1790760
Nipanic na red soil...are you crazy,hizo soil huku tz zipo villageWololooooo!!umepanic mzee baba, meza wembe jomba
Huyu anaendesha farasi ama? 🤣 🤣 ☝️
Twende pole pole maana ya metropolitan nini haswa😂😂😂🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 kumbe hujagosea
Kumbe ni county zina mbunge wake zina bunge lake zina gavana wake zina mgao wake kwenye serekali kuu au View attachment 1790761View attachment 1790762
Rudi kwenye mada nairobi city center ndio mada rudi kwenye mada 🤣🤣