Hata tukitumia hesabu za dukani achilia hesabu za kiuchumi tutumie hesabu za dukani za kuuza karanga na soda
nikikwambia ni ndoto ya alinacha unasema mm muongo👇👇👇🤣🤣🤣🤣
Boda boda anatakiwa aweke savinga ya 1000ksh a week
1000ksh * 4weeks = 4000ksh a month
So 4000ksh a months * 12 months = 48000ksh
So 48,000ksh yearly * 7 = 336,000/
wakat amepewa miaka 7 mm nakwambia huyo boda boda apewe miaka 50 achia miaka 7 apewe miaka 50 hanunui plot wala ushuzi wa plot 😅😅😅😅 kwa maisha gani hayo kila kitu rushwa inflation iko over 5%
ikiwa hatuoni hata kupapasa pia hatuwezi
View attachment 1790404
Na hii unit ni two bedroom 😄😄😄 just imagine unatuletea siasa za jubileee wakat maisha yenu mabovu kuliko ya zimbabwe hzo ajira zenyewe hakuna about 40%😁😁