ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Jumamos naende yombo nikawapanguze vinyampio vyao 🤣🤣🤣🤣🤣 tandale sasa wanaiheshimu sasaWaambie mfano mwema wa tandale ni nyumba ya mondi ya tandale je jumba kama lile unaweza kulipata mathare
Jumamos naende yombo nikawapanguze vinyampio vyao 🤣🤣🤣🤣🤣 tandale sasa wanaiheshimu sasaWaambie mfano mwema wa tandale ni nyumba ya mondi ya tandale je jumba kama lile unaweza kulipata mathare
Onyesha boda boda wa Nakuru, Nanyuki, Kitengela na wengi wao wamedanganya dunia, hawakujenga nyumba na hawana chochote.., nangoja jibu sina haraka😂😂😂😂😂., wacha kutapatapa na vijisababu uchwara 😂😂😂😂.,
Onyesha....,weka evidence..,
Angalia sasa kaleta link hapa na mada ni dar vs nairobi ananimabia tena boda boda wa nakuru sijui kaingiaje tena 🤣🤣🤣🤣🤣Kwa faida ya wana sacco😂😂😂😂., Unaumia hadi raha😂😂😂., Na bado wana sacco wana nyumba zao Donholm., Wewe kilaza, members wanakula dividends kila mwisho wa mwaka wewe uko hapa kupinga usicho fahamu😂😂😂😂😂., uliza faida ya kukuwa member wa SACCO ni nini? SACCO inatumia mchango wa members kujenga nyumba ama kufanya biashara kisha wakauza kwa faida na members wanapewa dividends kila mwaka kulingana na mchango wa mtu., leo nitakufunza kwa lazima😂😂😂., Asie funzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu 😂😂😂., Mimi ndio ulimwengu kwako., Yaani uko ovyo😂😂😂😂😂😂., "...Sikuchukii na kudharau.."😂😂😂., (Waliimba Kleptomaniacs)
Kajiharia sasa😂😂😂😂.,
Unajua maana ya kukimbia nje ya mji unajua maana yake ??? 🤣🤣🤣 maana yake maisha ya kumiliki ardhi nairobi hayapo sasa munakwenda machakani kutafuta plot za bei nafuu ndio hzo munaenda anaother county za kiambu etc lakini ndoto ya kumiliki ardhi nairobi haitakuwepo mpaka dunia itasmama na maskini atabako maskiniAkaendelea kujilipua😂😂😂😂, kudadeq alisema hakuna kitu kama Nairobi metro👇👇👇View attachment 1790633
Don YF huyu jamaa tutamuua kwa presha 😂😂😂
Unapata tabu sana, pole kama nimekukosea kwa kweli😂😂😂😂, I was just posting ili kufaidi wenye akili ndefu, sikujua post yangu itakuumiza hivi😂😂😂😂., hadi unaweka maneno kwa mdomo ya masikini mwenzako😂😂😂😂😂., Pole nanii, sikupenda kwangu ni hawa 👇👇watu wa boda boda wali ni motivate., nisamehe kaka, umeteseka sana🙏🙏😂😂 nilidhani utajifunza kitu kumbe ugonjwa wa wivu na chuki umekuandama hadi kwa mishipa😂😂😂 pole kaka., tuwe tu marafiki., sio lazima ukubali ukweli kutoka Kenya, baki na slums basi., sina ubaya😂😂😂😂., Hawa watu👇👇 sitafuatilia mambo yao tena, umelia sana😂😂Najaribu nn 🤣🤣🤣🤣👇👇👇 sio mm ni mwenyeji wa nairobi kazaliwa nairobi
Tanzania ardhi ni bei nafuu sana na zipo vikoba kama sido na makampuni mengi sana yanakopesha viwanja na nyumba 🤣🤣👇Naomba nionyeshwe model yenye watanzania wanatumia kujiinua kutoka kwa umasikini kama hizi SACCO za Kenya or related., Am still here leo, na ichoboy01 anipatie evidence ya kuonyesha wana boda boda wa Kenya ni waongo, SACCO haijawasaidia kujijengea nyumba na kuwainua kimaisha..,
Nairobi imekua metropolitan kwa ajili ya hiyo., SACCO zimechangia.., ndio sababu estates outskirts of Nairobi kama Kajiado, Machakos na Kiambu zinashinda za Dar hands down, ama pia unataka evidence😂😂😂😂😂., jitafutieUnajua maana ya kukimbia nje ya mji unajua maana yake ??? 🤣🤣🤣 maana yake maisha ya kumiliki ardhi nairobi hayapo sasa munakwenda machakani kutafuta plot za bei nafuu ndio hzo munaenda anaother county za kiambu etc lakini ndoto ya kumiliki ardhi nairobi haitakuwepo mpaka dunia itasmama na maskini atabako maskini
Tunaongelea nakuru tunaongelea nairobi 🤣🤣🤣🤣 hvi ww unajua hii mada ilianzia wapi Nicxie njoo umsaidie mwenzako kwanza ajue mada ilpoanzia 😅😅😅😅 70% kuishi kwenye slums nairobi ni halali bro niamini mm kumbe na slums ni za serekaliUnapata tabu sana, pole kama nimekukosea kwa kweli😂😂😂😂, I was just posting ili kufaidi wenye akili ndefu, sikujua post yangu itakuumiza hivi😂😂😂😂., hadi unaweka maneno kwa mdomo ya masikini mwenzako😂😂😂😂😂., Pole nanii, sikupenda kwangu ni hawa 👇👇watu wa boda boda wali ni motivate., nisamehe kaka, umeteseka sana🙏🙏😂😂 nilidhani utajifunza kitu kumbe ugonjwa wa wivu na chuki umekuandama hadi kwa mishipa😂😂😂 pole kaka., tuwe tu marafiki., sio lazima ukubali ukweli kutoka Kenya, baki na slums basi., sina ubaya😂😂😂😂., Hawa watu👇👇 sitafuatilia mambo yao tena, umelia sana😂😂
View attachment 1790690
View attachment 1790691View attachment 1790693
View attachment 1790692
View attachment 1790694
Sasa ona wewe kilaza kweli! Those are real estate companies, ni biashara za kujenga na kuuza na pia kuuzia watu plots, hata Burundi, Malawi, akina south Sudan wanazo hizo, hizi umepost sio scheme ya kusaidia mtu wa chini kujiinua😂😂😂., hizi ni biashara za kawaida tu.., kumbe haujui SACCO., pole sasa nimekuelewa, ungeuliza tu ufafanuliwe😂😂😂.,Tanzania ardhi ni bei nafuu sana na zipo vikoba kama sido na makampuni mengi sana yanakopesha viwanja na nyumba 🤣🤣👇
Makampuni ni megi sana yapo ya serekali yapo ya mashirika yapo ya watu binafsi
Na nje ya hapo ardhi bei haimyimi mtu maskini kumiliki ardhi na nyumba
View attachment 1790702View attachment 1790703View attachment 1790704
Tunaongelea nairobi city hatuongelei kaambucounty usichanganye chai na uji 🤣🤣🤣🤣🤣 rudi kwenye mada kwanza mm nataka uwelewe mada na ujibuNairobi imekua metropolitan kwa ajili ya hiyo., SACCO zimechangia.., ndio sababu estates outskirts of Nairobi kama Kajiado, Machakos na Kiambu zinashinda za Dar hands down, ama pia unataka evidence😂😂😂😂😂., jitafutie
Choma ndani 🤣🤣🤣👇👇👇👇Sasa ona wewe kilaza kweli! Those are real estate companies, ni biashara za kujenga na kuuza na pia kuuzia watu plots, hata Burundi, Malawi, akina south Sudan wanazo hizo, hizi umepost sio scheme ya kusaidia mtu wa chini kujiinua😂😂😂., hizi ni biashara za kawaida tu.., kumbe haujui SACCO., pole sasa nimekuelewa, ungeuliza tu ufafanuliwe😂😂😂.,
Tunaongelea nairobi city hatuongelei kaambucounty usichanganye chai na uji 🤣🤣🤣🤣🤣 rudi kwenye mada kwanza mm nataka uwelewe mada na ujibu View attachment 1790707View attachment 1790708
Mimi ndio mleta mada asubuhi ya Leo, a new thing watu wajifunze kitu na kujadiliana, wewe na wivu na kinyongo ukarukia kujaribu kuponda na ku derail coz ya chuki.😂😂😂😂, sasa ona ulivyo jichanganya, sikukua naleta mjadala but majadiliano, wewe na kiherehere yako umejiaibisha humu😂😂😂😂.,Tunaongelea nakuru tunaongelea nairobi 🤣🤣🤣🤣 hvi ww unajua hii mada ilianzia wapi Nicxie njoo umsaidie mwenzako kwanza ajue mada ilpoanzia 😅😅😅😅 70% kuishi kwenye slums nairobi ni halali bro niamini mm kumbe na slums ni za serekali
Alishindwa, hiyo chapter funga😂😂😂Wewe ndo uko nje ya mada - leta picha za majority estates dar kwan ngumu vipi😂😂😂😂😂😂😂 staki story leta picha tuendelee😊😁😁
👇👇👇👇Choma ndani 🤣🤣🤣👇👇👇👇
Wewe ndo uko nje ya mada - leta picha za majority estates dar kwan ngumu vipi😂😂😂😂😂😂😂 staki story leta picha tuendelee😊😁😁
Oohh kumbe 😂😂😂 Ichoboy si ungesema mapema😁😁Alishindwa, hiyo chapter funga😂😂😂
Choma ndani 👇👇👇👇 hii taasisi ya serekali 😃😃😃😃😃😃Sasa ona wewe kilaza kweli! Those are real estate companies, ni biashara za kujenga na kuuza na pia kuuzia watu plots, hata Burundi, Malawi, akina south Sudan wanazo hizo, hizi umepost sio scheme ya kusaidia mtu wa chini kujiinua😂😂😂., hizi ni biashara za kawaida tu.., kumbe haujui SACCO., pole sasa nimekuelewa, ungeuliza tu ufafanuliwe😂😂😂.,
🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 povu na uharo umewatoka mwenzako kakimbilia bodaboda wa nakuru sio tena wa nairobi👇👇👇👇
Unapata tabu sana, pole kama nimekukosea kwa kweli😂😂😂😂, I was just posting ili kufaidi wenye akili ndefu, sikujua post yangu itakuumiza hivi😂😂😂😂., hadi unaweka maneno kwa mdomo ya masikini mwenzako😂😂😂😂😂., Pole nanii, sikupenda kwangu ni hawa 👇👇watu wa boda boda wali ni motivate., nisamehe kaka, umeteseka sana🙏🙏😂😂 nilidhani utajifunza kitu kumbe ugonjwa wa wivu na chuki umekuandama hadi kwa mishipa😂😂😂 pole kaka., tuwe tu marafiki., sio lazima ukubali ukweli kutoka Kenya, baki na slums basi., sina ubaya😂😂😂😂., Hawa watu👇👇 sitafuatilia mambo yao tena, umelia sana😂😂
View attachment 1790690
View attachment 1790691View attachment 1790693
View attachment 1790692
View attachment 1790694
Mwenzako anapost bodaboda wa nakuru sisi tunazungumzia nairobi which is which??🤣🤣 hata mkikasirika mukabichukia mm namwaga unga tu 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇
Kumbe haukuelewa what I posted, ulidandia kwa msukumo wa wivu na chuki ulio kujaa kuhusu Kenya!😂😂😂😂🤣., kumbe ungefyata tu🤣😂😂😂😂🤣Tunaongelea nakuru tunaongelea nairobi 🤣🤣🤣🤣 hvi ww unajua hii mada ilianzia wapi Nicxie njoo umsaidie mwenzako kwanza ajue mada ilpoanzia 😅😅😅😅 70% kuishi kwenye slums nairobi ni halali bro niamini mm kumbe na slums ni za serekali