Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Take a chill pill hommie, I took that pic on my way home from work,what's your problem. That's towards junction mall.
Another Tz sleek Merc a couple of minutes before the previous one, this is Redhill Road
Naona pia roads are marked congrats.
 
Take a chill pill hommie, I took that pic on my way home from work,what's your problem. That's towards junction mall.
Another Tz sleek Merc a couple of minutes before the previous one, this is Redhill Road
So ulitaka kuongopa kwamba upo Tz au?
 
😂😂😂😂Unajaribu kukwepa nini,,zoom hizi dream houses marked X View attachment 1790048tuone
Mm hua nakwambia mzungu hawezi kua mjinga aone slum za dunia nzima asione ya dar hio sahau 🤣🤣🤣👇👇👇 na nitafunga safari kuwaletea video za ground kwa gharama zangu kaeni mkao wa kula tu 👇👇👇👇👇👇 kama nilivofanya tandale
11E86E09-72FD-487A-A565-19D42587BEFC.png
64BC630D-114D-4DE2-BF89-0E3E9F6CE9F5.png
55118D7D-06C5-449E-A86A-C69A92B1FD31.png
 
Please can someone zoom for me hizi dream houses pia nzione na 2D na3D😂😂😂 eti dream houses 🤮🤮
View attachment 1790052View attachment 1790053
Ukimwambia zoom tuone kwann mzungu hakuona slum anakimbia mbio 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇 yani mzungu awekeze trillions of money hewani aone slums za dunia asione ya dar haitawah tokea 😃😃😃😃 hapo utaona unplanned settlements lakini hzo nyumba ni za kisasa hakuna tope waa mabati wall 👇👇
F061F986-6466-465B-91D1-0BEE3C13CC3B.png
ABCA7B0D-D54B-4B98-ABEE-5469AF3EC5D9.png
F03886A4-0C66-4BBA-909F-9BB1700F3F57.png
F45700C2-181E-46B9-A962-05866DA7EF1B.png
 
Angalia sasa wewe ndo mjinga😂😂😂 hazikodishwi mzee😁😁😁View attachment 1789933
Walionunua wakwapi?? Hao wanatangaza kuuza walionunua wakwapi??🤣🤣🤣 kwa ajira gani na mshahara gani?? Kutangaza biashara kuna kununuliwa au kutonunuliwa tegemea mawili kwenye moja mkenya
600unity in unity ni nini hio bedsitter ama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 start at 7m ksh depend on size😀😀😀😀😀
 
Najaribu kuwaza hivi wakenya wangekuwa wanajenga nyumba zao wenyewe kama sisi tunavyofanya,dah wangejenga ujinga wa karne...jamaa ni masikini sana
Achilia mbali kujenga hata ile ndoto ya usingizi ya alinacha hawana 🤣🤣🤣 ndoto yakumiliki ardhi itakua ndoto ya kujenga ??😅😅😅😅 kilichobaki akilini mwao hudhani mtu anaeza kulipa rent bedsitter nae ni middle class ukija kumkagua huyu mtu jasho linatokea kwenyw kipumulio vile maisha alionayo
 
Wakiwa twitter wanaongea vingine kabisa 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇

 
Back
Top Bottom