Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi




E1p9u-lXoAYULzq




MY TAKE
Where r the naysayers from Kunyaland Republic?

Tony254 njoo walau utie neno plz🤣🤣
 
Sasa umeenda kwa anaemiliki sacco?😂😂😂😂😂 ichoboy01 you are an idiot for real😂😂😂😂., SACCO is owned by group members, haina mtu binafsi, kwani Tz haina SACCOs? In Kenya pia matatu zina sacco, u can't operate psv without belonging to a SACCO., and from sacco they take loans and invest, ndio maana in Kenya most matatus niblatest models😂😂.,
Which estates are owned na hizo taasisi zako uchwara?😂😂😂😂 yaani unalazimisha ukweli imekuudhi vibaya sana😂😂😂 , enyewe wewe ni ignorant kabisa., uko na reasoning gani hii?.,😂😂😂😂., unalazimisha fikra zako kwa Kw nchi yangu., Ulikua umelishwa propaganda hadi basi, Leo hii unashangaa sio vile?😂😂😂😂., jipe shughli kilaza😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇 ukija na facts nitag mm utadanganya watu wote nairaland lakini sio mm 👇👇👇👇 hii ni jamii forum so kama ni community wao wanafanya biashara sindio na lengo la kujenga hzo estates nyinyi mnunue mukiwa na pesa na kama hamuna murent wakusanye kodi warudishe pesa zao kama community sasa ni mkenya yupe amabaye anajiita middle class anaeza hii masharti ukipata nitag na kwa mshahara upi🤣🤣🤣👇👇👇 na hii ni sacco
🤣🤣🤣👇👇👇👇

View attachment 1789620
355CCA84-157A-49E4-8534-C6B04100ED4F.jpeg
 
Nyingi bila mwana.

Nimedokezwa "Bajeti ya Wizara ya Ujenzi imepunguzwa kwa 20%", ukijumlisha na ufisadi utakaoanza kwenye miradi, sijui kama hata 20% ya Magufuli atafika. Yaani tumerudi kulee kwa Kikwete.
[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji375][emoji375][emoji375][emoji375] na bado hadi upasuke nyongo
 
Watoe wapi 😂😂😂😂., si umeona wametapatapa hadi basi😂😂😂😂
Nikiwambia uniletee sehemu za matajiri nairobi waliojenga nyumba zao kwa kutumia dream zao unaweza niletea 🤣🤣🤣 au utaniletea estate as usual ??? Akili haikai kwenye kipumulio
 
Kua middle class atleast uwe na vigezo hvi 🤣🤣🤣👇👇👇👇 ni mkenya gani middle class ana vigezo hvi 👇👇👇👇 mtu anafkiri ukiweza kurent bedsitter unakua middle class👇👇👇👇👇
3E152848-56C1-4C44-916B-905C8B34F1AA.jpeg
 
Kua middle class atleast uwe na vigezo hvi 🤣🤣🤣👇👇👇👇 ni mkenya gani middle class ana vigezo hvi 👇👇👇👇 mtu anafkiri ukiweza kurent bedsitter unakua middle class👇👇👇👇👇View attachment 1789663
Mzee unataabika😂😂😂😂 wakati wa middle class utafika sasa tuko low middle class, usijifanye chizi😂😂😂😂
 
kuna ukweli budget imepunguzwa hasa sehem ya uchukuzi

View attachment 1789250
hii ni budget ya mwaka ujao(2021/2022)
total = 3.747 trillions
ujenzi = 1.627 trillions
uchukuzi = 2.12 trillions

budget ya mwaka jana ilikuwa hiv
total = 4.768 trillions
ujenzi = 1.616 trillions
uchukuzi = 3.152 trillions

tofauti: budget ya mwaka ujao umepunguzwa kwa almost 1.021 trillions (21%) pungufu ya mwaka jana
View attachment 1789251
View attachment 1789252

summary ya budget ya mwaka huu hii hapa
Kwa hiyo nyie mataga wa humu mnatakaje labda? Hii nchi ina mambo mengi ya maana ya kufanya sio ujinga wa kupeleka pesa yote kwenye sgr tembo mweupe na bwawa la umeme.

And you have nothing to do,ukiweza hama nchi au nenda kaburini kachongelee
 
🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇 ukija na facts nitag mm utadanganya watu wote nairaland lakini sio mm 👇👇👇👇 hii ni jamii forum so kama ni community wao wanafanya biashara sindio na lengo la kujenga hzo estates nyinyi mnunue mukiwa na pesa na kama hamuna murent wakusanye kodi warudishe pesa zao kama community sasa ni mkenya yupe amabaye anajiita middle class anaeza hii masharti ukipata nitag na kwa mshahara upi🤣🤣🤣👇👇👇 na hii ni sacco

View attachment 1789660
Yaani wewe ni boya kuruka😂😂😂😂😂 unachukua a sample of a sacco unaweka hapa unatumia ku argue😂😂😂., sacco ni wakenya kadhaa wanakuja pamoja kwa kuelewana, wanachanga pesa ambayo unakatwa kwa mshahara kama umehajiriwa ama unatoa kiwango fulani kwa uwezo wako., so sacco inaweza kujengea nyumba it's members, nao wanazichukua na kulipia mortgage kwa muda fupani., members wa sacco wanapewa kwa bei nafuu kwa vile ni mchango wao, wewe ukija utalipia kupitia pua lako as a non member😂😂😂yaani nyie washamba kupindukia😂😂😂😂, nilifikiria ndio mmetoka porini kumbe bado mko kule kule 😂😂😂😂😂😂 Mimi binafsi I owned my first plot in Nairobi kupitia SACCO ya professionals wa kazi nilikua nafanya., jifunzeni kitu kwa huu mfumo wa sacco wacha jeuri na kiburi na umasikini umewakumbatia kote kote😂😂😂😂., unapoendelea kupinga ndio ujinga wako inadhihirika wazi wazi😂😂😂😂., yani wewe ni ignorant more than I ever thought!😂😂😂😂
 
Mm unanielewa au hunielwi 🤣🤣👇👇👇 nakwambia kununua watanunua politicians, matajiri baadhi na taasisi lakini wakenya 85% mutabaki ku rent kutafuta pesa ya kodi na ya kunywa uji lakini ndoto ya ya ardhi na majumba iacheni ibaki ndoto mukilala muote 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇 ukija na facts nitag mm utadanganya watu wote nairaland lakini sio mm 👇👇👇👇 hii ni jamii forum so kama ni community wao wanafanya biashara sindio na lengo la kujenga hzo estates nyinyi mnunue mukiwa na pesa na kama hamuna murent wakusanye kodi warudishe pesa zao kama community sasa ni mkenya yupe amabaye anajiita middle class anaeza hii masharti ukipata nitag na kwa mshahara upi🤣🤣🤣👇👇👇 na hii ni sacco

View attachment 1789660
Mzee boda boda saccos kenya wanajenga manyumba zao unaleta mipasho hapa😂😂😂😂😂


 
Wala kaka, mimi nimekudokeza tu na kuongea kama navyoongeaga. Muda si mrefu utaupata ukweli, wanao nidokeza sio watoto na hawana sababu ya kuongea uongo or kusingizia.

Amini nakuambia, kama nilivyosema mwanzo huyu mama ni mamluki taratibu unaanza kulielewa hili.

Anza kupepesa nilichodokeza kuhusu hiyo bajeti ya wizara ya ujenzi kupunguzwa kwa 20% utakuja nijuza humu kama ni uongo.
Wewe huna akili ,hii nchi ina wizara nyingi za muhimu,Nchi sio wizara ya ujenzi tuu kama ukumbukeni wa mwendazake
 
Mzee boda boda saccos kenya wanajenga manyumba zao unaleta mipasho hapa😂😂😂😂😂

700, 000 boda boda anatoa wapi na anakula nn kila siku na anaishi wapi wakat huo na mahitaji yake mengine anayotoa wapi na familia yake anaiangalia na nn ??🤣🤣🤣 tatizo hutaki ukweli ila nakwambia kitu mm nina uhakika nayo 😂😂😂 maisha yenyewe ghali chakula ghali kila kitu hakikamatiki kwa maisha yakuunga unga bodaboda anasaving gani ya 700,000ksh???🤣🤣🤣🤣 punguza matani mzeee
 
Yaani wewe ni boya kuruka😂😂😂😂😂 unachukua a sample of a sacco unaweka hapa unatumia ku argue😂😂😂., sacco ni wakenya kadhaa wanakuja pamoja kwa kuelewana, wanachanga pesa ambayo unakatwa kwa mshahara kama umehajiriwa ama unatoa kiwango fulani kwa uwezo wako., so sacco inaweza kujengea nyumba it's members, nao wanazichukua na kulipia mortgage kwa muda fupani., members wa sacco wanapewa kwa bei nafuu kwa vile ni mchango wao, wewe ukija utalipia kupitia pua lako as a non member😂😂😂yaani nyie washamba kupindukia😂😂😂😂, nilifikiria ndio mmetoka porini kumbe bado mko kule kule 😂😂😂😂😂😂 Mimi binafsi I owned my first plot in Nairobi kupitia SACCO ya professionals wa kazi nilikua nafanya., jifunzeni kitu kwa huu mfumo wa sacco wacha jeuri na kiburi na umasikini umewakumbatia kote kote😂😂😂😂., unapoendelea kupinga ndio ujinga wako inadhihirika wazi wazi😂😂😂😂., yani wewe ni ignorant more than I ever thought!😂😂😂😂
Hii ni sacco mzee nilikua naangalia huyo middle income wakikenya wakurent bedsitter alijiita middle income anafanya nn 🤣🤣👇 acheni masikhara kwenye matumaini.....

hvi wewe kwa maisha yakenya yakivokua ghali kila kitu ghali infalation kubwa unataka kuniambia huyo middle income wa bedsitter anamshahara gani huo wakufanya yote na akawa na saving hiyo au akatwe pesa na mwajiri wake anaishi na nn au anategemea huruma ya Mungu ??😅😅😅😅

F74A13CB-9976-4727-B0BF-BA97876A9C63.jpeg



jamani ana own piece of land huyu hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eeeh Mungu msitiri mja wako huyu, mm nakwambia ardhi ya nairobi na sio nairobi kenya nzima imeshikwa na wachache sana na hao wachache wengi politicians sasa mwenzako Nicxie kakubali wewe ukatae kwann???😂😂😂😂
 
700, 000 boda boda anatoa wapi na anakula nn kila siku na anaishi wapi wakat huo na mahitaji yake mengine anayotoa wapi na familia yake anaiangalia na nn ??🤣🤣🤣 tatizo hutaki ukweli ila nakwambia kitu mm nina uhakika nayo 😂😂😂
Kama ungefungua hio link usingeuliza maswali ya kijinga😂😂😂 hio laki saba wanalipa kwa miaka mi saba. In a day a rider makes 1000 ksh on average.
 
Kama ungefungua hio link usingeuliza maswali ya kijinga😂😂😂 hio laki saba wanalipa kwa miaka mi saba. In a day a rider makes 1000 ksh on average.
🤣🤣🤣🤣🤣 in aday kwamaana anamkataba wa kazi ya kuingiza kila siku 1000ksh au unafkiri siku ziko sawa tu kua bodaboda kwanza alaf ingiza hio pesa kila siku 😃😃😃😃Soma hii link inahabari muhimu sana kwako

 
Tuta tuta tuta. Bado mradi haujaanza baada ya kutuhadaa kwamba mradi utaanza mwisho wa April.
Ndio umeanza sasa bado huamini au hupendi ijengwe huku 🤣🤣🤣🤣 acha wivu huna dada ukamwachia huo wivu
 
ichoboy01 ona vitu ulivyo leta kabla ya kuishiwa na pumzi., am comparing na za Nairobi.., ona tofauti ilivyo too obvious😂😂😂😂 mbio za sakafuni huishia ukingoni, sasa ni hadithi na vijisababu uchwara humu😂😂😂
1.Dar es salaam
Screenshot_20210518-085421.jpg

Nairobi
Screenshot_20210517-150125.jpg

2. Dar es Salaam
Screenshot_20210518-085405.jpg

Nairobi
Screenshot_20210518-085251.jpg

3.Dar es Salaam(pumzi ilianza kuisha akarudia same estate no. 2. ☝️different angle👇😂😂)
Screenshot_20210518-085340.jpg

Nairobi bado ikajibu tu💪.,
Screenshot_20210518-085311.jpg

4. Dar es Salaam(kakimbilia upper class, lakini bado!!)
Screenshot_20210518-083821.jpg

Nairobi anamjibu na Eastlands 😂😂
Screenshot_20210517-145519.jpg

5. Dar es Salaam (kaleta dream houses, am not putting here, matako ya Dar naijua so sigusi) hapa Dar 0.,

Nairobi
Screenshot_20210518-085241.jpg

6.Dar 0 (mahali Kiswahili ilianza, eti ownership blah blah etc)

Nairobi
Screenshot_20210517-145752.jpg

7. Dar 0..,(Kiswahili kiliendelea kashindwa kuleta picha)

Nairobi
Screenshot_20210517-145716.jpg


Na wenzangu walileta kadhaa, akina Kasarani, Buruburu., Greenspan etc..,

Dar kulikoni?
 
Sasa umeenda kwa anaemiliki sacco?😂😂😂😂😂 ichoboy01 you are an idiot for real😂😂😂😂., SACCO is owned by group members, haina mtu binafsi, kwani Tz haina SACCOs? In Kenya pia matatu zina sacco, u can't operate psv without belonging to a SACCO., and from sacco they take loans and invest, ndio maana in Kenya most matatus niblatest models😂😂.,
Which estates are owned na hizo taasisi zako uchwara?😂😂😂😂 yaani unalazimisha ukweli imekuudhi vibaya sana😂😂😂 , enyewe wewe ni ignorant kabisa., uko na reasoning gani hii?.,😂😂😂😂., unalazimisha fikra zako kwa Kw nchi yangu., Ulikua umelishwa propaganda hadi basi, Leo hii unashangaa sio vile?😂😂😂😂., jipe shughli kilaza😂😂😂😂
Huyo jamaa nimegundua ni school drop out, imagine grown man hajui sacco ni nini😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom