Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Population sasa
Screenshot_20210518-133442_Samsung%20Internet.jpg
 
Eti middle class hana uwezo wala ndoto ya kua na ardhi wala nyumba nairobi alaf mtu anahesabika middle class🤣🤣🤣🤣
63072C1C-AE81-4F00-8377-F0A8F8C6F648.jpeg
 
Masaki na nyali ki population kwanza ndio ujue km watu tanzani wengi ni walalhoi walai..
MK254 Tony254
Ona vile population ya watu wao hko wanakokuita ushuani
Panaishi watu wachache sana walaiView attachment 1789555View attachment 1789556

Hehehe Kuna siku we were driving around in Dar nikiwa na Mtz, nikamuomba anipeleke sehemu wanakoishi matajiri, yaani upper class kabisa kwenye majengo ya kifahari ambapo wanapakubali wote, tulizunguka kanipeleka sijui Ununio mara sijui wapi, nilitafuta nini cha kulinganisha na mitaa ya kifahari hapa Kenya nikakosa.
 
Wamebakia kupost estates where majority wame rent alaf anakwambia wana middle class wengi 🤣🤣🤣 alaf huyo huyo anakwambia ana nyumba ya urithi ushagoo yani nimecheka sana 😅😅😅😅 mtu anaongelea urithi wa ukoo alaf awe na ndoto za kumiliki nyumba, are u even serious Nicxie
 
Hehehe Kuna siku we were driving around in Dar nikiwa na Mtz, nikamuomba anipeleke sehemu wanakoishi matajiri, yaani upper class kabisa kwenye majengo ya kifahari ambapo wanapakubali wote, tulizunguka kanipeleka sijui Ununio mara sijui wapi, nilitafuta nini cha kulinganisha na mitaa ya kifahari hapa Kenya nikakosa.
Uninuo kuna majumba yakihari tena acha kabisa hio sehemu isikie hvo hvo labda hujafikishwa sehemu za adabu 🤣🤣🤣 ukija nitafute mm nikutoe tongotongo zako kwa gharama zangu mm hakikisha unanitafuta
 
🤣🤣🤣🤣🤣 siku hzi hawaongelei tena GDP 👇👇👇👇👇
 
Then sacco owned by who heb tusaidie hapo kwanza 🤣🤣🤣🤣 ili tuone kwann ardhi nairobi inamilikiwa na politicians, inveators, taasisi za serekali pamoja wafanya biashara wakubwa
Mwalimu wako alipata tabu sana😂😂😂 mzee saccos arenot owned by anybody, shule uliachia wapi wewe😁😁😁
 
Ahadi kuhsnei budget ina ahadi miambili utekelezaji ni asilimia 0.1 😄😄😄😄
 
Wamebakia kupost estates where majority wame rent alaf anakwambia wana middle class wengi 🤣🤣🤣 alaf huyo huyo anakwambia ana nyumba ya urithi ushagoo yani nimecheka sana 😅😅😅😅 mtu anaongelea urithi wa ukoo alaf awe na ndoto za kumiliki nyumba, are u even serious Nicxie
Mzee real estate houses arenot rented, they are sold in cash or morgage.😂😂😂😂 ebu post aerial tuzione😁😁
 
Mzee real estate houses arenot rented, they are sold in cash or morgage.😂😂😂😂 ebu post aerial tuzione😁😁
Sold to who ?? Nani ananunua estate ?? Nani ??? Hvi wewe unaniona mm sijui maisha ya kenya au ??? Nani wakununua huyo 😂😂😂😂😂😂 labda watoto wa politicians na watoto wa matajiri wachache
 
Hehehe Kuna siku we were driving around in Dar nikiwa na Mtz, nikamuomba anipeleke sehemu wanakoishi matajiri, yaani upper class kabisa kwenye majengo ya kifahari ambapo wanapakubali wote, tulizunguka kanipeleka sijui Ununio mara sijui wapi, nilitafuta nini c niha kulinganisha na mitaa ya kifahari hapa Kenya nikakosa.
We mzee huku ndio ununio

Sidhani kama hata ulishawahi fika

images - 2021-05-18T141020.089.jpeg
images - 2021-05-18T140710.399.jpeg
images - 2021-05-18T140723.974.jpeg
f306ff890c909472d40f763ed661cdc2440dcf25.jpg
7620084.jpg
77d6407006ed4e33025b93aff8a3510f223ec38f.jpg
 
Mwalimu wako alipata tabu sana😂😂😂 mzee saccos arenot owned by anybody, shule uliachia wapi wewe😁😁😁
Jibu swali nililokuuliza hakuna kuzuga au kukwepa ??? So are owned by who?? Zinamilikiwa na malaika au???😅😅😅 Eti hazimilikiwi na yoyote sasa zinaendeshwa na ibilisi au???
 
Back
Top Bottom