Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu upuuzi ndio huwezi kuupata bongo yani wenye uwezo na wasio na uwezo wanatenganishwa kwa fensii
Kwao ni kawaida kama wanaukabila unategemea nn ??😀😀😀 ardhi yote imeshikwa na wachache wakiwemo politicians na investors wachache waliobakia hawana ndoto zaidi yakutafuta pesa ya uji 😃
 
Yani hawa wazee wa bedsitter ukiingia kwwnye bedsitter , hatua ya kwanza tuu ushafika sebuleni ,chumbani ,jikoni na chooni hatua ya pili upo njee
🤣🤣🤣🤣 alaf huyo huyo kwao ni middle class hana ndoto ya kua na ardhi mpaka kiyama
 
Hvi wewe Coco reborn nikikwambia hii ni mbagala unaweza kubali??😁😁😁
6B89CF81-8A62-49A5-8229-83714A3447F6.jpeg
 
Nyingi bila mwana.

Nimedokezwa "Bajeti ya Wizara ya Ujenzi imepunguzwa kwa 20%", ukijumlisha na ufisadi utakaoanza kwenye miradi, sijui kama hata 20% ya Magufuli atafika. Yaani tumerudi kulee kwa Kikwete.

Ukishaona mtu anaanza kujipendekeza kwa mataifa ya maghairibi jua ana uwezo wa kukusanya kodi anatafuta misaada tuu Acha tumpe mda tuone miradi aliyoachiwa itakua imesogea kwa kiwango gani
 
Kila sehemu dar kumejengeka na kila sehemu kuna majority na uzuri wa huku ni mixed class sasa ikiwa masaki alone ni size ya mombasa wewe unategemea nn 👇👇👇👇

View attachment 1788884View attachment 1788885
That's Masaki, mtaa wa kifahari zaidi Dar kushinda zote 😂 😂 😂
Hii game bado hamuiwezi. Yani panafanana tu kama pale Lavington ama westlands hivi
 
Kibera ni slum danganyikan so lazima tu pawe pachafu. Lengo langu ilikuwa ni kuwaonyesha maeneo yanayozunguka Kibera. Umeona kuna hadi golf course hapo kando ambayo kilaza mwenzako aliita pori just because Dar has one golf course.

Ukiangalia maeneo yanayozunguka kibera utoaona ni bora mara mia kushinda zile uswazi zenu mnaita dream houses. Ndio maana kila siku hapa mnaleta picha za kibera kwa sabu ndio sehemu pekee Nairobi mnaweza kulinganidha na hiyo glorified fishing village yenu.

Bonus truck
View attachment 1788863View attachment 1788866View attachment 1788867View attachment 1788869
Compare with your uswazis that dot the entire city [emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 1788880
Duuhhh aloo, yn vi estate ni eneo dogo sana alafu maslums yamezunguka kotee, baba basi basi basi inatosha mkuu tumekoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]
JamiiForums-213046482.jpg
JamiiForums-1416179565.jpg
 
That's Masaki, mtaa wa kifahari zaidi Dar kushinda zote 😂 😂 😂
Hii game bado hamuiwezi. Yani panafanana tu kama pale Lavington ama westlands hivi
Masaki ndio ni kubwa sawa na mombasa yote sasa kama masaki alone inaukubwa huo vp kuhusu oyesterbay, msasani, mikocheni, mbezi, bunju, Kinondoni, mwenge, etc 🤣🤣 yani middle class wa tanzania anautajiri sawa na high class wa kenya😂😂
 
Duuhhh aloo, yn vi estate ni eneo dogo sana alafu maslums yamezunguka kotee, baba basi basi basi inatosha mkuu tumekoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1788920View attachment 1788921
Na sasa muulize swali nani anamiliki hzo estate 🤣🤣🤣 ili ujue ratio ya umaskini wao estate inamilikiwa na politician mmoja au investor waliopanga ni elf 50 hao hao elf 50 hawana ndoto ya ardhi wala nyumba wanachitafuta mjini ni rent na hela ya uji anakwambia na hao ni middle class
 
Na sasa muulize swali nani anamiliki hzo estate [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ili ujue ratio ya umaskini wao estate inamilikiwa na politician mmoja au investor waliopanga ni elf 50 hao hao elf 50 hawana ndoto ya ardhi wala nyumba wanachitafuta mjini ni rent na hela ya uji anakwambia na hao ni middle class
Kakimbia, eti kajilipua kuweka maslums ili tuyazoee tuchukulie poa kumbe kajifedhehesha, ikiwapendeza wakuu naomba leo Nicxie apewe ulinzi mana watamuua wakunya wenzie[emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-213046482.jpg
JamiiForums-1416179565.jpg
JamiiForums2144879358.jpg
JamiiForums-166741109.jpg
JamiiForums-204158594.jpg
 
Masaki ndio ni kubwa sawa na mombasa yote sasa kama masaki alone inaukubwa huo vp kuhusu oyesterbay, msasani, mikocheni, mbezi, bunju, Kinondoni, mwenge, etc 🤣🤣 yani middle class wa tanzania anautajiri sawa na high class wa kenya😂😂
Masaki hata iwe kubwa kushinda Tanzania nishakuambia haiwezi linganishwa na mitaa za kifahari (leading ones) za Nairobi. Hii hapa Kitisuru tu. Najua hujawahi sikia hata hilo jina 😂 😂
images (77).jpeg
 
Duuhhh aloo, yn vi estate ni eneo dogo sana alafu maslums yamezunguka kotee, baba basi basi basi inatosha mkuu tumekoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1788920View attachment 1788921
Hiyo Ni Kibera kijana wa Tandale. My focus was to show you areas around Kibera slum so you can compare with your dreamhouses. This is how the area around Kibera slum looks like from the air. Nionyeshe hizo slums zingine hapo. Kubalini yaishe
Screenshot_20210517-230136.png
 
Back
Top Bottom