Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Masaki hata iwe kubwa kushinda Tanzania nishakuambia haiwezi linganishwa na mitaa za kifahari (leading ones) za Nairobi. Hii hapa Kitisuru tu. Najua hujawahi sikia hata hilo jina 😂 😂
View attachment 1788945
Hata mm naona 🤣🤣👇👇👇 ww unanionesha estate ya mtu mmoja akimiliki mm nakuonesha nyumba kila mmoja akimiliki
89B87E52-E2D4-4F35-95A8-C85FADC23367.jpeg
 
Unaniletea apartments? 😂 😂 😂 😂 Hizo zimejaa Eastlands huku Nairobi
Nikuletee appartments kwan ww unafkiri maisha ya tanzania mtu anasubiri appartment akodishe wakat ardhi iko nje nje na uweza wa kujenga mtu anao 🤣🤣
 
mkenya amekuja kuwekeza..kapata frame hapa mawasiliano.. tutafatilia anaweka nn [emoji23]

tuzisave hizo pics za frem
tiyari ni kanpuni hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wanaongeza total kama kawaida
 
Masaki hata iwe kubwa kushinda Tanzania nishakuambia haiwezi linganishwa na mitaa za kifahari (leading ones) za Nairobi. Hii hapa Kitisuru tu. Najua hujawahi sikia hata hilo jina 😂 😂
View attachment 1788945
Hakuna kitu utaleta zaidi ya estate hakuna mark my words 🤣🤣🤣🤣 ndoto za kujenga na kumiliki ardhi ziko wapi??🤣🤣 Sasa hao middle class wako wapi ???
 
Na sasa muulize swali nani anamiliki hzo estate 🤣🤣🤣 ili ujue ratio ya umaskini wao estate inamilikiwa na politician mmoja au investor waliopanga ni elf 50 hao hao elf 50 hawana ndoto ya ardhi wala nyumba wanachitafuta mjini ni rent na hela ya uji anakwambia na hao ni middle class
Wewe umejenga shanty hapo uswazini Dar kisha unajiona umefanikiwa sana maishani. Nairobi watu wengi wako kikazi. Leo uko huku kesho kazi inakupeleka kwingine, unaanza maisha mpya huko ulikoenda. Wakenya wengi wanaoishi Nairobi wako na ardhi na nyumba vijijini walikozaliwa. Wewe kama ulizaliwa Dar hauna budi ila kijifinya na watanzania wenzako ndani ya kidreamhouse yako coz probably that's all you own in your life.
 
Hakuna kitu utaleta zaidi ya estate hakuna mark my words 🤣🤣🤣🤣 ndoto za kujenga na kumiliki ardhi ziko wapi??🤣🤣 Sasa hao middle class wako wapi ???
What is your understanding of the word estate?
 
Kuna picha hapo jamaa kwenye lundo la uchafu wapo kwenye umbrella wanafanya biashara!hawa wakunya hivi wapo kwenye dunia hii tunayoishi au wapo planet nyingine,si kwa uchafu ule aisee!
Zote ni bed sitter wamepanga Hapo ukiwauliza sasa watakwambia ni middle class huyo middle class hana kiwanja wala nyumba anatafuta pesa ya uji tu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
What is your understanding of the word estate?
Estate ni nyumba amabzo zinamilikiwa na mtu mmoja au shirika na kusudio ni kukodisha kwa watu wenye mahitaji ya makazi na uzuri wa estate kenya ni biashara na hatuwezi bishana 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom