Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Estate ni nyumba amabzo zinamilikiwa na mtu mmoja au shirika na kusudio ni kukodisha kwa watu wenye mahitaji ya makazi na uzuri wa estate kenya ni biashara na hatuwezi bishana 🤣🤣🤣🤣🤣
First, even though not grammatically correct, sisi huku Kenya tukitumia meno estate tunammanisha mtaa wa makaazi. Example ni Buru Buru, Donholm, Westalnds, Langa'ta. All these we refer to them as estates.

And what's wrong with nyumba za makaazi kumilikiwa na mashirika ama mtu mmoja as long as they are not Tanzanians? Ama unataka na sisi pia tujijengee uswazi huku kila mahali jinsi mlivyofanya?
 
First, even though not grammatically correct, sisi huku Kenya tukitumia meno estate tunammanisha mtaa wa makaazi. Example ni Buru Buru, Donholm, Westalnds, Langa'ta. All these we refer to them as estates.

And what's wrong with nyumba za makaazi kumilikiwa na mashirika ama mtu mmoja as long as they are not Tanzanians? Ama unataka na sisi pia tujijengee uswazi huku kila mahali jinsi mlivyofanya?
So who own estates 🤣🤣🤣 hapa huwezi na hutanidanganya mm hilo nakwambia wazi narudia swali who own estates in kenya naomba jibu

kuna estates nyingi sana zinamilikiwa na waturuki investors kazi yenu nyinyu ni kupanga kutafuta hela ya rent na uji lakini akili ta kiwanja na nyumba hamuna mpama dunia itasmama🤣🤣 na baadhi ya estates zinamilikiwa na politicians pamoja na wafanya bishara wachache wenye connection na politicians 😃😃😃😃😃

Juzi rafki yangu ananimabia joho anamiliki majumba na appartments nyingi sana mombasa, malindi na lamu sasa swali na jiuliza joho ametokea kwenye familia yakimaskini leo kawa tajiri mkubwa mombasa bado unataka kalamu na karatasi kuelekezwa😀😀
 
Ngoja tuzoom Mabibo tuone ww na mzungu nani anaakili 🤣🤣🤣👇👇👇 naona ushakasirika sasa
View attachment 1788376
Ebu zoom pia na hii tuone 😂😂😂
Screenshot_20210517-233144.png
 
Wewe umejenga shanty hapo uswazini Dar kisha unajiona umefanikiwa sana maishani. Nairobi watu wengi wako kikazi. Leo uko huku kesho kazi inakupeleka kwingine, unaanza maisha mpya huko ulikoenda. Wakenya wengi wanaoishi Nairobi wako na ardhi na nyumba vijijini walikozaliwa. Wewe kama ulizaliwa Dar hauna budi ila kijifinya na watanzania wenzako ndani ya kidreamhouse yako coz probably that's all you own in your life.
Analeta hadithi za pauka pakawa, yn mkenya hana haki ya kumiliki ardhi mjini mpk aende kijijini licha ya pori lote lile la Nairobi lkn pia lina wenyewe, daahhh poleni sana, ndio Kenyatta alipowafikisha hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Analeta hadithi za pauka pakawa, yn mkenya hana haki ya kumiliki ardhi mjini mpk aende kijijini licha ya pori lote lile la Nairobi lkn pia lina wenyewe, daahhh poleni sana, ndio Kenyatta alipowafikisha hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ardhi nairobi inamilikiwa na wachache tu politicians , inveators pamoja na wafanya biashara wakubwa wenye connections na politician waliobakia ni kama slaves kwangu pakavu tia mchuzi 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Usawazi umetake over Dar,,hakuna ata pa kupumulia,, pathetic city🤢🤢🤢🤮😂😂
Jibu swali 🤣🤣🤣👇 hakuna kuzuga
Niambie place inaitwaje ???? Alaf nizoom kwa both 2D and 3D ili tuhakikishe wewe unaakili zAidi ya mzungu🤣🤣🤣🤣🤣

yani mzungu afunge sattelite z technology ya hali ya juu billions of money alaf asione slum dar pekee 😁😁
 
First, even though not grammatically correct, sisi huku Kenya tukitumia meno estate tunammanisha mtaa wa makaazi. Example ni Buru Buru, Donholm, Westalnds, Langa'ta. All these we refer to them as estates.

And what's wrong with nyumba za makaazi kumilikiwa na mashirika ama mtu mmoja as long as they are not Tanzanians? Ama unataka na sisi pia tujijengee uswazi huku kila mahali jinsi mlivyofanya?
Sisi hatuna kitu inaitwa slum mpaka dunia itasmama slum za dunia hii utazipata nairobi liberia na nigeria 🤣🤣🤣👇👇👇
698C7948-3CC4-46BF-B666-CCC06C5B557B.jpeg
 
Ardhi nairobi inamilikiwa na wachache tu politicians , inveators pamoja na wafanya biashara wakubwa wenye connections na politician waliobakia ni kama slaves kwangu pakavu tia mchuzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanatafuta ela ya uji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanatafuta ela ya uji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio ndoto hio hawana ndoto ya ardhi wala kumiliki nyumba unaeza amini hata kibera inamilikiwa na wachache vile vile wengi ni wapangaji 🤣🤣🤣yani utasema watumwa
 
Niambie place inaitwaje ???? Alaf nizoom kwa both 2D and 3D ili tuhakikishe wewe unaakili zAidi ya mzungu🤣🤣🤣🤣🤣

yani mzungu afunge sattelite z technology ya hali ya juu billions of money alaf asione slum dar pekee 😁😁
Maeneo ya usawazi ya yombo railway station😂😂
 
Back
Top Bottom