ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mm nikwepe ushuzi 🤣🤣🤣 yani mumekaa mulazmishe slum wakat mzungu haoni uone wewe njaa tupu 😃😃😃 funga acc sasa utoke jamii forum mumebakia na estates za wenyewe unakuta mtu mmoja anamilikia estates 10 alaf wanaopangisha watu elfu 50 hawana ndoto ya ardhi wala matumaini na maisha 😂😂😂😂😂😂Umekwepa sasa unatafuta pa kutokea🤭🤭🤭, nimeshindwa kukaza kicheko wacha tu nicheke bro, leo ni zamu yangu kukucheka😝😝😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣