Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So who own estates 🤣🤣🤣 hapa huwezi na hutanidanganya mm hilo nakwambia wazi narudia swali who own estates in kenya naomba jibu

kuna estates nyingi sana zinamilikiwa na waturuki investors kazi yenu nyinyu ni kupanga kutafuta hela ya rent na uji lakini akili ta kiwanja na nyumba hamuna mpama dunia itasmama🤣🤣 na baadhi ya estates zinamilikiwa na politicians pamoja na wafanya bishara wachache wenye connection na politicians 😃😃😃😃😃
Tanzanians own them
 
Pipeline low middle class estate, embakasi. Venus Star
Screenshot_20210517-233400.png
Screenshot_20210517-224803.png
Screenshot_20210517-224808.png
 
Wiki ijayo inshallah nutakuletea Yombo uione on ground, lami mpk barazani we tulia uone vile mchezo uko kwa Tz ya sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
mzee hatutaki mipasho leta picha😂😂😂😂😂😂
 
Analeta hadithi za pauka pakawa, yn mkenya hana haki ya kumiliki ardhi mjini mpk aende kijijini licha ya pori lote lile la Nairobi lkn pia lina wenyewe, daahhh poleni sana, ndio Kenyatta alipowafikisha hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Must somebody own land or a house in Nairobi? Mtu akimiliki nyumba au ardhi kwingineko Kenya sio achievement? Nishakuambia watu wengi Nairobi wako huku kikazi. Hayo ya kutokuwa na haki ya kulimiki ardhi Nairobi unajua ulikotoa coz I have very many friends who own land and/or houses in Nairobi. What I am trying to tell you is that prices of land in anirobi are so high. Mtu anaona hakuna haja ya kuspend tens of millions of shillings buying a piec e of land in Nairobi that will not impact on his or her life so much while he can use that money to build a retirement home upcountry in a piece of land he or she already owns or can own at a cheaper price compared to Nairobi. Bei ya ardhi Nairobi sio shilingi mbili jinsi ilivyo Dar. You can believe whatever you want to believe and you are also at liberty to say anything you want.
 
Must somebody own land or a house in Nairobi? Mtu akimiliki nyumba au ardhi kwingineko Kenya sio achievement? Nishakuambia watu wengi Nairobi wako huku kikazi. Hayo ya kutokuwa na haki ya kulimiki ardhi Nairobi unajua ulikotoa coz I have very many friends who own land in Nairobi. What I am trying to tell you is that prices of land in anirobi are so high. Mtu anaona hakuna haja ya kuspend tens of millions of shillings buying a piec e of land in Nairobi that will not impact on his or her life so much while he can use that money to build a retirement home upcountry in a piece of land he or she already owns. Bei ya ardhi Nairobi sio shilingi mbili jinsi ilivyo Dar. You can believe whatever you want to believe and you are also at liberty to say anything you want.
To be in a middle class lazma uwe na uwezo wakumiki house na kama huna uwezo maana yake ww uwezo uko chini na kipato chako kiko chini pia, ku rent nyumba sio kigezo cha wewe kua middle class, kama unajua bei sio shilingi mbili ndio maana nakwambia majority hamuna ndoto ya kua na land wala nyumba na wachache sana wakiwemo politicians na investors ndio watakaoendelea kumiki ardhi mpaka kiyama 😃😃😃😃 unalipa rent unaenda mbio kutafuta pesa ya rent same time utafute pesa ya uji hujaugua hujalipa social services na hapo hapo unemployment rate iko 40% 😀😀😀😀 hapo hapo 79% ya watu kipato kimekwenda chini
76FD5641-459C-45D3-B56B-7153EF9E58D7.jpeg
 
Must somebody own land or a house in Nairobi? Mtu akimiliki nyumba au ardhi kwingineko Kenya sio achievement? Nishakuambia watu wengi Nairobi wako huku kikazi. Hayo ya kutokuwa na haki ya kulimiki ardhi Nairobi unajua ulikotoa coz I have very many friends who own land and/or houses in Nairobi. What I am trying to tell you is that prices of land in anirobi are so high. Mtu anaona hakuna haja ya kuspend tens of millions of shillings buying a piec e of land in Nairobi that will not impact on his or her life so much while he can use that money to build a retirement home upcountry in a piece of land he or she already owns or can own at a cheaper price compared to Nairobi. Bei ya ardhi Nairobi sio shilingi mbili jinsi ilivyo Dar. You can believe whatever you want to believe and you are also at liberty to say anything you want.
Dar es salaam mtu wa chini kabisa anaweza kumili ardhi na kujenga kabisa hata kama hajajenga still ana kiwanja au viwanja tayari ana asset inayomlinda na ukiachia hapo fursa dar ni nyingi sana kuliko nairobi, if u know u know 🤣🤣🤣🤣
 
To be in a middle class lazma uwe na uwezo wakumiki house na kama huna uwezo maana yake ww uwezo uko chini na kipato chako kiko chini pia, ku rent nyumba sio kigezo cha wewe kua middle class, kama unajua bei sio shilingi mbili ndio maana nakwambia majority hamuna ndoto ya kua na land wala nyumba na wachache sana wakiwemo politicians na investors ndio watakaoendelea kumiki ardhi mpaka kiyama 😃😃😃😃 unalipa rent unaenda mbio kutafuta pesa ya rent same time utafute pesa ya uji hujaugua hujalipa social services na hapo hapo unemployment rate iko 40% 😀😀😀😀 hapo hapo 79% ya watu kipato kimekwenda chini
View attachment 1789023
Ubaya ni kwamba uko na uwezo mgumu wa kuelewa. Nitarudia mara ngapi kwamba wakaazi wengi wa Nairobi wanamiliki ardhi na nyumba vijijini walikozaliwa? Kwani huo uwezo wa kujenga nyumba vijijini walitoa wapi? Au hizo nyumba zilianguka ardhini kutoka mbinguni? Ama kigezo cha kuwa na uwezo wa kumiliki nyumba na ardhi ni kwamba lazima mtu awe na nyumba na ardhi Nairobi? Imeandikwa wapi? Mimi mwenyewe namiliki ardhi niliyoridhi kutoka kwa babangu (ancestral land) na pia kuna zile nimejinunulia.

Kitu cha pili ni kwamba hata hiyo middle-class unayotaja Kenya imeacha Tanzania mbali sana. Kipato cha wakenya and spending power pia zipo juu kushinda yenu and these are confirmed facts. Ajabu ni pale unasema wakenya kipato chao kipo chini. Ubaya wenu ni kwamba mnapenda ubishi ilhali hammna uelewa wa mambo
 
Dar es salaam mtu wa chini kabisa anaweza kumili ardhi na kujenga kabisa hata kama hajajenga still ana kiwanja au viwanja tayari ana asset inayomlinda na ukiachia hapo fursa dar ni nyingi sana kuliko nairobi, if u know u know 🤣🤣🤣🤣
Ni kwa sababu bei ya ardhi Dar iko chini compared to Nairobi which also points to the fact that Nairobi is a major city. Nenda jiji lolote Tajika hata hapa africa uone kama bei ya ardhi iko chini kama ilivyo hapo Dar.

Chenye najaribu kuondoa kwa akili yako ni hii notion kwamba mtu lazima awe na nyumba Nairobi as long as anaishi Nairobi. Sasa mtu akijenga nyumba Nairobi leo then kesho apate transfer ya kazi Eldoret ama Malindi hiyo nyumba itamfaa nini?

Nitajie hizo fursa ambazo ziko Dar na huwezapata Nairobi
 
Ubaya ni kwamba uko na uwezo mgumu wa kuelewa. Nitarudia mara ngapi kwamba wakaazi wengi wa Nairobi wanamiliki ardhi na nyumba vijijini walikozaliwa? Kwani huo uwezo wa kujenga nyumba vijijini walitoa wapi? Au hizo nyumba zilianguka ardhini kutoka mbinguni? Ama kigezo cha kuwa na uwezo wa kumiliki nyumba na ardhi ni kwamba lazima mtu awe na nyumba na ardhi Nairobi? Imeandikwa wapi? Mimi mwenyewe namiliki ardhi niliyoridhi kutoka kwa babangu (ancestral land) na pia kuna zile nimejinunulia.

Kitu cha pili ni kwamba hata hiyo middle-class unayotaja Kenya imeacha Tanzania mbali sana. Kipato cha wakenya and spending power pia zipo juu kushinda yenu and these are confirmed facts. Ajabu ni pale unasema wakenya kipato chao kipo chini. Ubaya wenu ni kwamba mnapenda ubishi ilhali hammna uelewa wa mambo
Nani mgumu mm au wewe😁😁😁 wewe uainidanganye mm hapa kama huna pesa ya kujenga na kua na nyumba mjini maana yake huna kipato 🤣🤣🤣 hata sisi vijini tuna mashamba na nyumba lakini dream ya kua na nyumba kupunguza gharama za maisha ni level nyingine tena

so wewe umerithi nyumba kijijini kweni na akili yako imeishia hapo 😂😂😂 na yote ni kwasababu huna ndoto na hutakua nayo ya kumiliki ardhi mjini wala nyumba alaf kingine kua land mjini ni ndoto ya kujiweka vzr zaidi

narudia maneno yangu huwezi kupanga bessitter alaf ukajiita middle class, kua na nyumba na kutokua na nyumba ni vitu viwili tofaut mzee huku tanzania mtu wa chini kabisa nyumba ni kitu cha kawaida sana hata ghaarama za matumizi zinapungua na serving yake inaweza kua kubwa kufanya jambo jingine hata ukija kwenye inflation rate tanzania iko na low inflation rate na hio inaifanya kua na purchasing power kubwa zaidi 😄😄😄😄😄
 
Ni kwa sababu bei ya ardhi Dar iko chini compared to Nairobi which also points to the fact that Nairobi is a major city. Nenda jiji lolote Tajika hata hapa africa uone kama bei ya ardhi iko chini kama ilivyo hapo Dar.

Chenye najaribu kuondoa kwa akili yako ni hii notion kwamba mtu lazima awe na nyumba Nairobi as long as anaishi Nairobi. Sasa mtu akijenga nyumba Nairobi leo then kesho apate transfer ya kazi Eldoret ama Malindi hiyo nyumba itamfaa nini?

Nitajie hizo fursa ambazo ziko Dar na huwezapata Nairobi
Na ndio maana maskini wa dar hawezi kua sawa na maskini wa nairobi hata kwenye purchasing power 😀😀😀😀

tuanze na wepesi wakupata job tanzania ndio low unemployment rate in east africa na kua na kazi ndio kunakufanya uendeshe maisha sasa maskini bila kazi au ajira kuna ndoto ya maisha ??😁😁😁

hata tukiachia unemployment rate tukija kwenye inflation rate still bado inaifanya tanzania kua mtu wa chini kua na uwezo wa kununua chochote wakat wowote na hata ukiangalia circulation ya pesa dar ni kubwa sana

clean water dar is cheap than nairobi
Electricity dar is cheap again
Health care dar is cheap
Transport dar is cheap
Food dar is cheap kabisaa

etc
 
Back
Top Bottom