Uhuru n Umoja
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,160
- 2,226
Watu wa NGOs nchi yao sasa, wafanye watakavyo.
![]()
Profesa Ndalichako: Wanafunzi waliopata mimba kuendelea na masomo kwa njia mbadala
Wizara ya Elimu imesema kuwa inaandaa utaratibu wa kuruhusu wanafunzi waliobeba mimba wakiwa masomoni kuendelea na masomo kwani ni haki yao ya msingi.Haki hiyo ya msingi inatajwa kuzuiwa kipindi cha uongozi wa awamu ya tano. Profesa Joyce Ndalichako amesema haya... Kwenye upande wa watoto wa...www.jamiiforums.com
Prof Ndlichhako:wanafunzi waliopata mimba kuendelea na masomo
Kinachofanyika ni kumchafua Magufuli as though yeye ndio alitunga sheria ya mtoto wa kike aliyeshika minba asirudi shuleni. Wakipitisha hili, media za west zitaishikia sana bango na kumchafua vyema Magufuli kua ni dikteta na mama ndio mtu sahihi huku akiachia nchi kwa wapigaji wa ndani na wakigeni.
