Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nakuongezea na hii, watanzania wengi wanaondoka tz ni wale waliofeli shele na wanatafuta urahisi wa maisha, wabongo wengi hususani Dar indigenous na Tanga wanakimbilia SA kutafuta maisha since sisi wabongo hapo SA tunaingia tu bila Visa, wenye visenti kidogo wanakuja kwenu Kenya uko kufanya biashara, wasomi wengi wa bongo wanasoma tz na wanafanya kazi tz na ukiwaona wanaenda America na Europe ujue ni aidha wanaenda kuongeza elimu (masters na PHD) au biashara, sisi tz tunayo makampuni ya kandarasi ya kutengeza mpaka barabara na kila kitu na zinakula tenda, for your information kimara kibaha high way inatengenezwa na kampuni zawa (estim), stendi ya Dodoma na nyingine zote zimetengenezwa na kampuni za wazawa, tunazo kampuni za wazawa za kutengeneza mpaka meli n.k .. heb tuembi ninyi mbajidai mnaelimu bora mnaweza kufanya nini ..mnaweza kutengeza hata barabara za lami.? au mpaka mchina awafanyie..?
Watakuletea Gobole
 
Wakunya Nimefika Nairobi tena🙂naelekea kakuma/Dadab nkitoka narudi Nairobi season 2 nione kama kuna improvement au ndo Yale Yale🙂🙂🙂
20210513_170449.jpg
20210513_173141.jpg
 
mnipe mfano wowote wa mtanzania aliepata division one form six afu akataman kwenda kenya au uganda. ni losers pekee ndo wanafikiria kwenda sehem rahis ili wapate vyeti.. nina marafiki zangu form six walikuwa wa mwisho darasan.. wote wakaenda china.. huko china kwenyewe wameishia kuwa wauza simu/pc na vyombo vya nyumban.. hawajapata hata degree wala babu yake degree

huwa najiuliza kwann waliofeli hawakimbilii US au UK, kimbilio lako ni China kwasababu China wanapokea hata mamluki wa darasan
Haha hii kitu bana umenikumbusha mbali,Kiukweli kama chambi nyumbani ipo lazima uwaze kusoma nje esp ulaya au marekani...vyuo vya China sio vibaya ila hadi upate English academy na ujue kule utarudi na dawa ya meno tu na raba zako...ilhali ukienda west kama unajituma waweza Rudi hata na bmw yako 5series
 
Wabongo wengi huzani elimu bora ni kuongea kingereza na co output, Kenya hamna elimu na wanachofuata wazazi wengi wa hapa Tanzania ni watoto wao kujua lugha ngeni ndio maana utakuta ada ya medium school apa bongo ni kufuru cz mzazi anataka mwanaye ajue tu lugha ngeni na ndiyo maana unakuta Wakenya wengi wameajiriwa huku bongo kwasababu ya "yes" "No" wanazoongea, but nothing new thus y matoto yanayotoka Kenya huwa ni mazembe mno, ila mtoto aliyetokea vyuo vya Tz huwa fasta kuelewa shida huwa ni English tu ambapo nayo huwa inamkaa hapo baadaye.
Hv mnazungumzaga vitu gani mbona siwaelewi wenzangu
 
Watu wa NGOs nchi yao sasa, wafanye watakavyo.


Prof Ndlichhako:wanafunzi waliopata mimba kuendelea na masomo
 
Nakuongezea na hii, watanzania wengi wanaondoka tz ni wale waliofeli shele na wanatafuta urahisi wa maisha, wabongo wengi hususani Dar indigenous na Tanga wanakimbilia SA kutafuta maisha since sisi wabongo hapo SA tunaingia tu bila Visa, wenye visenti kidogo wanakuja kwenu Kenya uko kufanya biashara, wasomi wengi wa bongo wanasoma tz na wanafanya kazi tz na ukiwaona wanaenda America na Europe ujue ni aidha wanaenda kuongeza elimu (masters na PHD) au biashara, sisi tz tunayo makampuni ya kandarasi ya kutengeza mpaka barabara na kila kitu na zinakula tenda, for your information kimara kibaha high way inatengenezwa na kampuni zawa (estim), stendi ya Dodoma na nyingine zote zimetengenezwa na kampuni za wazawa, tunazo kampuni za wazawa za kutengeneza mpaka meli n.k .. heb tuembi ninyi mbajidai mnaelimu bora mnaweza kufanya nini ..mnaweza kutengeza hata barabara za lami.? au mpaka mchina awafanyie..?
Kaka hapa bongo Sheria sio rafiki za kuruhusu wasomi waende nje kufanya kazi. Sizani kama bongo Kuna ma agent wanaotambulika na serikali ambao wanawatafutia wabongo kazi nje. Kwaiyo wasomi wengi wanafanya kazi bongo sio kama hawataki kwenda nje laghasha Ila ni Sheria ngumu. Ndio maana wale wanaokwenda nje ni wale ambao hawaoni namna ya kutoboa kuliko mbongo alisoma shule anaona Bora akomae na ujira wake hata kama ni mdogo. Mfano south Africa walitaka walimu wa kiswahili lakini sizani kama wabongo walienda ilhali walimu wa kiswahili wapo mtaani hawana ajira na serikali katika ajira kipaumbele ni walimu wa physics, chemistry, biology na mathematics. Mm kama nafasi ya kwenda nje ipo na ina maslahi siangalii nyuma hii kazi niliyokuanayo naipiga chini fasta tu.
 
Huu upumbavu umerudi?


Ni zaidi ya huo kaka.

Ndani ya CCM, wakina Nape na genge lake wako huko kwenye Kampeni bila kazi yoyote ya maana. Safu aliyo panga mama ndani ya CCM ni vijana wa Kikwete na ndio hao wanarun nchi.

Ni Majanga kila kona.

Umeona jinsi ya Prime Minister alivyokua kinyonge jana Bandarini, kwenye hali kama ile kipindi cha Magufuli wengi wangetimuliwa, kwanza isingetokea.

🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom