Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu, Hii ilibidi iwe hivi Kulingana na masharti ya ile pesa kutoka WB.
Mama hakuwa na namna hata JPM angekuwepo angebana tu ila mwisho wa siku angeachia kiaina kama ilivyofanyika sasa...soma hiyo thread utaona namna itakavyo kuwa.
Mmmm, I wish niwe sijaelewa wanachomaanisha. Yaani kwamba mwanafunzi akipata ujauzito anaweza kupata elimu mbadala (mf. kufanya mtihani kama private candidate) kisha akimaliza form four anaweza kuchaguliwa kwenda mfumo rasmi (school candidate)! Yaani kwa jinsi nikivyoelewa "wazazi" hao wanaweza kurejeshwa tena kwenye high school za gvt!

Duh! Kama kuna kipindi kigumu nimewahi kupitia katika safari yangu ya uzalendo, hiki ndicho kigumu zaidi. Yaani kisa mkopo wa WB tunaanza kuibomoa jamii! Hope sijaelewa wanamaanisha nini.

JPM asingekubali hayo masharti kwa ajili ya dola mil 75.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikwambie kitu bro hawa watu huwa wanaona tumepiga sana bao kutokua na slum sasa hua wanajiuliza kwann slum hakuna tanzania sasa wanajaribu kuforce ili walau tufanane wasionekane wao wamepotea sasa wanalazmisha tupotee wote ili tusipate kuwabeza sasa chakushangaza hata nyani alieko australia anajua hiiii
View attachment 1783670
Hebu waoneshe ulipo Google slums in Tz tuone ulipata jibu gani
 
Kinachofanyika ni kumchafua Magufuli as though yeye ndio alitunga sheria ya mtoto wa kike aliyeshika minba asirudi shuleni. Wakipitisha hili, media za west zitaishikia sana bango na kumchafua vyema Magufuli kua ni dikteta na mama ndio mtu sahihi huku akiachia nchi kwa wapigaji wa ndani na wakigeni.
Aiseee, inahuzunisha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mambo ya BBI huko kenya, Kenyatta na Odinga wameshakula bure mabilion ya walipa kodi
IMG_1620931870.854057.jpg


yalivyo mambumbumbu walikuwa wanakubaliana na kenyatta
 
Back
Top Bottom