Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
We jamaa ujaelewa pointi yangu tunakipromote kiswahili iwe lugha ya Africa sasa sisi wenye lugha tunaongea kingereza alafu Uganda hapo ingekuwa nchi ya mbali angalauMwalimu nyerere alikua anaongea kingereza safi akiwa nje kwani alimzuia kua mtanzania mzalendo?

na rangi ya neno air tanzania imefifia(labda vumbi) juu ya neno GPPU kuna vumbi pia