Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza jua asili ya joho ni wapi alaf njoo biashana na mm fala wewe
Tafuta sehemu utulize akili kwanza, yani joho tangi hata bungeni hayupo tunamjua aje mwarabu koko ndio anifundishe asili yake..
We utakua unaumwa sio bure
 
Tafuta sehemu utulize akili kwanza, yani joho tangi hata bungeni hayupo tunamjua aje mwarabu koko ndio anifundishe asili yake..
We utakua unaumwa sio bure
Na kama ulikua hujui asiki ya joho baba yake mzazi katokea tanga na wanafamili tanga sasa ndio maana nakwambia kwanza jua asili ya joho ndio tubishane 😁😁😁 na joho sio jina la ukoo wao lipo jina la ukoo wao
 
Hawa jamaa lazima tuwauzie gesi yao wenyewe, manake sio kw bei zile wanazopigwa kumbe
Heheh yani nyinyi mutuuzie sisi gesi 🤣🤣 aisee kweli kuna ndoto za kihayawani, mwenye bomba hakai foleni wahenga walisema
 
Roro in roro out port of dar es salaam
C83454DB-803B-4F12-A681-FFB7C7FF4AFA.jpeg



 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nchi imeoza 70b ksh loss

Masikini wa mamayake😂😂😂😂., loss of contract worth 70B or loss of 70B? Si wamarekani watapea mwingine hiyo contract., 🤣😂😂.,
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nchi imeoza 70b ksh loss

.njoo nikulipie karo dogo ufunguke akili angalau kidogo tu;
Wenzako wako na ushuhuda;
Screenshot_20210513-140409.png

Pia mimi nimeshuhudia kua wewe uko na matatizo ya ubongo kama mwenzako anavyowajua., Mwenye kuvaa kiatu...dadeki🤣😂😂
Screenshot_20210513-140146.png
 
.njoo nikulipie karo dogo ufunguke akili angalau kidogo tu;
Wenzako wako na ushuhuda;View attachment 1783186
Pia mimi nimeshuhudia kua wewe uko na matatizo ya ubongo kama mwenzako anavyowajua., Mwenye kuvaa kiatu...dadeki🤣
View attachment 1783181

ngoja nikupe ukweli leo, kwa shule za secondary, wabongo waliofeli bongo afu wanahela huwa wanakimbilia kenya na uganda, kwa vyuo, wabongo waliofeli form six afu kwao wanahela huwa wanakimbilia china kwasababu huko kufaulu na kupata cheti au degree huko ni rahis kuliko nyumban Tanzania. mdada ukiona kila mwanaume anakufata ujue you’re touchable/catchable.. na wanauhakika wa kukukula mda wowote

mnajisifia mna elimu nzuri wakat kila mwez maghorofa yenu yanaanguka
 
mnipe mfano wowote wa mtanzania aliepata division one form six afu akataman kwenda kenya au uganda. ni losers pekee ndo wanafikiria kwenda sehem rahis ili wapate vyeti.. nina marafiki zangu form six walikuwa wa mwisho darasan.. wote wakaenda china.. huko china kwenyewe wameishia kuwa wauza simu/pc na vyombo vya nyumban.. hawajapata hata degree wala babu yake degree

huwa najiuliza kwann waliofeli hawakimbilii US au UK, kimbilio lako ni China kwasababu China wanapokea hata mamluki wa darasan
 
Back
Top Bottom