Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa huyo mzungu wako aambiwe saa hii achague sehemu ya kuishi kati ya Tandika middle income estate na Ruai 'slum' unafikiri atachagua wapi kati ya hizi sehemu mbili?

Tandika middle income estate
View attachment 1782153

Ruai 'slum'
View attachment 1782154

Tofauti ni kama ardhi na mbingu
Hii mbona huoneshi sasa ambako kuna 70% nairobi people 🤣🤣🤣👇👇👇 asilimia 70 watu wanaishi kwenye slums haya tudanganye hzo slums zilizozunguka nairobi nzima wanaishi masokwe au????
C87F6DC4-710B-4FE5-8F80-52E4A881FC4F.jpeg
73137063-21D5-4F3C-9708-82BB81743013.jpeg
1CA43BED-8A05-43D2-B866-026D09A9705D.png
 
Wewe unajua unaingilia mada hujui! Kama mwenzako alishashindwa kujibu hilo swali hadi akaachana nayo wewe ndio utaweza? Hizo picha umeleta unaona kuna mwenye anauza maji? Hiyo ndio ilikuwa ni mjadala kati yangu na yule kilaza mwenzako. Acha kudandia train kwa mbele. Niletee picha ya trolley za wauza maji cbd kama hii yenu
View attachment 1781996
Na huyu anaskuma nini CBD🤣🤣👇👇👇 na kama anapeleka maji ferry kwenye soko la samaki utasemaje?? Kwasababu soko la samaki lipo CBd near ikulu
CB45DE24-85EA-4876-9E47-D67252D6BE14.jpeg
 
Huyu ni yule smomi wa hisibati aliyetufanyiea hesabu za ajabu ajabu kwenye uzi fulani humu ndani. Yani alijiaibisha aise! Anajiita IT expert 😂 😂
Nilimcheki kwa ule uzi wa avocado, kwao ndo amesoma sana😁
 
Kwa hivyo ni lazima mzungu aseme ni slums ndio iwe slum? Wewe huwezitumia akili yako ya kuzaliwa? Wewe unafaa mzungu akurudishie akili yako uanze kufikria vyema. Inaama kila kitu anachosema mzungu ni kweli sababu tu ana ngozi nyeupe?? Hii utumwa wa kili utaacha lini?

Sawa basi, Uthiru mzungu alisema ni slum kutokana na ile picha yako. Unaona dalili yoyote ya slum hapa?
View attachment 1781951View attachment 1781953View attachment 1781954View attachment 1781958View attachment 1781965View attachment 1781966View attachment 1781967View attachment 1781968View attachment 1781969View attachment 1781970View attachment 1781972
Alafu linganisha na hizo midreamhouses zenu na ujue ni wapi panastahili kuitwa slum
Ww ni fala mm sijawah kuona kwenye maisha yangu tatizo unajifanya mjuaji alaf kumbe boga unapost picha moja ili iweje unachukua vipande vya magorofa ndio tujue hakuna slum au???🤣🤣🤣🤣🤣

mm nakwambia dar hakuna slum na hakutakuwepo mpaka siku dunia inasmama ukitaka kasirika tu haisaidii😅😅😅😅

Wewe shindana na dar kwenye mengine ila mambo ya slum utaumia mzeee na kama hzo rangi za bati ndio zinakudanganya 🤣🤣🤣
E403E88E-B79C-4192-8010-7FC71F2665B7.jpeg
384BDC11-4418-49B8-9C55-79A2A4176951.jpeg
 
Google earth iko wapi uone average matatus, una cherry pick kujifurahisha., si inajiona uko na kende kulikoni kilaza😅🤣🤣🤣😅😅., umebanwa ama nini?😅😅😅🤣🤣😅., google earth kila stage, May 2021, tarehe 12.., utajiharia leo na Kiswahili,😅😅🤣🤣🤣
Leo umekasirika mabake nimekupeka kikende kende 🤣🤣🤣🤣 eti nye nye sisi tunatumia gas hvi munatuona wote sawa au munadhani hii nairaland leo hutaki google earth unataka nn 😂😂😂😂 hvi kuna mtu duniani haijui kibera ????
 
. ..pia Uganda gas bado sana., 😅😅🤣🤣., ichoboy01 hawezi kukubali kushindwa, huyo Mr Mwanza huwa anaumwa na ukweli🤣😅
Uganda gas bei rahisi kuliko kenya sasa nakushangaa 🤣🤣🤣🤣 ajira zenyewe hamuna alaf mtu awe na ndoto ya kumiki ardhi labda ndoto ya hayawani
 
Let him be., wachana na yeye apumue🤣😅😅, on average modern/latest model matatus hawatoboi., watatafuta vijisababu tu, kama vile wakibanwa kwa hoja mkombozi wao huwa ni Kibera 🤣🤣😅😅🤣.,
Munapeana matumaini baada ya bakora za kisawasawa😁😁😁😁 latest matatu zipi yake malori munachonga bodi kua abiria
 
Exactly. Yani wanataka na sisi tufanane nao. Wanaona jinsi jiji lao ilivyojaa Swahili shanties that they proudly call dreamhouses na wanashanga where they went wrong as far as urban residential planning is concerned. Kama kuna kitu mtanzania haweziniambia ni makaazi ya watu. I have seen enough images of their residentials to know what am talking about. Hovyo sana.
Kwahio mama ngina ndio aliwatia ujinga huo hvi wewe kama kenya ina average ya 40% unemployment rate unategemea middle class gani hao, hzo estate mostly ni investors za mtu mmoja mmoja wakiwemo politicians na wajanja baadhi, leo utaniambia unashindana na tanzania kwenye middle class economy wakat mtanzania kazi anayo opportunities zipo, social services bei nafuu ardhi bei nafuuu na vifaa vya kujenga nyumba bei nafuu east africa yote 😀😀 sasa leo hata tukiangalia umiliki wa ardhi hapo nairobi ni wachache sana na wengi wamuna ndoto ya maisha wala ya kumiliki ardhi kazi iliobakia ni kusongamana kwenye slums over 70%🤣🤣🤣🤣🤣 na kama unabisha sema
 
Nishampa picha za Uthiru ambayo huyo mzungu wake anasema ni slum na hajibu chochote. Yani hiyo Uthiru wanayosema ni slum 90‰ can't even afford life there
Mbona unaleta vijumba moja moja kwann huleti aerial view 🤣🤣🤣🤣 mzungu sio mpumbavu kamwe yuko mbele miaka mitatu kwenye technology
 
Huyo kilaza alikuwa akidandia train kwa mbele achana naye. Hiyo story ya trolleys ilikuwa kati yangu na kilaza mwenzake ambaye alishakimbia kwa kukosa jibu. Yeye anakufa kifo cha maji. Mpuuze tu
Mpaka leo hii bado slums zinakutoa roho 🤣🤣🤣🤣 bado unalazmisha tufanane haiwezekani dunia hii hakuna mtu hajui kama nairobi kuna slums hakuna au nasema urongooooo
 
Tanzania ya CCM 😂😂, nyinyi wengine muna amuliwa mnako pelekwa, hamna lenyu🤣😅😅😂..,
Ccm hakina ukabila kama jubilee wamejazana wakikuyu na kalenjin kwishaa kila chama kenya kimekaa kikabila 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Na ni cheaper ku own gas than kununua gunia moja ya makaa! Hawa hawajui Kenya, gas is taking over, na tunangoja gas ya mama Samia.,
Gas ya mama samia badala ya kupeleka pesa nje kununua gad mutazileta tanzania na pia mutatupunguzia cost ya kujenga bomba la gqs kwenda arudha na moshi na pia uganda kwasababu itaongabishiwa tanga 🤣🤣🤣
 
It's real picture! And there are many such stalls hapo c

Sasa ni nini mko nayo mpya kando na hizo mmeshinda mkipost wiki nzima? And then huku hatutegemei nyumba kama hizo kujengwa tu na serikali ndio ziwepo. Gated communities are almost everywhere in Nairobi na sio miradi ya se

Na huyu anaskuma nini CBD🤣🤣👇👇👇 na kama anapeleka maji ferry kwenye soko la samaki utasemaje?? Kwasababu soko la samaki lipo CBd near ikulu View attachment 1782210
niliskia kua unajua kenya hadi chupi zao..hebu nieleze apo ni eneo gani?na ni stage za matatu za kuenda wapi?
 
Gunia la mkaa ni cheap San pwani. ..kule moshi mkaa ni ghali kiasi...Mimi natumia mkaa gas na umeme me pamoja nikijaza mtungi wa 30kg natumia 3months,apo inaenda sambamba na mkaa...siku gas ikiisha natumia plate za umeme
👇👇👇👇👇👇 hio ndoo
EFFB717B-4E75-44A8-B52A-B523DF2E0A9E.jpeg
 
Back
Top Bottom